Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Alafu, Mjizuie Kuongea Utumbo , mnawapa Vijana Hasira . Ni lazima mkubali, CCM haikuwahi kujiandaa namna gan itadeal na Vijana wenye ELIMU na Uelewa !! Hizi sio nyakati za kupayuka payuka Ovyo...
10 Reactions
Replies
Views
Wanabodi, Ule mjadala wa wasomi wa Chuo Kikuu, kusoma VETA, unaendelea, Mshuhudie Mwanamke wa Shoka, Baada ya Kuhitimu Chuo Kikuu, Alikosa Ajira, Akajiongeza kwa Kusoma VETA, Sii Mwingine ni...
21 Reactions
147 Replies
7K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche amesema kuwa iwapo ananufaika kisiasa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kuwa gerezani, basi mamlaka zinazomshikilia zimwachie ili manufaa hayo...
11 Reactions
9 Replies
296 Views
Mwenyezi Mungu Baba alituumba kwa mfano wake yeye mwenyewe, hii sio KAULI yangu ni ya Mungu mwenyewe, nenda kasome maandiko matakatifu. Sambamba na kufanana nae, pia alimpa mwanadamu akili za...
0 Reactions
6 Replies
163 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema baadhi ya watu wanapohamasishwa kuandamana huwa tayari wamejiandaa kuondoka nchini endapo hali itabadilika. Katambi amesema baadhi yao...
2 Reactions
21 Replies
455 Views
Jeshi la Polisi mkoani Manyara limezuia mabasi (Coaster) yaliyokua yamebeba vijana wa Chadema (BAVICHA) kutoka wilaya ya Karatu, wanaoelekea mkoani Dodoma kwenye maadhimisho ya siku ya vijana...
3 Reactions
10 Replies
309 Views
  • Featured
John Heche anasema anasema moja ya makosa ambayo wamewahi kuyafanya ni kuwaamini watu wasioaminika, anasema waliwaamini CCM kwenye maridhiano a Mbowe na kumbe ulikuwa ni ulaghai tu na kosa lingine...
16 Reactions
27 Replies
931 Views
Wananchi mazao yao yameharibiwa na mwekezaji na kuna mgogoro ila yeye anasema Ijumaa?? Kweli wananchi ndio mabosi wako unasema Ijumaa? Who are you? Maulidi Dotto? Sipendi kuona mwananchi wa...
2 Reactions
10 Replies
104 Views
Wanabodi kwa wiki hii nzima,nimekuwa nikishinda ukumbi wa JNICC,kwenye maadhimisho ya miaka 30 ya VETA, tumamaliza jana,nikajua shauri ya uchovu nitalala fofofo,kumbe wapi!usingizi umekata hivyo...
17 Reactions
89 Replies
4K Views
Wanabodi https://www.youtube.com/live/w_BXPt8pFfQ?si=DkI_l03s5LkLC_bY Niko hapa ukumbi wa JNICC kuwaletea Live, uzinduzi wa Maadhimisho ya miaka 30 ya VETA na miaka 50 ya ufundi stadi nchini...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Chadema shikilia hapo hapo kama Iran pale Homz. Kusikilizwa kabla ya makubaliano ndio jambo la msingi. Mioyo ya wanachadema imejaa makovu waombwe msamaha kwanza ndipo wahitajike . Toa boriti...
2 Reactions
8 Replies
193 Views
Hi inatokana n.a. Idadi ya wanaoendelea kutekwa na kuuawa kwa maagizo kutoka Juu imeiacha kwa mbali sana awamu ya 5 Kwenye awamu ya 5 tulishuhudia mauaji na utekaji lakini so kwa kiwango cha...
21 Reactions
49 Replies
740 Views
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, leo Agosti 10, 2026, amewasilisha Ripoti ya Utendaji ya Robo ya Nne ya Mwaka wa Fedha 2025/26 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania...
2 Reactions
7 Replies
227 Views
Makada watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wamekishtaki tena chama hicho katika mahakama kuu ya Dodoma. Walalamikaji katika shauri hilo Miscellaneous Cause No. 205810F of 2026...
0 Reactions
18 Replies
415 Views
Naibu Waziri Mkuu katika Baraza Kivuli la Mawaziri la Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amehoji kwanini kwenye nchi yetu watu wanyamazishwe? kwanini ukihoji serikali iwe ni makosa ya uhaini na...
1 Reactions
20 Replies
215 Views
Najiuliza hizo ndo sura zilizo jaa Bashasha zinaitishia ikulu ya magogoni na Ile ya DODOMA jangwani? Najiuliza hivi mbona wanao onewa ndio wanao ng'ara? Hivi maccm mkiona hizi picha mnajisikiaje...
4 Reactions
12 Replies
599 Views
Mama ukiwa mchapa kazi na sio mla rushwa na unapenda haki unakuwa adui yake.
0 Reactions
1 Replies
86 Views
Hawa SS walikuwa ni kitengo cha Chama. SS maana yake "protectors". Hawa ndio walifanya mauaji sana. Wao ndio walikuwa wakiziongoza Concentration camps. Walikuwa wanaongozwa na Himmler. High...
6 Reactions
11 Replies
240 Views
Wakuu hii imakaaje kwamba kwamba wazanzibar ndio wanauchungu na Zanzibar ila watanganyika wao ni mapoyoyo yanalipwa kufanya chochote. Wazanzibar walikupigia kura kwa sababu ya uwezo au uzanzibari...
5 Reactions
11 Replies
125 Views
Si maneno yangu Bali ni Civilian-Coin Nalimi Kisandu (CIVILIAN-COIN). NANI KUJIUDHURU Urais? Kuna nchi Fulani Afrika Mashariki, Rais atajiudhuru kwa ujinga wake wa kumuona Civilian-Coin hafai...
1 Reactions
6 Replies
239 Views
Back
Top Bottom