Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Na ninapo sema jiandaeni namaanisha mjiandae kwa mengi yaani, mateso,dhihaka kejeli na mengine mengi na hamta kuwa na la kufanya kwa sababu hayupo aliye upande wenu kwa sasa na hayupo wakuwasaidia...
3 Reactions
8 Replies
269 Views
Ni zaidi ya siku 90 toka aliyekuwa Balozi wa Cuba na mwana CCM aliyewahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo Ukatibu Uenezi 'adaiwe kutekwa' na 'watu wasiojulikana' October 6, 2025. Ungetegemea...
7 Reactions
25 Replies
362 Views
AARIFA KWA UMMA UCHUNGUZI WA MATUKIO MATATU YA VIFO Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo vilivyotokea kwa nyakati tofauti Tarime/Rorya, Jijini Arusha na Rufiji. Tukio la...
1 Reactions
10 Replies
295 Views
Iran kuna Baraza la maulamaa la Ayatollah linaloitwa Guardian Council na masheikh viongozi mbalimbali wa kidini ila mpaka sasa hakuna masheikh wowote waliothubutu kujitokeza kuwasomea watu...
12 Reactions
26 Replies
533 Views
Kwanza nawasalimu kwa jina la Jamhuri, pili nawasalimu kwa jina la CCM, tatu karibu sana brother, nakutana mara tatu Makonda, Makonda, Makonda, nchi ili kosa mtu mwenye neno lenye maamuzi, na...
8 Reactions
91 Replies
9K Views
  • Redirect
Lazima tujiulize je china kutoa tamko la kupinga Tanzania kuingiliwa je kuna rasilimali wamepewa tayari ili waseme hivyo ? Tunaviongozi wajinga sana aisee
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Angalia vi Director kakosea igizo halafu kokosea tena😂😂😂😂. Huyo dada na genge lake naona bado hawajatosheka na uhuni wao. Cha kusikitisha media kama ITV inashadadia upumbavu kama huu. Kwa nini...
0 Reactions
Replies
Views
Habari wanajamvi, Kwanza kabisa naomba nianze kwa kudeclare my interest. Katika maisha yangu yote sijawahi hata siku moja kujihusisha na siasa kwa namna yoyote ile. Sijawahi kuwa mwanachama wa...
12 Reactions
36 Replies
2K Views
Wanabodi, Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu...
38 Reactions
298 Replies
37K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Tanzania tuliyoijua kabla ya Oktoba 29, 2025 haipo tena, haiwezi kuwepo tena, na hata tukiitaka kwa machozi hatuwezi kuipata tena. Tanzania iliyojivunia “umoja na...
89 Reactions
91 Replies
4K Views
  • Redirect
Baada ya kuanza kutambuliwa mmoja baada ya mwingine , hatimae wale wakatoliki feki wameanza kukumbana na mob justice..Na wakwanza kabisa kukutana na hasira ya wananchi ni yule msemaji wao mwenye...
0 Reactions
Replies
Views
Ni General Dan Caine, mkuu wa majeshi ya Marekani [Chairman of the Joint Chiefs of Staff]. Nimemtazama na kumsikiliza leo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika baada ya operesheni ya...
64 Reactions
96 Replies
3K Views
https://x.com/NNgabu_/status/2010247428734361807?s=20
0 Reactions
0 Replies
161 Views
Wanabodi Hebu msikilizeni huyu jamaa, Mkenya anaitwa Rodgers Kaka Sungura https://youtu.be/FFVNsTEI690?si=g-1g15frbAOn6yYz Anatema uongo kumhusu Rais Samia, Anamtukana na kumuita Dikteta Iddi...
5 Reactions
52 Replies
2K Views
1. Wewe unajua kabisa kuwa waliopiga kura ni wanafiki wasiofika hata milioni 1 nchi nzima na wewe unayejidai ni mtu wa dini sana ukakubali kutumia takwimu feki eti wapiga kura waliojitokeza ni...
27 Reactions
55 Replies
890 Views
  • Redirect
Kuna vitu vinafanywa na serikali ukiviangalia vinaumiza, vinatia watu hasira. Na Hata hakuna anayejali, au kuumia kama ambavyo wananchi tunaumia. Hapo juu Kuna Picha nne, ingawa nimeziunganisha...
2 Reactions
Replies
Views
Ujanja wa CDM kutengeneza scenario ya makada wao kuwa wametekwa wakati wanatekana wenyewe kwa wenyewe umegundulika kuna mamia ya wanachama wametekwa na viongozi wa juu wa CDM hii yote ni...
1 Reactions
40 Replies
604 Views
Nasikia walikuwa Ikulu jana wanamichezo. Anakusanya 'hooligans" because these so called michezo eg football are rooted in hooliganism ( refer to football hooliganism ). Anawagawia bibahasha vya laana
5 Reactions
10 Replies
299 Views
Awali ya yote napenda niwasalimie shikamooni! Pia nisiache kuwasalimu kwa kauli mbiu ya "KAZI NA UTU" Mh waziri pamoja na Mrajisi Mkuu tifa ,baada ya salama naomba nisiwachoshe niende Moja kwa...
0 Reactions
0 Replies
108 Views
Back
Top Bottom