Katika kipindi cha wiki za hivi karibuni, mjadala kuhusu mustakabali wa Muungano wa Tanzania umeibuka kwa nguvu ndani ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, huku masuala ya uhuru wa kifedha, ajira kwa...
Kauli ya mmoja ni kauli ya wengi. Kufuatia sintofahamu iliyojitokeza hivi karibuni, wananchi wa Zanzibar wameamua kupaza sauti zao. Wananchi hawa wamekuwa wakivumilia kwa muda mrefu lakini sasa...
My Take
Kama Nchi tutashindwa Kufikia malengo ya Dira-2050 ya Kuwa na Uchumi wa $Trilioni 1 ikiwa tutaendelea kuwa wavivu kuzaa Ili kuongeza fursa za soko.Watu mil.70 ni wachache sana.
Can't wait...
My Take
Kuna baadhi ya Nyumbu wa Chadema wataanza kubishq na Kutukana hovyo.
Tanzania inasonga mbele.
Pia soma hapa PreGE2025 - Prof. Mkenda: Rais Samia aagiza kila Wilaya kujengwa VETA, Ujenzi...
KWA LEO TUANGAZIE BAJETI YA NCHI KWA UPANDE WA MADENI 2026/2027
Pamoja na changamoto lukuki zilizopo kwenye nchi yetu tutoe maoni yetu kuhusu Hili haya madeni yanaonyesha kuongezeka bila...
Prof Tibaijuka, kuwa mkweli! Haihitaji degree ya University kuona kuwa wanaopotea, kuuawa, kufungwa/ kufunguliwa kesi wana mrengo cha chama fulani cha upinzani, kupinga mamlaka fulani ya uonevu...
“Hakuna nchi iliyowahi kuendelea kwa kutegemea bajeti ya Serikali pekee”
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Ludovick Utouh, amesema mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma...
Utangulizi
Katika zama za kidijitali, nguvu ya kuunda maoni ya umma imehama kutoka kwenye magazeti, redio na televisheni pekee kwenda kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii. Leo, video ya sekunde...
Wabunge wa Bunge la Ulaya (MEPs) wamepitisha azimio la kuitaka Tume ya Ulaya kufuta rasimu ya mpango wa ufadhili wa kiasi cha Euro milioni 156 uliotengwa kwa ajili ya Tanzania kwa mwaka 2026...
Wao wazanzibari, sisi watanganyika, dhambi hii itawatafuna MILELE.
Je ni kweli kauli hii bado inaishi au imeshakuwa overtaken by time and modern development
Hilda Newton: Nimeona video ya...
Serikali yetu tukufu ya awamu ya 6 chini ya Dr. Samia Suluhu Hassan tunaomba mliangalie hili swala la Makato ya mishahara kwa walimu kwenda kwenye CHAMA CHA WALIMU ni makubwa sana.
Nashauri toeni...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Ally Hapi amewataka Watanzania na Vyama vya Siasa Nchini kufanya maridhiano kwa kutumia mifumo ya ndani badala ya kusubiri Mataifa ya...
Pamoja na malalamiko ya Watanganyika kwa sasa kuhusu muungano ni ukweli kwamba muungano ni hasara kubwa pia kwa Zanzibar na unaiwekea vikwazo vingi sana kufikia fursa nyingi sana za wazi na kupiga...
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Kanda ya Kusini, ambako Kampeni ya #FREE LISSU na KATIBA MPYA inatikisa
Unaambiwa Wananchi wana mzuka Usipime!
Hakika ccm imekwisha kabisa , kilichobaki ni...
Askofu Bangoza na safari yake huko Sweden anasema,
Tarehe 16 na 17/6/2026 nimetembelea Bunge la Sweden (Riksdag), Wizara ya Mambo ya Nje na makazi ya kifalme. Nilialikwa, sikwenda kutalii na...
MJADALA NA UPIGAJI KURA WA BUNGE LA ULAYA KUHUSU MPANGO WA USHIRIKIANO KATI YA ΤΑΝΖΑΝΙΑ NA UMOJA WA ULAYA KWA MWAKA 2026
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefuatilia mjadala na upigaji...
Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano.
Ninawasihi watu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.