Unafkiri hawaoni yanayoendelea ?? wanayaona sana tu lakini mapenzi ya vyeo, pesa, maisha mazuri ya familia, n.k. ni muhimu sana kuvitunza
Kwa kiasi kikubwa, tatizo linaweza kuwa ni sehemu ya...
Nimejitahidi sana kutaka kuelewa sababu gani viongozi wote wa juu wamekaa kimya juu ya haya ya KIBAGUZI yanayoendelea nchini.
Na kibaya zaidi ukisikiliza maneno yanayozungumzwa utagundua sii hoja...
Ninafuatilia maandamano ya Gen Z; 7/7, kuna vitu symbolic kabisa naviona.
Baada ya Tarehe 7/7 tutarajie kuona mijadala ya kuwatenga Wazanzibari walioko Tanganyika, Tutarajie kuona chuki kubwa...
Nimeshangaa sana hizi habari kuenea kwa kasi ya ajabu.
Haya maandamano ataandamana nani mbona hatuĵulishwi? Au yatakuwa maandamano ya kimya kimya? Au tusiojua hayatuhusu?Acheni kufanya vitu...
Kwa heshima kubwa, tunaiomba Serikali kupitia Jeshi la Polisi Tanzania na hasa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) kuchukua hatua za haraka kuhusu malalamiko yanayoendelea kujitokeza juu ya ujenzi...
Dr John Pombe Magufuli alikuwa mtu special aliyepata kuwepo katika dunia, tabia yake adhimu katika utumishi ilikuwa adimu kuwepo kwa viongozi wengi wa Kiafrika kwa sasa, Jaribu kutafuta kiongozi...
Busara katika kukabiliana na jambo lolote unalotaka lisitokee, ni kujiuliza kama kuna sabau za msingi zinazofanya litokeee. Hapo utakuwa unaangalia chanzo, source.
Sasa japo ni jambo la kuaibisha...
Suala la October 29 mnaweza kusema wananchi ndo wameingia uoga baada ya kushudia mauaji ya ndugu zao, wapendwa wao lakini naweza kusema wananchi ilo tukio limewafanya kua imara zaidi hao...
Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Pwani, Boniface Jacob maarufu Boniyai ameripoti katika kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam leo Juni 16, 2026, akisema amehojiwa kuhusu tuhuma za...
Mbunge wa Tarime Vijini, Mwita Waitara, akichangia bungeni Juni 16, 2026 amesema; "Mhe. Mwenyekiti, tunapofanya mambo haya tuwe makini sana. Kila tunapoenda, malalamiko ya Watanzania hapa, sio...
Kwa haya yanayoendelea mimi kama kijana yananifikirisha kiukweli,ni kama kuna kitu kinamiss sidhani kama tushawahi pitia hali kama hii kabla
https://www.facebook.com/share/v/1DccRyaBBW/...
Rais Ruto kaalikwa huko Ufaransa kwenye mkutano wa G7.
Mwingine kutoka Afrika ni El-Sisi wa Misri.
Anaishia kwenda kwa Putin ambaye naye anahangaishwa na kanchi kadogo tu, Ukraine.
Hata Kenya...
Musukuma: Rais wa Zanzibar Dkt. Mwinyi awadhibiti Mawaziri, Wabunge na Wawakilishi wake waache ubaguzi, mbona Wazanzibari wanatibiwa Tanganyika.
Musukuma: Robo tatu ya Wachimba madini Geita ni...
Kwanza watu walikuwa na matarijio makubwa sana kwamba sasa serikali ingeweza kushikishwa adabu na kufuata misingi ya kisheria.
Watu walitarajia kuwa zile kesi za kikatiba alizokuwa anazifungua...
Mbunge wa Tarime Vijini, Mwita Waitara, amependekeza Mbunge wa Baraza la Uwakilishi Zanzibar, Mohamed Simai Said aondolewe Bungeni, huku akimtaka amtaje mtu aliyemtuhumu kuwa ni 'yuda'.
Soma...
RC chalamila anafanya kazi ya 7/7 kua nyepesi sana kauli zake ni Kama chachu ya kuongezea watu hasira , hapo hapo zinaogeza vaibu chuki kwa serikali na kuongeza hamasa ya watu kuingia barabarani...
Tulikofikia Wazanzibar wataanza kutuchukulia poa sana hasa hasa kipindi cha Rais wa kutoka kule
Kuna speech ya Nyerere inatembea sana mitandaoni yenye maudhui kwamba yeye (Nyerere) ndiye...
Serikali ya Tanzania inategemea kukusanya na kutumia takribani Trilioni 61.9 Kwa mwaka wa fedha ujao wa 2026/2027.
Bajeti hii itaongezeka Kwa Trilioni 7 kutoka Trilioni 55 zaidi ya Bajeti ya...
KESI YA MFANYABIASHARA BASIL AENDELEA KUSOTA BUTIMBA
Kesi inayomkabili Mfanyabiashara na mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza nyavu cha Nyamagara Fishing LTD cha jijini Dar es salaam, Basil Kyando...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.