Na ninapo sema jiandaeni namaanisha mjiandae kwa mengi yaani, mateso,dhihaka kejeli na mengine mengi na hamta kuwa na la kufanya kwa sababu hayupo aliye upande wenu kwa sasa na hayupo wakuwasaidia...
Ni zaidi ya siku 90 toka aliyekuwa Balozi wa Cuba na mwana CCM aliyewahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo Ukatibu Uenezi 'adaiwe kutekwa' na 'watu wasiojulikana' October 6, 2025.
Ungetegemea...
AARIFA KWA UMMA
UCHUNGUZI WA MATUKIO MATATU YA VIFO
Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo vilivyotokea kwa nyakati tofauti Tarime/Rorya, Jijini Arusha na Rufiji.
Tukio la...
Iran kuna Baraza la maulamaa la Ayatollah linaloitwa Guardian Council na masheikh viongozi mbalimbali wa kidini ila mpaka sasa hakuna masheikh wowote waliothubutu kujitokeza kuwasomea watu...
Kwanza nawasalimu kwa jina la Jamhuri, pili nawasalimu kwa jina la CCM, tatu karibu sana brother, nakutana mara tatu Makonda, Makonda, Makonda, nchi ili kosa mtu mwenye neno lenye maamuzi, na...
Lazima tujiulize je china kutoa tamko la kupinga Tanzania kuingiliwa je kuna rasilimali wamepewa tayari ili waseme hivyo ?
Tunaviongozi wajinga sana aisee
Angalia vi
Director kakosea igizo halafu kokosea tena😂😂😂😂.
Huyo dada na genge lake naona bado hawajatosheka na uhuni wao. Cha kusikitisha media kama ITV inashadadia upumbavu kama huu.
Kwa nini...
Habari wanajamvi,
Kwanza kabisa naomba nianze kwa kudeclare my interest. Katika maisha yangu yote sijawahi hata siku moja kujihusisha na siasa kwa namna yoyote ile. Sijawahi kuwa mwanachama wa...
Wanabodi,
Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu...
Na. M. M. Mwanakijiji
Tanzania tuliyoijua kabla ya Oktoba 29, 2025 haipo tena, haiwezi kuwepo tena, na hata tukiitaka kwa machozi hatuwezi kuipata tena. Tanzania iliyojivunia “umoja na...
Baada ya kuanza kutambuliwa mmoja baada ya mwingine , hatimae wale wakatoliki feki wameanza kukumbana na mob justice..Na wakwanza kabisa kukutana na hasira ya wananchi ni yule msemaji wao mwenye...
Ni General Dan Caine, mkuu wa majeshi ya Marekani [Chairman of the Joint Chiefs of Staff].
Nimemtazama na kumsikiliza leo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika baada ya operesheni ya...
1. Wewe unajua kabisa kuwa waliopiga kura ni wanafiki wasiofika hata milioni 1 nchi nzima na wewe unayejidai ni mtu wa dini sana ukakubali kutumia takwimu feki eti wapiga kura waliojitokeza ni...
Kuna vitu vinafanywa na serikali ukiviangalia vinaumiza, vinatia watu hasira.
Na Hata hakuna anayejali, au kuumia kama ambavyo wananchi tunaumia.
Hapo juu Kuna Picha nne, ingawa nimeziunganisha...
Ujanja wa CDM kutengeneza scenario ya makada wao kuwa wametekwa wakati wanatekana wenyewe kwa wenyewe umegundulika kuna mamia ya wanachama wametekwa na viongozi wa juu wa CDM hii yote ni...
Nasikia walikuwa Ikulu jana wanamichezo.
Anakusanya 'hooligans" because these so called michezo eg football are rooted in hooliganism ( refer to football hooliganism ).
Anawagawia bibahasha vya laana
Awali ya yote napenda niwasalimie shikamooni! Pia nisiache kuwasalimu kwa kauli mbiu ya "KAZI NA UTU"
Mh waziri pamoja na Mrajisi Mkuu tifa ,baada ya salama naomba nisiwachoshe niende Moja kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.