Kila nikiisoma Katiba ya nchi yetu kuwa misingi ya uchumi wa nchi yetu ni ya kijamaa na nchi hii mifumo yake inadhibitiwa na wakulima na wafanyakazi, huwa nashangazwa kabisa.
Hivi ni kweli kuwa...
Wakati wa Kampeni zozote za Uchaguzi, kwenye Jimbo la Isman, Mh Lukuvi alikuwa analipa vilabu vyote vya Ulanzi vya Jimbo hilo ili wananchi wanywe bure kwa miezi mitatu mfululizo
Hili lilikuwa...
Amesema taarifa hizo zitaisaidia serikali kuzitwaa ardhi hizo kwa kuwa raia wa kigeni hawaruhusiwi kumiliki ardhi nchini na kufanya hivyo ni kukiuka sheria.
Akitoa hotuba kwenye mkutano Mkuu wa...
WAWEKEZAJI wakuu katika mradi wa gesi kimiminika (LNG) wahimiza Tanzania iharakishe mchakato, mradi Uanze
https://m.youtube.com/watch?v=29vTb7IfVy4
Katika viunga vya mkutano huo wa Wiki ya...
Hivi karibuni kumejitokeza maneno eti Kuna watu wameshaanza kampeni za chini chini kutaka kumrithi Rais aluyepo.
Ombi Letu ni Moja tu, kama Kuna mtu anawajua watu hao basi tuwataje hapa tuwajue.
Harbinder Singh Sethi (Singasingal, mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited IPTL) na Pan African Power Limited (PAP), amesafishwa na Jeshi la Polisi...
Kuna taarifa zimejaa huku kwetu mtaani hasa maeneo ya Masaki na Mikocheni, Vijana walio Karibu na Mzee Lukuvi wanatabanaisha kuwa Kuna mipango imesukwa Muda mrefu ya Mzee Lukuvi anaandaliwa kuwa...
Kama yote haya yanatokea kwa ushauri wa wanaomzunguka, basi watu hao wakimshauri abadili katiba, hawezi pinga zaidi ya kukubali hilo wazo na kulifanyia kazi.
Hawawezi kuungana kumpiga kwasababu...
Ndugu zangu Watanzania,
Huyu Mwamba siku Akiwekwa Wizara ya Mambo Ya Ndani ya Nchi .
kwa Hakika Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa kuta za Whitehouse Marekani.
Na Kila Mmoja atakaa...
Hi.
Aisee sijaona mtu kufananisha mlima na kichuguu. .Mwigulu is nothing over Magufuli.
Magufuli was another machine, real talented and problems solver. Acheni kumfananisha Mwamba jiwe na Wahuni...
Wanabodi,
Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale...
Wanabodi
Nimeona majina ya wagombea Uspika wa Bunge la JMT Thread 'Vigogo Sita wa CCM kuwania nafasi ya uspika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania' GE2025 - Vigogo Sita wa CCM kuwania...
Wanabodi,
Habari za Jioni!.
Niko kwenye social function fulani, MC wa Sherehe hii ni mmoja wa MC wakongwe nchini na mahiri, ila aliniboa alipotangaza rasmi kuwa miongoni mwa wageni waheshimiwa...
Katika kipindi cha Dakika 45 ITV Mh Membe anaonekana kuongea kwa hisia na uwazi sana kuhusu maisha yake ya kisiasa pamoja na mvutano uliopo kati yake na mahasimu wake.
Anasema iko siku atawataja...
Hii ni kwa sababu Jukumu la Ulinzi ni la KILA Mwananchi.
Kingine ni hiki hakuna uzembe uliozidi kipimo kama ule wa kuibiwa mali zako kibwege bila juhudi zozote za kulinda
Kwa mfano, Kwenye...
Kwanza kabisa niseme mimi binafsi sifurahii kabisa pale mtu anapokufa.Sifurahii zaidi pale anapokufa bila kutubu.Hata hivyo kuna desturi imejitokeza hapa nchini ya watu kufurahia watu...
Serikali mnataka kulazimisha Watanzania wote tuache kazi na kusikitika nanyi kupoteza marafiki wenu lakini watanzania wengi hatuna muda tunataka democracy na katiba mpya.
Hatuta waonea huruma...
Unaweza kudhani unaota lakini hii ndio hali halisi ya Tanzania kwa sasa.
Shule ya msingi ya Mivinjeni iliyokuwa ikifundisha kwa lugha ya kiingereza imeuzwa kwa Matajiri na kusababisha usumbufu...
Ndugu zangu Watanzania,
Dunia ina unafiki mwingi sana . Ina mambo ya ajabu na hovyo Sana. Kama Mkuu wa Nchi na Rais wa Nchi usipokuwa imara ,makini ,mwenye msimamo imara na Thabiti unaweza jikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.