Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Najiuliza hizo ndo sura zilizo jaa Bashasha zinaitishia ikulu ya magogoni na Ile ya DODOMA jangwani? Najiuliza hivi mbona wanao onewa ndio wanao ng'ara? Hivi maccm mkiona hizi picha mnajisikiaje...
4 Reactions
12 Replies
599 Views
Mama ukiwa mchapa kazi na sio mla rushwa na unapenda haki unakuwa adui yake.
0 Reactions
1 Replies
86 Views
Hawa SS walikuwa ni kitengo cha Chama. SS maana yake "protectors". Hawa ndio walifanya mauaji sana. Wao ndio walikuwa wakiziongoza Concentration camps. Walikuwa wanaongozwa na Himmler. High...
6 Reactions
11 Replies
240 Views
Wakuu hii imakaaje kwamba kwamba wazanzibar ndio wanauchungu na Zanzibar ila watanganyika wao ni mapoyoyo yanalipwa kufanya chochote. Wazanzibar walikupigia kura kwa sababu ya uwezo au uzanzibari...
5 Reactions
11 Replies
126 Views
Si maneno yangu Bali ni Civilian-Coin Nalimi Kisandu (CIVILIAN-COIN). NANI KUJIUDHURU Urais? Kuna nchi Fulani Afrika Mashariki, Rais atajiudhuru kwa ujinga wake wa kumuona Civilian-Coin hafai...
1 Reactions
6 Replies
239 Views
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba??? Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu...
20 Reactions
713 Replies
139K Views
Mwenyekiti wa Makatibu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Basil Lema, amesema chuki na migogoro ya kisiasa imekuwa ikitawala siasa za Tanzania, hali inayowafanya Wananchi kushindwa kutambua...
1 Reactions
4 Replies
84 Views
Naogopa mimi kabisa,huyu mtamzania alindwe kwa gharama zote.
9 Reactions
10 Replies
364 Views
Uongozi wa Mkoa wa Kilimanjaro unapenda kuufahamisha umma kuwa haumtambui ndugu Lembruce Mchome kama Mwenyekiti wa Jimbo la Mwanga, kinyume na jinsi anavyojitambulisha katika shughuli mbalimbali...
6 Reactions
16 Replies
377 Views
  • Featured
Tanzania imeshika nafasi ya pili duniani kwa kuporomoka zaidi katika masuala ya haki za kisiasa na uhuru wa raia kwa mwaka 2025, kulingana na ripoti mpya ya shirika la kimataifa la Freedom House...
20 Reactions
53 Replies
1K Views
Tokea awekewe vikwazo na Marekani, huyu aitwaye Mafwele sijamsikia wala kumwona tena. Hivi yuko wapi huyu kiumbe? Ila hawa watu hawana kabisa busara. Miaka 10 ijayo huyu Mafwele hatokuwa na...
20 Reactions
27 Replies
560 Views
Baada ya kukaa mahabusu za Polisi za Kibaha Pwani, Osterbay na Central Dar es Salaam kwa takribani siku 48 hatimaye leo Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani limemfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
2 Reactions
11 Replies
269 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa Wizara kupitia Balozi zake duniani imekuwa kiungo muhimu cha kufanikisha na kuchochea...
1 Reactions
3 Replies
185 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia Anakubalika ,kupendwa,kuungwa Mkono na Kufuatiliwa kila hatua apigayo . Rais Samia ndiye Habari kuu na habari ndiye yeye . Kuanzia vijiweni, mitaani, Magengeni...
0 Reactions
6 Replies
69 Views
Huenda kuna juhudi za kubabaisha watu bila fikra zenye uelewa. Anayetaka kuelewa Dunia iko vipi soma maoni haya ya kisomi na yenye uhalisia.
10 Reactions
36 Replies
528 Views
Tujuzane what happened, sioni updates za proceedings za leo! Kulikoni
2 Reactions
27 Replies
460 Views
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu. Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu. Wahariri...
13 Reactions
118 Replies
12K Views
Kwenye kesi bandia iliyotengenezwa na watawala dhidi ya Lisu, kila mmoja alishangaa kuona wale mawakili wa mchongo wa serika wakikazania kuwa na mashahidi wa kificho. Watu mbalimbali walitoka na...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Mradi wa maji wa Sh585 milioni wazinduliwa na mwenge wa uhuru MWENGE wa Uhuru umezindua rasmi Mradi wa Ujenzi wa Mtambo wa Kuchuja Maji Igombe–Kabangaja, jijini Mwanza, uliyojengwa kwa gharama ya...
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums kwa muda wa siku 90 na kuzuia upatikanaji wa jukwaa hilo, kwa maelezo ya kukiuka Kanuni za Mawasiliano...
56 Reactions
901 Replies
47K Views
Back
Top Bottom