Kwanini Waziri wa fedha wa Tanzania atokee Zanzibar?

Kwanini Waziri wa fedha wa Tanzania atokee Zanzibar?

1000012599.jpg
 
Mwenye Majibu atuwekee hapa, Saada Mkuya alitokea Zanzibar, Leo anataka watanganyika wasitibiwe Zanzibar

Tunaomba Majibu na baada ya hapo tujadili Wizara zingine

WABHILLAH TAWFIQ
Kasome article of union wewe pimbi. Hajasema wasitibiwe wewe kichwa maji amesema SMZ haitobeba gharama za matibabu.. Mimi sijawahi kutibiwa Bure Tanganyika na nipo hapa mwaka wa 35
 
Nyerere alilazimisha huu muungano pengine kwa woga tu wa wakati ule.

Eti security & proximity concerns,
Geography ya Tanganyika vs Zanzibar inafanana pia na nchi nyingine.
1. Cameron vs Equatorial Guinea
2. Kenya vs Seychelles
3. Ethiopia vs Eritrea/ Djibouti
4. Gabon vs Sao Tome
5. SA vs Lesotho nk
6. Senegal vs Gambia nk

Kama hizi nchi wangefuata hoja za Nyerere, (za usalama) hakika wangekuwa wameungana hadi leo.
Japo hapo No 6, walijaribu kuungana yakawashinda.
Honestly Huu Muungano ni unhealthy kwa Tanganyika.
Yaani tunaoonekana kama hatuna akili.
Ukiwauliza CCM kwanini Wazanzibar wasiruhusiwe kufanya referendum ili kujua Wananchi kama wako hiari kuishi chini ya muungano au vipi,
hawataki kabisa kusikia hilo.
 
Nyerere alilazimisha huu muungano pengine kwa woga tu wa wakati ule.

Eti security & proximity concerns,
Geography ya Tanganyika vs Zanzibar inafanana pia na nchi nyingine.
1. Cameron vs Equatorial Guinea
2. Kenya vs Seychelles
3. Ethiopia vs Eritrea/ Djibouti
4. Gabon vs Sao Tome
5. SA vs Lesotho nk
6. Senegal vs Gambia nk

Kama hizi nchi wangefuata hoja za Nyerere, (za usalama) hakika wangekuwa wameungana hadi leo.
Japo hapo No 6, walijaribu kuungana yakawashinda.
Honestly Huu Muungano ni unhealthy kwa Tanganyika.
Yaani tunaoonekana kama hatuna akili.
Ukiwauliza CCM kwanini Wazanzibar wasiruhusiwe kufanya referendum ili kujua Wananchi kama wako hiari kuishi chini ya muungano au vipi,
hawataki kabisa kusikia hilo.
 
Jibu ni kwamba suala fedha ni suala muungano hivyo waziri wa fedha anaweza kutoka zanzibar au bara na sio mara ya kwanza waziri wa fedha kutoka zanzibar.

Siyo kweli. Kumbe na wewe ni mbumbumbu. Wizara ya fedha siyo ya Muungano.

Benki kuu ndiyo taasisi ya Muungano. Wizara ya fedha wazanzibari wanayo ya kwao huko Zanzibar.
 
Back
Top Bottom