Kaimu waziri wa Afya-Saada: Bajeti ya Zanzibar haiwezi kutoa Matibabu kwa watu Milioni 60. Hali ya Siasa imechangia hizo hisia 'Sentiments'

Kaimu waziri wa Afya-Saada: Bajeti ya Zanzibar haiwezi kutoa Matibabu kwa watu Milioni 60. Hali ya Siasa imechangia hizo hisia 'Sentiments'

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,943
Reaction score
2,982
Akizungumza leo Juni 12, 2026 katika mahojiano maalum na mwandishi wa habari Salim Kikeke wa Crown Media, Waziri Mkuya ameweka wazi kuwa bajeti ya Zanzibar, ambayo kwa sasa ni Shilingi trilioni 8, haina uwezo wa kubeba mzigo wa matibabu ya bure kwa idadi kubwa ya watu kama ya milioni 60

"Kwa bajeti yetu ya 'eight trillion', hatuwezi kubeba watu wengi pengine milioni 60. Hiyo haiwezekani. Lakini haimaanishi kwamba wanaotoka Bara hawapati huduma. Wapo wanaokuja na kadi zao za NHIF, Strategies, au Jubilee na wanapokelewa na kupewa matibabu vizuri kabisa," amesema Waziri Saada.

Alipoulizwa na Salim Kikeke kuhusu sababu za kauli hiyo kuleta utata mkubwa, Waziri Saada amesema kuwa pengine hali ya sasa ya kisiasa ya sasa imechangia kuwepo kwa mihemko (sentiments) miongoni mwa jamii.

"Nadhani pengine sasa hivi hali tunayoiona kumekuwa kuna hizo sentiments nyingi, politically. Lakini I don't know... mimi ninazungumza Kiswahili, mimi nilikuwa nikizungumza Kiswahili pengine, pengine sometimes nazungumza kwa haraka pengine kuna mmoja aliniambia, "ile facial expression yako ulionyesha kama..." unajua pengine sasa mtu anaweza akatafsiri kwa utaratibu huo.


Soma pia
 
Akizungumza leo Juni 12, 2026 katika mahojiano maalum na mwandishi wa habari Salim Kikeke wa Crown Media, Waziri Mkuya ameweka wazi kuwa bajeti ya Zanzibar, ambayo kwa sasa ni Shilingi trilioni 8, haina uwezo wa kubeba mzigo wa matibabu ya bure kwa idadi kubwa ya watu kama ya milioni 60

"Kwa bajeti yetu ya 'eight trillion', hatuwezi kubeba watu wengi pengine milioni 60. Hiyo haiwezekani. Lakini haimaanishi kwamba wanaotoka Bara hawapati huduma. Wapo wanaokuja na kadi zao za NHIF, Strategies, au Jubilee na wanapokelewa na kupewa matibabu vizuri kabisa," amesema Waziri Saada.

Alipoulizwa na Salim Kikeke kuhusu sababu za kauli hiyo kuleta utata mkubwa, Waziri Saada amesema kuwa pengine hali ya sasa ya kisiasa ya sasa imechangia kuwepo kwa mihemko (sentiments) miongoni mwa jamii.

"Nadhani pengine sasa hivi hali tunayoiona kumekuwa kuna hizo sentiments nyingi, politically. Lakini I don't know... mimi ninazungumza Kiswahili, mimi nilikuwa nikizungumza Kiswahili pengine, pengine sometimes nazungumza kwa haraka pengine kuna mmoja aliniambia, "ile facial expression yako ulionyesha kama..." unajua pengine sasa mtu anaweza akatafsiri kwa utaratibu huo.

Soma pia
Mtajieleza Sana lakini Hakuna mwenye akili atawaelewa wababguzi Wakubwa nyie.
 
Akili za watu wa dini ile ni za kijinga sana,Huwa wanafikia hitimisho kijinga sana,mfano ni yule mwanamke wa Malawi na kiongozi mkuu wa nchi ya Tanganyika

Watu milioni sitini waende Zanzibar kutibiwa !? Huu ni ujinga wa wafuasi wa dini ile,Sina Imani ikiwa hata watanganyika milioni Tano Huwa wanatembelea Zanzibar kwa mwaka
 
Akizungumza leo Juni 12, 2026 katika mahojiano maalum na mwandishi wa habari Salim Kikeke wa Crown Media, Waziri Mkuya ameweka wazi kuwa bajeti ya Zanzibar, ambayo kwa sasa ni Shilingi trilioni 8, haina uwezo wa kubeba mzigo wa matibabu ya bure kwa idadi kubwa ya watu kama ya milioni 60

"Kwa bajeti yetu ya 'eight trillion', hatuwezi kubeba watu wengi pengine milioni 60. Hiyo haiwezekani. Lakini haimaanishi kwamba wanaotoka Bara hawapati huduma. Wapo wanaokuja na kadi zao za NHIF, Strategies, au Jubilee na wanapokelewa na kupewa matibabu vizuri kabisa," amesema Waziri Saada.

Alipoulizwa na Salim Kikeke kuhusu sababu za kauli hiyo kuleta utata mkubwa, Waziri Saada amesema kuwa pengine hali ya sasa ya kisiasa ya sasa imechangia kuwepo kwa mihemko (sentiments) miongoni mwa jamii.

"Nadhani pengine sasa hivi hali tunayoiona kumekuwa kuna hizo sentiments nyingi, politically. Lakini I don't know... mimi ninazungumza Kiswahili, mimi nilikuwa nikizungumza Kiswahili pengine, pengine sometimes nazungumza kwa haraka pengine kuna mmoja aliniambia, "ile facial expression yako ulionyesha kama..." unajua pengine sasa mtu anaweza akatafsiri kwa utaratibu huo.

Soma pia
Waziri Saada piga kazi wenye akili tumekuelewa vizuri sana. Zanzibar sawa na sehemu ya mkoa wa Morogoro kwa eneo la ukubwa wake.

Kuna uchonganishi na ujinga mwingi unaoendelea humu mitandaoni lengo waivunje hii nchi wachukue chao kutoka kwa mabwana zao bila ya kujali kesho ya TZ itakuwaje.

Lakini tutaitetea Tanzania kwa wivu mkubwa sana.
 
Tangu lini Watanganyika milioni 60 kwa pamoja wakaenda kutibiwa Zanzibar waziache Bugando, Muhimbili, Mnazi Mmoja, Amana, KCMC?

Huyo ni Mbaguzi kama Wabaguzi wengine. Aendelee kuomba CCM ibaki madarakani maana ndio wanaolinda upuuzi huu.
Hili swali 👆👆👆nilimuuliza mfuasi wa buku saba humu lkn hakujibu mpaka sasa
 
Akili za watu wa dini ile ni za kijinga sana,Huwa wanafikia hitimisho kijinga sana,mfano ni yule mwanamke wa Malawi na kiongozi mkuu wa nchi ya Tanganyika

Watu milioni sitini waende Zanzibar kutibiwa !? Huu ni ujinga wa wafuasi wa dini ile,Sina Imani ikiwa hata watanganyika milioni Tano Huwa wanatembelea Zanzibar kwa mwaka
Suala la dini limeingiaje hapo mkuu?
 
Waziri Saada piga kazi wenye akili tumekuelewa vizuri sana. Zanzibar sawa na sehemu ya mkoa wa Morogoro kwa eneo la ukubwa wake.

Kuna uchonganishi na ujinga mwingi unaoendelea humu mitandaoni lengo waivunje hii nchi wachukue chao kutoka kwa mabwana zao bila ya kujali kesho ya TZ itakuwaje.

Lakini tutaitetea Tanzania kwa wivu mkubwa sana.
Kwanza, si mara kwanza kwa Saada kuonyesha chuki. Akihojiwa na DW alikanusha hakumaanisha Tanganyika, sasa anakubali alimaanisha Tanganyika. Ni kwamba anajua alichosema ni upuuzi anajaribu kuchamba kwa jani la mgomba! Parhetic

Pili, umemuelewa yule aliyesema Malaya wanatoka Tanganyika?

Tatu, umemuelewa yule aliyesema ajira ni kwa Wazanzibar?

Yaani ndani ya Baraza la Wawakilishini mwendo wa matusi dhidi ya Tanganyika.
Usidhani mamilioni ya Watanganyika walioudhika ni wendawazimu au hawana akili.
 
Kwanza, si mara kwanza kwa Saada kuonyesha chuki. Akihojiwa na DW alikanusha hakumaanisha Tanganyika, sasa anakubali alimaanisha Tanganyika. Ni kwamba anajua alichosema ni upuuzi anajaribu kuchamba kwa jani la mgomba! Parhetic

Pili, umemuelewa yule aliyesema Malaya wanatoka Tanganyika?

Tatu, umemuelewa yule aliyesema ajira ni kwa Wazanzibar?

Yaani ndani ya Baraza la Wawakilishini mwendo wa matusi dhidi ya Tanganyika.
Usidhani mamilioni ya Watanganyika walioudhika ni wendawazimu au hawana akili.
Muungano sawa na ndoa kuvumiliana wajibu.
 
Back
Top Bottom