Mpasuko was chinichini na wa ndani kwa ndani huko CCM kwa sasa unaashiria mwanzo wa dhoruba kubwa ya kisiasa.
Kutumia mfano wa kibiblia wa "Mene, Mene, Tekeli na Peresi," ni wazi kuwa "maandishi...
Kuna kila dalili ya Ema The Boy kung'atuliwa ila ni namna na wakati sahihi wa kumng'atua ndiyo Kizungumkuti. Inadaiwa katumiwa rafiki yake Jasusi Kutoka TISS, Ema kamjibu kawaambie waliokutuma...
Ndugu zangu Watanzania,
Hivi Benki KUU ya Mtanzania Yaani BOT Inasubiri Nini Kuiweka picha ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu...
“......Mbali na mauaji ya Vita vya Maji Maji chini ya utawala wa Kijerumani, mauaji yaliyotokea 29 Oktoba 2025 ndiyo makubwa zaidi katika historia ya nchi yetu. Hakuna awamu yoyote ya utawala...
https://x.com/AP/status/2087444402880831521/photo/1
hong wa tatu kulia na kampani yake, kaangushwa na David Crowley, why it matters? kwa sababu D.Crowley is black, thats all kama ulitaka kujua...
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amesema Katiba inapaswa kuhakikisha mwananchi anakuwa na haki zaidi juu ya ardhi, akieleza kuwa sehemu kubwa ya Watanzania...
Imekuwa nadra kwa viongozi wa serikali ya tanzania kutamka neno haki,hata akitokea kiongozi kutamka neno haki anashambuliwa sana kias unaweza kushangaa kwani haki ni sumu kwa viongozi hawa...
12 August 2026
Tanzania Yafungua Soko la Dhamana za Serikali kwa Wawekezaji wa Kimataifa
Tanzania relaxes forex rules to draw foreigners to bonds. 'The reform aims to broaden access to the...
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema hajawahi kushuhudia Serikali inayokiuka sheria na Katiba kwa kiwango anachodai kufanyika katika Awamu ya Sita. Amesema katika...
Pichani ni David Nkindikwa ni Mwanachama wa CCM lakin mitandaoni huwa anajiita Mwanaharakati Mzalendo.
Soma Pia: Mdude Nyagali adaiwa kukamatwa na kupigwa na watu waliojitambulisha Polisi...
Mbunge Ado Shaibu wa jimbo la Tunduru Chama cha ACT-Wazalendo amewasilisha hoja nzito akibainisha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan...
Wakuu wa jukwaa hili,
Mkutano wa tarehe 10 Agosti 2026 kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) huko Dodoma haupaswi kuchukuliwa kama kikao cha kawaida cha...
Tanzania imeporomoka kwa nafasi 20 katika Ripoti ya Kipimo cha Amani Duniani (Global Peace Index - GPI 2026), na sasa inashika nafasi ya 98 kati ya nchi 163 zilizotathminiwa duniani.
Kwa mujibu...
Aliyekuwa Mgombea Urais 2025 na Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema aliyekuwa nyuma ya vikwazo alivyokutana navyo katika mchakato wa uchaguzi ndiye “aliyeishiwa pawa”...
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amemjibu Rais Samia baada ya kudai kuwa Luhaga Mpina na Tundu Lissu, wameishiwa pawa, akisema kauli hiyo si sahihi na kwamba “aliyeishiwa...
Ile Taasisi bora ya vijana Duniani, BAVICHA, iko Dodoma nchini Tanzania kwa shughuli ya Kidunia upande wa vijana
Picha hiyo ni Maandalizi ya Ukumbi kutakapoadhimishwa shughuli hiyo ya Kidunia...
Kundi la madikiteita waliowahi kutokea duniani....
As first lady of the Philippines, Imelda Marcos shared power in a "conjugal dictatorship" with her husband, Ferdinand Marcos, marked by severe...
SIO KOSA WALA DHAMBI MTU KUWA CCM AU CHAUMMA; NI USHENZI NA UKATILI KULAZIMISHA WATU KUWA CHAMA KIMOJA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Hii tabia wako nayo wafuasi na wanachama wengi wa...
CCM hebu show some seriousness kwenye hizi pichapicha zenu mnacheza. Hamuwezi kufanya ujinga ulio quite obvious.
Mmetengeneza viakaunti vya kumsifia Mama sawa ila zisiwe copy and paste. Lipeni...
*Maneno yake kabla ya lolote kutokea,
*maneno yenye nia na dhamira ovu,
-Tutakinukisha
-Uchaguzi tutauvuruga
-Uchaguzi hautafanyika.
-Tunajua tutauzuiaje!
*Outcomes yake!
-Uchaguzi ulikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.