Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Makamu Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo bara, Isihaka Mchinjita, amehoji ukimya wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kushindwa kuchapisha matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwenye...
0 Reactions
Replies
Views
Kama itakusaidia kufanya kazi zako ( of which I do not expect from you), basi itumie. Sikiliza clip hii
3 Reactions
4 Replies
213 Views
Mtangazaji wa Clouds Media, Adam Mchomvu, amedai kuwa "Mimi kodi yangu asipewe mchezaji" akisema, hali ya miundombinu, kama barabara za ndani ni mbovu kila chocho, wagonjwa wengi hawapati dawa, na...
18 Reactions
26 Replies
674 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko makubwa ya kimkakati katika safu ya washauri wake, akiwateua aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, na...
14 Reactions
86 Replies
3K Views
Mwanamitandao Clemence Mwandambo amesema amekuwa akitumia video anazochapisha mtandaoni katika kuwashauri wanasiasa na kuwasilisha mawazo yake, lakini mara nyingine wanasiasa wamekuwa hawataki...
8 Reactions
30 Replies
765 Views
..Othman Masoud anamuona Hussein Mwinyi kama mateka asiyeweza kuitetea Zanzibar, hadhi, maslahi, na haki zake. ..Hussein Mwinyi anamuona Othman Masoud kama mchochezi asiyetaka Wazanzibar wawe...
12 Reactions
225 Replies
17K Views
KABENDERA ANADAI BEN SANANE ALIUAWA NA 'BWANA MKUBWA'! Mwishoni mwa mwaka 2020, nilipata ujumbe mzito kutoka kwa Rais Magufuli kupitia kwa mtu wake mmoja ambaye jina lake linatunzwa. Rais...
81 Reactions
456 Replies
26K Views
Tuna utawala duni na wa ajabu nyakati hizi kuliko wakati wowote. Watawala wamenyimwa hekima, ufahamu na maono, kwani wanajitengenezea kaburi lao wenyewe. Wajinga wanaamini kuwa kulishambulia...
11 Reactions
29 Replies
600 Views
Kuna baadhi yetu waTanzania wanaoamini kwamba kuna watu, nchi au makundi toka nje ya nchi hii watakaokuja kutuondolea shida ya utawala wa maguvu unaotukabili sasa hivi. Watu wanasubiri ICC au...
7 Reactions
22 Replies
393 Views
Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani. Ikitokea Ben au...
26 Reactions
149 Replies
8K Views
Yes habari za masiku ndugu zangu na poleni nyote Kwa kadhia tuliyoipata kwa kusimamishwa Kwa muda Kwa platform yetu pendwa ila hope now tupo sawa. Happy new year pia nawatakiwa kila lakheri katika...
0 Reactions
2 Replies
109 Views
Ukiondoa mzee wa kujikomba kutafuta uteuzi, ni kama machawa wa humu jf wametokomea au kufilia mbali. Machawa mabingwa wa kujikomba, kupongeza, na kushambulia watu mko wapi?
5 Reactions
21 Replies
286 Views
Mkutano wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki (EALS),uliokuwa umepangwa kufanyika Zanzibar ,Tanzania kama sehemu ya tamasha la kuadhimisha miaka 30 ya EALS umehamishwa kutoka zanzibar hadi...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Deusdedith Soka amepotea kimzaha mzaha. Miaka ya nyuma alitoweka Ben Saanane kama utani mpaka leo hatujawahi kumuona tena. Je ndio washamalizana na Soka? Pia soma Soka yupo wapi? Tuambieni kama...
17 Reactions
140 Replies
7K Views
  • Featured
Leo tunakwenda almost mwezi wa saba, kijana Deusdedith Soka ma wenzie wamepotezwa. Umma ulipiga kelele mwanzoni, leo umekaa kimya. Chama chake nacho kimejikalia kimya, hakihangaiki tena na kijana...
11 Reactions
41 Replies
2K Views
Abdalah Kassim Hanga alikubalika sana kwenye siasa za Zanzibar. Alikuwa na akili nyingi na alikiwa msomi kuliko Abeid Karume. Hivyo watu wa Zanzibar walimkubali sana. Na alionekana anafaa kuwa...
3 Reactions
4 Replies
164 Views
Mwanachama wa JF na mdau mkubwa wa mitandao, Mdude_Nyagali amechukuliwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi usiku huu. Walikuwa na silaha, wamevunja mlango. Mdude amepigwa sana, alikuwa...
20 Reactions
347 Replies
23K Views
  • Featured
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Mange ameandika.... "Hi guys nimetumiwa hii ni mtu ana insist ni ndugu yake na Polepole. I don’t know what to think, Mimi nilidhani Polepole hayuko TZ. I’m...
18 Reactions
370 Replies
16K Views
Hulka za viburi na ujeuri za viongozi wakuu wa chadema, mathalan Lisu na heche, vinalandana na kushabihiana kabisaa na ukaidi usio na faida wa viongozi kama vile Zelensky na Hayatollah Khemenei...
5 Reactions
92 Replies
2K Views
Wewe endelea kuvishwa Fulana na kofia za SSH, huku ukipewa Fanta take away na ubwabwa uliochacha Jamani hata kama Wanaccm ni Wajinga ndio iwe hivi kweli? Kwamba hakuna Wanaccm wengine na ni...
26 Reactions
82 Replies
5K Views
Back
Top Bottom