Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari! Toka jumamosi iliyopita nikiwa safarini toka Nyumbani Tanzania Kwenda Ughaibuni niliko jishikiza kimaisha as Diaspora najisikia Ndani yangu kumuombea TUNDU A. LISSU. Mimi sio mwanasiasa...
8 Reactions
3 Replies
212 Views
Ukisoma kitabu cha KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU cha mwandishi Harith Ghassany unakaribia kulia ukijua kwamba kumbe Mapinduzi ya Zanzibar si kama tunavyoyajuwa.Kwa upande mwengine kumbe uongo ni...
4 Reactions
122 Replies
19K Views
Hali ya kisiasa Zanzibar kwa miaka mingi sasa ni ya mivutano isiyoisha. Mivutano hii ni ya kihistoria na pengine naweza kusema hata mapinduzi ya mwaka 1964 ni sehemu tu ya mivutano hiyo. mivutano...
2 Reactions
69 Replies
7K Views
GT Sina ugomvi na watu wa Pwani lakini ni watu wavivu sana. Na serikali ikijaza watu wa aina kwenye uongozi usitegemee chochote cha maana kitafanyika.. Mfano. 1. Mchengerwa 2. RITZ 3..Awesu...
2 Reactions
5 Replies
286 Views
Taifa la Zanzibar limekulia na kudumaa katika uongo, ulaghai, ghiriba, vitisho na mauaji kwa miaka 51 sasa. Vizazi vimelishwa uongo wa uhalisia wa mapinduzi na wanamapinduzi wa kweli wa Zanzibar...
11 Reactions
91 Replies
39K Views
Kitakuwa chama changu cha kwanza kujiunga. Naipenda nchi yangu. Nahitaji kuwa na watu ambao wapo kwa ajili ya maslahi ya umma. Sio watu kama Freeman Mbowe ambae alijali tumbo lake kuliko maslahi...
22 Reactions
47 Replies
790 Views
Haya ni mahojiano yaliyofanyika muda mfupi baada ya mapinduzi ya zanzibar. Sikiliza mahojiano ya Karume, Babu na Okello ( mapinduzi ya zanzibar haya kuwahusisha wanasiasa ) Mohamed...
3 Reactions
18 Replies
7K Views
Swali lipo hapo juu lijubu tyu
1 Reactions
1 Replies
132 Views
Utekaji, mauwaji, rushwa, ufisadi, uongo sio siasa ni uhalifu na uhaini kwenye nchi haijalishi nani anafanya ni kinyume cha sheria kwa yoyote . Anayetekeleza kati ya hayo ni adui wa Tanzania na...
4 Reactions
2 Replies
114 Views
Katika video hii yuko Rais wa Kwanza wa Zanzibar Bwana John Gidion Okello "Field Marshal" (Katikati), Pia yupo Abdulahman Babu kulia (Mkalimani) na yupo Abeid Karume (Kiongozi wa ASP). Hapa Rais...
6 Reactions
23 Replies
5K Views
Watakapoamka watakuja counter revolution will be complete. Watch carefully, as long as there is the union the revolution of January 12, 1964 will be defended. Outside the union the revolution will...
11 Reactions
120 Replies
9K Views
Kama ni kweli ''wakoloni '' walikuwa ni wabaya kiihivyo kama communists walivyotuminisha, how is that elimu ambayo ilitolewa kwetu ndiyo ile ile iliyotolewa ulaya kwao wazungu waliotutawala? i...
1 Reactions
2 Replies
95 Views
Wizara ya Ndani, aliyekuwepo kaondolewa kwa sababu pale Kuna manunuzi ya upigaji, na alionekana ni mtu ambaye hapendi upigaji katika manunuzi hayo ndiyo maana kawekwa Bwana Mdogo asiyebweka...
2 Reactions
3 Replies
216 Views
Ndugu zangu kutokana na kilichotokea october 29, siupatii picha waraka wakina padri kitima utakuaje aisee
3 Reactions
13 Replies
220 Views
Wanabodi, Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar...
4 Reactions
53 Replies
9K Views
Wanabodi, Zanzibar inajiandaa kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 1964 yalioufuta ule uhuru bandia wa mwaka 1963 chini ya serikali ya vibaraka ya Sultani Jamseed...
3 Reactions
612 Replies
63K Views
Leo hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na muwakilishi wa Rais wa China XI JI PING ambaye ni waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya watu wa china ndugu WANG YI. Mambo muhimu...
1 Reactions
21 Replies
503 Views
Kama hatufuati katiba ni kajitabu tu, inamaana hakuna raisi, hakuna polisi wala hakuna nchi wala serikali kila mtu kivyake katiba ndio msingi. Watu wasio na akili waambieni katiba ndio msingi...
1 Reactions
5 Replies
126 Views
Ili kuepuka kuundwa kwa vyama mamluki venye kutumikia mataifa ya nje na kuzalisha vibaraka wa mabeberu ni vyema bunge likajadili na kuweka muundo rasmi wa vyama vya siasa nchini ambapo ndani yake...
1 Reactions
39 Replies
430 Views
Back
Top Bottom