Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mpasuko was chinichini na wa ndani kwa ndani huko CCM kwa sasa unaashiria mwanzo wa dhoruba kubwa ya kisiasa. Kutumia mfano wa kibiblia wa "Mene, Mene, Tekeli na Peresi," ni wazi kuwa "maandishi...
21 Reactions
85 Replies
1K Views
Kuna kila dalili ya Ema The Boy kung'atuliwa ila ni namna na wakati sahihi wa kumng'atua ndiyo Kizungumkuti. Inadaiwa katumiwa rafiki yake Jasusi Kutoka TISS, Ema kamjibu kawaambie waliokutuma...
17 Reactions
50 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Hivi Benki KUU ya Mtanzania Yaani BOT Inasubiri Nini Kuiweka picha ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu...
3 Reactions
127 Replies
1K Views
“......Mbali na mauaji ya Vita vya Maji Maji chini ya utawala wa Kijerumani, mauaji yaliyotokea 29 Oktoba 2025 ndiyo makubwa zaidi katika historia ya nchi yetu. Hakuna awamu yoyote ya utawala...
14 Reactions
20 Replies
605 Views
https://x.com/AP/status/2087444402880831521/photo/1 hong wa tatu kulia na kampani yake, kaangushwa na David Crowley, why it matters? kwa sababu D.Crowley is black, thats all kama ulitaka kujua...
0 Reactions
4 Replies
59 Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amesema Katiba inapaswa kuhakikisha mwananchi anakuwa na haki zaidi juu ya ardhi, akieleza kuwa sehemu kubwa ya Watanzania...
3 Reactions
9 Replies
151 Views
Imekuwa nadra kwa viongozi wa serikali ya tanzania kutamka neno haki,hata akitokea kiongozi kutamka neno haki anashambuliwa sana kias unaweza kushangaa kwani haki ni sumu kwa viongozi hawa...
3 Reactions
10 Replies
68 Views
12 August 2026 Tanzania Yafungua Soko la Dhamana za Serikali kwa Wawekezaji wa Kimataifa Tanzania relaxes forex rules to draw foreigners to bonds. 'The reform aims to broaden access to the...
0 Reactions
2 Replies
56 Views
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema hajawahi kushuhudia Serikali inayokiuka sheria na Katiba kwa kiwango anachodai kufanyika katika Awamu ya Sita. Amesema katika...
4 Reactions
10 Replies
158 Views
  • Featured
Pichani ni David Nkindikwa ni Mwanachama wa CCM lakin mitandaoni huwa anajiita Mwanaharakati Mzalendo. Soma Pia: Mdude Nyagali adaiwa kukamatwa na kupigwa na watu waliojitambulisha Polisi...
6 Reactions
46 Replies
1K Views
Mbunge Ado Shaibu wa jimbo la Tunduru Chama cha ACT-Wazalendo amewasilisha hoja nzito akibainisha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
5 Replies
64 Views
Wakuu wa jukwaa hili, Mkutano wa tarehe 10 Agosti 2026 kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) huko Dodoma haupaswi kuchukuliwa kama kikao cha kawaida cha...
3 Reactions
6 Replies
105 Views
  • Featured
Tanzania imeporomoka kwa nafasi 20 katika Ripoti ya Kipimo cha Amani Duniani (Global Peace Index - GPI 2026), na sasa inashika nafasi ya 98 kati ya nchi 163 zilizotathminiwa duniani. Kwa mujibu...
3 Reactions
23 Replies
869 Views
Aliyekuwa Mgombea Urais 2025 na Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema aliyekuwa nyuma ya vikwazo alivyokutana navyo katika mchakato wa uchaguzi ndiye “aliyeishiwa pawa”...
0 Reactions
3 Replies
131 Views
  • Redirect
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amemjibu Rais Samia baada ya kudai kuwa Luhaga Mpina na Tundu Lissu, wameishiwa pawa, akisema kauli hiyo si sahihi na kwamba “aliyeishiwa...
0 Reactions
Replies
Views
Ile Taasisi bora ya vijana Duniani, BAVICHA, iko Dodoma nchini Tanzania kwa shughuli ya Kidunia upande wa vijana Picha hiyo ni Maandalizi ya Ukumbi kutakapoadhimishwa shughuli hiyo ya Kidunia...
4 Reactions
8 Replies
121 Views
Kundi la madikiteita waliowahi kutokea duniani.... As first lady of the Philippines, Imelda Marcos shared power in a "conjugal dictatorship" with her husband, Ferdinand Marcos, marked by severe...
2 Reactions
2 Replies
73 Views
SIO KOSA WALA DHAMBI MTU KUWA CCM AU CHAUMMA; NI USHENZI NA UKATILI KULAZIMISHA WATU KUWA CHAMA KIMOJA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Hii tabia wako nayo wafuasi na wanachama wengi wa...
3 Reactions
17 Replies
73 Views
CCM hebu show some seriousness kwenye hizi pichapicha zenu mnacheza. Hamuwezi kufanya ujinga ulio quite obvious. Mmetengeneza viakaunti vya kumsifia Mama sawa ila zisiwe copy and paste. Lipeni...
2 Reactions
20 Replies
334 Views
*Maneno yake kabla ya lolote kutokea, *maneno yenye nia na dhamira ovu, -Tutakinukisha -Uchaguzi tutauvuruga -Uchaguzi hautafanyika. -Tunajua tutauzuiaje! *Outcomes yake! -Uchaguzi ulikuwa na...
2 Reactions
125 Replies
2K Views
Back
Top Bottom