BoT yamtunuku Rais Samia Tuzo ya Kinara wa Mapinduzi ya Mifumo na Huduma Jumuishi za Kifedha

BoT yamtunuku Rais Samia Tuzo ya Kinara wa Mapinduzi ya Mifumo na Huduma Jumuishi za Kifedha

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,943
Reaction score
2,982
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa tuzo maalumu na ya kipekee na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikitambua mchango wake mkubwa na maono yake kama kinara wa mabadiliko ya kiuchumi na mifumo ya kifedha nchini.

Tukio hilo limejiri leo Juni 12, 2026, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Benki Kuu nchini.

 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa tuzo maalumu na ya kipekee na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikitambua mchango wake mkubwa na maono yake kama kinara wa mabadiliko ya kiuchumi na mifumo ya kifedha nchini.

Tukio hilo limejiri leo Juni 12, 2026, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Benki Kuu nchini.
Hongera Mama Tuzo.
Kumbe kila mtu anajua!!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa tuzo maalumu na ya kipekee na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikitambua mchango wake mkubwa na maono yake kama kinara wa mabadiliko ya kiuchumi na mifumo ya kifedha nchini.

Tukio hilo limejiri leo Juni 12, 2026, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Benki Kuu nchini.
Top Awardist Ever President in east African
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa tuzo maalumu na ya kipekee na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikitambua mchango wake mkubwa na maono yake kama kinara wa mabadiliko ya kiuchumi na mifumo ya kifedha nchini.

Tukio hilo limejiri leo Juni 12, 2026, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Benki Kuu nchini.
Taasis zinapokuwa compromised
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa tuzo maalumu na ya kipekee na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikitambua mchango wake mkubwa na maono yake kama kinara wa mabadiliko ya kiuchumi na mifumo ya kifedha nchini.

Tukio hilo limejiri leo Juni 12, 2026, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Samia alikuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Benki Kuu nchini.
Screenshot_20260415-144632~2.png
 
Back
Top Bottom