Wizi tuu hakuna siri yeyoteKwa anayefahamu, hizo SIRI za NCHI huwa ni mambo ya aina gani?
Pascal Mayalla tuambie mfano wa hizi Siri zinazoitwa 'Classified'..Kwa anayefahamu, hizo SIRI za NCHI huwa ni mambo ya aina gani?
Sijasema zitajwe.Siri zitabaki kuwa siri tu!
Mfano ni siri gani ya serikali imewahi kuvuja?Mfano wewe ni daktari bingwa ambae unaweza kuhudumia viongozi wakuu kadhaa wa taifa na unajua taarifa kadhaa juu ya afya zao na zinaweza kutumika ndani na nje ya nchi Kwa hira, hiyo ni Siri tayari vilevile katika ngazi ya usalama mnaweza mkawa mnachunguza sehemu Fulani na akatokea mmoja wenu akawataarifu mnaowachunguza hiyo tayari ni dosari aidha kiusalama,kiuchumi n.k.
Swala la utoaji Siri kitaifa sio lakubeza isipokuwa tu linatafsiriwa tofauti tu.
Bila shaka ni za oct 29 na utekaji,na uuaji usiokwisha hapa Zimbabwe!Kwa anayefahamu, hizo SIRI za NCHI huwa ni mambo ya aina gani?
Mambo ambayo yakitajwa hadharani yataleta taharuki kwa Umma.Sijasema zitajwe.
Nataka kujua tu, ni mambo ya aina gani?
Mfano?Mambo ambayo yakitajwa hadharani yataleta taharuki kwa Umma.
Taarifa zozote za kiserikali ambazo bado serikali haijazitoa rasmi.Mfano?
Kwahiyo hakujawahi kuwepo na siri ya serikali iliyovuja??Taarifa zozote za kiserikali ambazo bado serikali haijazitoa rasmi.
Ni kweli. Na anayejaribu kufichua mambo hayo, risasi 36 zinaweza kumhusu.Ni ufisadi, upigaji, ubadhirifu na rushwa kubwa zinazofanywa na vigogo ndani ya chama na serikali. Hakuna kingine zaidi ya hicho
Zimevujishwa nyingi tu..Kwahiyo hakujawahi kuwepo na siri ya serikali iliyovuja??
Hazina jina?Zimevujishwa nyingi tu..