Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama hutajiuzulu huu utakuwa ni NI MWENDELEZO Wa utapeli kama tapeli zenu zingine! tunataka katiba mpya
2 Reactions
5 Replies
134 Views
Hawa wote wamehusika moja kwamoja kwenye uhalifu mkubwa dhidi ya raia, sasa wamekuja na option ya kujifanya hawaelewani ili watanzania waanze kufuatilia muvi yao dhaifu kabisa. Kwakifupi mimi...
16 Reactions
30 Replies
529 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimewaona na kuonyeshwa Ma Rais 5 Watakaofuatia na kuongoza Taifa letu baada ya Kumaliza Muhula wake Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Hapo...
3 Reactions
78 Replies
586 Views
‼️ALERT ‼️ Muda huu huko Kilwa Madalali wamekusanya Watu wa CCM, wamewavalisha nguo za CHADEMA na kuwarekodi wakimshambulia Mhe. Heche kwa malipo ya laki moja moja. Muda wowote kuanzia sasa...
16 Reactions
14 Replies
437 Views
Akihojiwa na journalist wa jarida la the economist, the worlds richest man and an african-american E.Musk, kaulizwa maswali 2 magumu, are you racist jibu ni resounding no, la pili are you...
1 Reactions
6 Replies
214 Views
Wakuu, Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, amedai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakina dhamira ya kuendeleza mchakato wa Katiba Mpya, akisema hadi sasa hakuna hatua zozote zinazoonyesha...
3 Reactions
5 Replies
244 Views
Tukiwa tunaimaliza Sabato! Nchimbi yupo sahihi. Kauli yake ya pambanieni katiba ni sahihi. Wenye mamlaka wao hawana shida na Katiba mpya kwa sababu wao yakwao yanawaendea. Katiba kwao sio...
5 Reactions
4 Replies
63 Views
Mtu Yuko ndani ya gari anakuambia tuendelee kusukuma tukiwa ndani litasogea TU . Tunashangilia tuanaacha kuliondoa gari bovu tuingiingize gari jipya lenye uwezo wa kutuvusha hapa . Tunaamini...
6 Reactions
42 Replies
375 Views
Nikiri kwamba mara hii natumia MOYO badala ya UBONGO kuandika uzi huu. Mashinikizo ya ndani na nje ya nchi hayawezi kuifanya Tanzania ipindisje au iachane na Katiba yake, sheria, mila, taratibu...
1 Reactions
46 Replies
764 Views
Akizungumza katika Mkutano wa Wanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo Julai 23, 2026, amesisitiza kuwa haki...
4 Reactions
16 Replies
411 Views
MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA IRAMBA TAYARI KUMULIKA MIRADI YA MAENDELEO Mwenge wa Uhuru umewasili katika Wilaya ya Iramba ukitokea Halmashauri ya Manspaa ya Singida na kupokelewa rasmi na Mkuu wa...
0 Reactions
18 Replies
106 Views
Kwanza kabisa nawatakia wana Jf wote maandalizi mema ya Christmas. Sisi makamanda tunaokwenda Moshi tuwe makini tusiwapelekee wazee wetu toleo jipya la covid 19. Mwisho, Hongereni the so called...
35 Reactions
113 Replies
9K Views
Nafikiri kitendo cha Makamu wa rais Dk. Emmanuel Nchimbi kuwaambia Watanzania wapambanie katiba mpya wakati yeye ndiye aliyepo kwenye nafasi ya kuwezesha mchakato huo lakini hata hivyo hajafanya...
0 Reactions
1 Replies
70 Views
Mara baada ya Hayati Magufuli kufariki Kuna msemo maarufu uliibuka mitaani kwa wale wafuasi wa Chadema na walamba asali kila lililofanywa walishangilia sana. Sabaya alivyokamatwa walishangilia...
16 Reactions
40 Replies
3K Views
Mbunge wa Nyamagana, Stanslaus Mabula ameweka wazi kuwa hakuna kundi linaloitwa Sukuma Gang bali ni wahuni wachache wameamua kutengeneza syndicate ya kuchafua watu wa Kanda ya Ziwa. "Sukuma Gang...
9 Reactions
58 Replies
3K Views
FAMILIA ya WATU WAZURI HAWAFI baada ya Rais Samia kuingia madarakani ilimtengezea kitu kinaitwa SUKUMA GANG kwa lengo la kumtenganisha na watu wote waliowahi kufanya kazi kwa uadilifu na matokeo...
11 Reactions
47 Replies
4K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo hizileta kwa mfumo wa swali fikirishi na mimi kutoa tuu maoni yangu lakini kukupa wewe...
35 Reactions
356 Replies
15K Views
Chanzo cha shida tuliyonayo imeanzia kwenye hotuba hii. Hebu tuitishe mjadala ili kuona kama Lissu anaonewa au la https://youtu.be/KkIZj15NurU?si=zN6x4rY-kxSb1w8X
5 Reactions
12 Replies
241 Views
Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu. Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano...
20 Reactions
83 Replies
6K Views
Wakuu kwema, Mungu mwema siku zote na amani na haki ikawe nyoyoni mwenu Rejea mada tajwa hapo juu. Wahuni uzeeka pia, wazee kama Wasira ni janga kuu katika taifa huwezi kuwa kiongozi halafu...
13 Reactions
20 Replies
345 Views
Back
Top Bottom