Binafsi siyo muumini wa kutegemea changamoto za Taifa kutatuliwa na mataifa mengine kama Marekani au kwingineko .
Nimuumininsana wa kuziishi kanuni .
Binafsi naamini upungufu wa hekima unaweza...
Ofisi Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa zilizopo Kadege mkoani Mbeya zimevamiwa na kuvunjwa na watu wasiojulikana, huku kiasi kikubwa cha mali, vifaa vya...
Kwamba ndugu Polepole alikuwa hajui kama kujirecord vidio kama zile na upo ndani ya nchi ingemletea shida?
Kwamba alikuwa na uelewa mdogo kuhusu teknolojia?
Inakuwaje unajipiga picha au...
MAANDIKO YANASEMA...TUTAWAGUNDUA KWA VINYWA NA MATENDO YAO.
Natamani iwe kama Usajili ili tusajili Wabunge hawa wawe ndani ya Bunge letu na taasisi zenye dhamana ya kulinda Utu na Uhai wetu...
The war remains active, with no ceasefire or peace agreement in place. Fighting continues along multiple fronts, while both sides increasingly rely on long-range drones and missile strikes...
"Lissu hana kosa, anachosema ni kwamba rasilimali za Nchi hii zitumike kwaajili yetu sote na ndiyo maana tunakuja tunasema mzizi wa fitna wa mambo yote haya yatakatwa na Katiba mpya. Na...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa tuzo maalumu na ya kipekee na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikitambua mchango wake mkubwa na maono yake kama kinara wa...
Mwenye Majibu atuwekee hapa, Saada Mkuya alitokea Zanzibar, Leo anataka watanganyika wasitibiwe Zanzibar
Tunaomba Majibu na baada ya hapo tujadili Wizara zingine
WABHILLAH TAWFIQ
CCM kukubali katiba mpya ambayo italeta tume huru ya uchaguzi ni kujisogeza kaburini hii ni kutokana na hali halisi ilivyo na mwamko wa wananchi hasa vijana
Katiba mpya itaifanya CCM isikae...
Ni bahati mbaya sana kwa Urusi, jinsi muda unavyoenda, uwezo wake wa kuidhibiti Ukraine kwenye uwanja wa vita, unazidi kupungua, wakati uwezo wa Ukraine unazidi kuongezeka.
Urusi kwa sasa haipati...
Nchi nyingi za Afrika zimekuja na katiba mpya ila imekua ni ngumu sana kwa hizo katiba kutamka waziwazi kuwashughulikia mafisadi ama kwa kuwafunga au kuwanyonga
Ni ngumu sana kwa nchi ya Afrika...
So tunaweza kumuita mtu mojawapo jina mfano wa Moses
Moses ni mtoto wa shangazi kutoka kanda ya ziwa ambaye aliolewa na mtu wa Kaskazini, wakahamia Mbeya.
Hivyo Moses alizaliwa Mbeya, amelelewa...
Raia Magufuli amelifikirisha bara la Afrika na dunia.
Congo DRC imekuwa na tatizo la Ebola kwa miaka zaidi ya 10.Sijawahi sikia Mlami aliyefariki kwa Ebola huko Congo.
Zaidi hakuna tahadhari ya...
Ndugu zangu watanzania,
Habari ndio hiyo. Rais wetu Mpendwa anaendelea kuiteka Dunia kwa uchapakazi wake, anaendelea kuwa Nyota ya Dunia, anaendelea kuwa kiongozi mwenye ushawishi zaidi Duniani...
Wanabodi,
Declaration of interest:
1.Mimi Paskali sio mwanachama wa Chadema ila ni kada wa chama cha siasa.
2.Mimi ni binadamu na mtu kutokea Kanda ya Ziwa, ambao wengi wetu tuna madhaifu na type...
The structure of the United Republic of Tanzania is uniquely complex, particularly regarding the distribution of power between Union and non-Union matters. In this setup, one state was completely...
Wakuu,
Yaani akisimama nchale akikaa nchale, hakuna kupumbua, ni mwendo wa kula mabanzi back to back mpaka kieleweke!
Ila haya yote ameyataka mwenyewe, kila kitu ameshauriwa lakini wapiii, sikio...
Nchi yetu ya Tanzania imekuwa kama nchi ya laana, damu inamwagika Kila sehemu.
Polepole alifanya mistake kubwa kurudi bongo na kujitangaza Kwa majigambo kuwa Yuko bongo. Tanzania ina intelligence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.