Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Unafkiri hawaoni yanayoendelea ?? wanayaona sana tu lakini mapenzi ya vyeo, pesa, maisha mazuri ya familia, n.k. ni muhimu sana kuvitunza Kwa kiasi kikubwa, tatizo linaweza kuwa ni sehemu ya...
3 Reactions
1 Replies
76 Views
Nimejitahidi sana kutaka kuelewa sababu gani viongozi wote wa juu wamekaa kimya juu ya haya ya KIBAGUZI yanayoendelea nchini. Na kibaya zaidi ukisikiliza maneno yanayozungumzwa utagundua sii hoja...
0 Reactions
7 Replies
142 Views
Ninafuatilia maandamano ya Gen Z; 7/7, kuna vitu symbolic kabisa naviona. Baada ya Tarehe 7/7 tutarajie kuona mijadala ya kuwatenga Wazanzibari walioko Tanganyika, Tutarajie kuona chuki kubwa...
19 Reactions
87 Replies
1K Views
Nimeshangaa sana hizi habari kuenea kwa kasi ya ajabu. Haya maandamano ataandamana nani mbona hatuĵulishwi? Au yatakuwa maandamano ya kimya kimya? Au tusiojua hayatuhusu?Acheni kufanya vitu...
3 Reactions
5 Replies
155 Views
Mwanadamu daima si malaika,walisema ni Rais mbaya kuwahi kutokea ila sasa ubatizo wanaoupata unawafanya wajue yupi mbaya na yupi mzuri,
4 Reactions
3 Replies
73 Views
Kwa heshima kubwa, tunaiomba Serikali kupitia Jeshi la Polisi Tanzania na hasa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) kuchukua hatua za haraka kuhusu malalamiko yanayoendelea kujitokeza juu ya ujenzi...
1 Reactions
0 Replies
94 Views
Dr John Pombe Magufuli alikuwa mtu special aliyepata kuwepo katika dunia, tabia yake adhimu katika utumishi ilikuwa adimu kuwepo kwa viongozi wengi wa Kiafrika kwa sasa, Jaribu kutafuta kiongozi...
11 Reactions
47 Replies
2K Views
Busara katika kukabiliana na jambo lolote unalotaka lisitokee, ni kujiuliza kama kuna sabau za msingi zinazofanya litokeee. Hapo utakuwa unaangalia chanzo, source. Sasa japo ni jambo la kuaibisha...
2 Reactions
16 Replies
255 Views
Suala la October 29 mnaweza kusema wananchi ndo wameingia uoga baada ya kushudia mauaji ya ndugu zao, wapendwa wao lakini naweza kusema wananchi ilo tukio limewafanya kua imara zaidi hao...
21 Reactions
153 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Pwani, Boniface Jacob maarufu Boniyai ameripoti katika kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam leo Juni 16, 2026, akisema amehojiwa kuhusu tuhuma za...
12 Reactions
28 Replies
571 Views
Mbunge wa Tarime Vijini, Mwita Waitara, akichangia bungeni Juni 16, 2026 amesema; "Mhe. Mwenyekiti, tunapofanya mambo haya tuwe makini sana. Kila tunapoenda, malalamiko ya Watanzania hapa, sio...
4 Reactions
11 Replies
361 Views
Kwa haya yanayoendelea mimi kama kijana yananifikirisha kiukweli,ni kama kuna kitu kinamiss sidhani kama tushawahi pitia hali kama hii kabla https://www.facebook.com/share/v/1DccRyaBBW/...
2 Reactions
9 Replies
181 Views
Rais Ruto kaalikwa huko Ufaransa kwenye mkutano wa G7. Mwingine kutoka Afrika ni El-Sisi wa Misri. Anaishia kwenda kwa Putin ambaye naye anahangaishwa na kanchi kadogo tu, Ukraine. Hata Kenya...
8 Reactions
36 Replies
526 Views
Musukuma: Rais wa Zanzibar Dkt. Mwinyi awadhibiti Mawaziri, Wabunge na Wawakilishi wake waache ubaguzi, mbona Wazanzibari wanatibiwa Tanganyika. Musukuma: Robo tatu ya Wachimba madini Geita ni...
2 Reactions
7 Replies
181 Views
Kwanza watu walikuwa na matarijio makubwa sana kwamba sasa serikali ingeweza kushikishwa adabu na kufuata misingi ya kisheria. Watu walitarajia kuwa zile kesi za kikatiba alizokuwa anazifungua...
10 Reactions
42 Replies
705 Views
Mbunge wa Tarime Vijini, Mwita Waitara, amependekeza Mbunge wa Baraza la Uwakilishi Zanzibar, Mohamed Simai Said aondolewe Bungeni, huku akimtaka amtaje mtu aliyemtuhumu kuwa ni 'yuda'. Soma...
6 Reactions
20 Replies
572 Views
RC chalamila anafanya kazi ya 7/7 kua nyepesi sana kauli zake ni Kama chachu ya kuongezea watu hasira , hapo hapo zinaogeza vaibu chuki kwa serikali na kuongeza hamasa ya watu kuingia barabarani...
3 Reactions
63 Replies
482 Views
Tulikofikia Wazanzibar wataanza kutuchukulia poa sana hasa hasa kipindi cha Rais wa kutoka kule Kuna speech ya Nyerere inatembea sana mitandaoni yenye maudhui kwamba yeye (Nyerere) ndiye...
16 Reactions
49 Replies
660 Views
Serikali ya Tanzania inategemea kukusanya na kutumia takribani Trilioni 61.9 Kwa mwaka wa fedha ujao wa 2026/2027. Bajeti hii itaongezeka Kwa Trilioni 7 kutoka Trilioni 55 zaidi ya Bajeti ya...
7 Reactions
160 Replies
3K Views
KESI YA MFANYABIASHARA BASIL AENDELEA KUSOTA BUTIMBA Kesi inayomkabili Mfanyabiashara na mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza nyavu cha Nyamagara Fishing LTD cha jijini Dar es salaam, Basil Kyando...
6 Reactions
17 Replies
620 Views
Back
Top Bottom