Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa tuzo maalumu na ya kipekee na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikitambua mchango wake mkubwa na maono yake kama kinara wa...
1 Reactions
11 Replies
215 Views
Huku ndiko CCM ilikotufikishwa. Sikiliza clip hii, inatia simanzi isiyo kifani
1 Reactions
20 Replies
407 Views
Mwenye Majibu atuwekee hapa, Saada Mkuya alitokea Zanzibar, Leo anataka watanganyika wasitibiwe Zanzibar Tunaomba Majibu na baada ya hapo tujadili Wizara zingine WABHILLAH TAWFIQ
18 Reactions
94 Replies
2K Views
https://www.youtube.com/watch?v=LQuVd8blxm4
0 Reactions
5 Replies
128 Views
CCM kukubali katiba mpya ambayo italeta tume huru ya uchaguzi ni kujisogeza kaburini hii ni kutokana na hali halisi ilivyo na mwamko wa wananchi hasa vijana Katiba mpya itaifanya CCM isikae...
4 Reactions
6 Replies
175 Views
Ni bahati mbaya sana kwa Urusi, jinsi muda unavyoenda, uwezo wake wa kuidhibiti Ukraine kwenye uwanja wa vita, unazidi kupungua, wakati uwezo wa Ukraine unazidi kuongezeka. Urusi kwa sasa haipati...
1 Reactions
2 Replies
208 Views
Nchi nyingi za Afrika zimekuja na katiba mpya ila imekua ni ngumu sana kwa hizo katiba kutamka waziwazi kuwashughulikia mafisadi ama kwa kuwafunga au kuwanyonga Ni ngumu sana kwa nchi ya Afrika...
2 Reactions
5 Replies
122 Views
So tunaweza kumuita mtu mojawapo jina mfano wa Moses Moses ni mtoto wa shangazi kutoka kanda ya ziwa ambaye aliolewa na mtu wa Kaskazini, wakahamia Mbeya. Hivyo Moses alizaliwa Mbeya, amelelewa...
3 Reactions
45 Replies
549 Views
Raia Magufuli amelifikirisha bara la Afrika na dunia. Congo DRC imekuwa na tatizo la Ebola kwa miaka zaidi ya 10.Sijawahi sikia Mlami aliyefariki kwa Ebola huko Congo. Zaidi hakuna tahadhari ya...
12 Reactions
25 Replies
3K Views
Ndugu zangu watanzania, Habari ndio hiyo. Rais wetu Mpendwa anaendelea kuiteka Dunia kwa uchapakazi wake, anaendelea kuwa Nyota ya Dunia, anaendelea kuwa kiongozi mwenye ushawishi zaidi Duniani...
3 Reactions
17 Replies
238 Views
Wanabodi, Declaration of interest: 1.Mimi Paskali sio mwanachama wa Chadema ila ni kada wa chama cha siasa. 2.Mimi ni binadamu na mtu kutokea Kanda ya Ziwa, ambao wengi wetu tuna madhaifu na type...
65 Reactions
392 Replies
43K Views
The structure of the United Republic of Tanzania is uniquely complex, particularly regarding the distribution of power between Union and non-Union matters. In this setup, one state was completely...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Wakuu, Yaani akisimama nchale akikaa nchale, hakuna kupumbua, ni mwendo wa kula mabanzi back to back mpaka kieleweke! Ila haya yote ameyataka mwenyewe, kila kitu ameshauriwa lakini wapiii, sikio...
4 Reactions
7 Replies
264 Views
Nchi yetu ya Tanzania imekuwa kama nchi ya laana, damu inamwagika Kila sehemu. Polepole alifanya mistake kubwa kurudi bongo na kujitangaza Kwa majigambo kuwa Yuko bongo. Tanzania ina intelligence...
12 Reactions
61 Replies
1K Views
Sasa imezidi katika utawala wa JMT, Katiba haina hadhi. Tanzania ni nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar. Tamko la rais wa Zanzibar Kwamba 17th June ni Holiday ni kosa la kisheria na pia...
1 Reactions
14 Replies
339 Views
Kwa anayefahamu, hizo SIRI za NCHI huwa ni mambo ya aina gani?
10 Reactions
83 Replies
979 Views
Mwenyekiti wa Mamlaka ya mji mdogo Maswa mkoani Simiyu,Carolina Shayo amezuia mzabuni ya uondoshaji wa taka katika mji wa Maswa kutoendelea na kazi na hivyo kusababisha mji kuwa mchafu kila kona...
0 Reactions
1 Replies
107 Views
KAMBI YA WAZIRI AWESO MWANZA, HUDUMA MAJI SAFI YAREJEA AWAONYA WATUMISHI Kambi iliyowekwa jijini Mwanza na Wazir wa maji Jumaa Aweso, imeleta manufaa kwa wakazi wa Jiji la Mwanza baada ya huduma...
0 Reactions
3 Replies
125 Views
Kumbukizi: Kauli za Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alizozitoa katika Bunge Maalum la Katiba mwaka 2014 kuhusu kasoro zilizopo kwenye Muungano. Wakati huo alikuwa Mkuu wa Sheria wa chama...
5 Reactions
4 Replies
174 Views
Kwa nini taasisi na mashirika ya serikali hutangaza tenders na kuingia mikataba ya manunuzi wakati fedha za kulipia bidhaa au huduma husika hazipo au cash flow yake haina uhakika? Mwisho wa siku...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Back
Top Bottom