Haki Madhubuti
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 201
- 182
Sasa imezidi katika utawala wa JMT, Katiba haina hadhi. Tanzania ni nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar. Tamko la rais wa Zanzibar Kwamba 17th June ni Holiday ni kosa la kisheria na pia “stubbornness” kwa utawala wa rais Hassan wa JMT.
Sheikh mkuu wa Tanzania aliomba pia “Bara” wapumnzike”. Najua huyu ndugu kaisoma katiba Ila mapenzi ya dini anataka furaha katika jambo hili.
Her silence means a lot. Labda hataki malumbano na uongozi wa Zanzibar.
Tusilee uoga, unafiki na itikadi kali. Lazima viongozi wawe majasiri, wakweli bila kuogopa changamoto mbele yao.
Sheikh mkuu wa Tanzania aliomba pia “Bara” wapumnzike”. Najua huyu ndugu kaisoma katiba Ila mapenzi ya dini anataka furaha katika jambo hili.
Her silence means a lot. Labda hataki malumbano na uongozi wa Zanzibar.
Tusilee uoga, unafiki na itikadi kali. Lazima viongozi wawe majasiri, wakweli bila kuogopa changamoto mbele yao.