Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

“Kama CHADEMA isingefungiwa kufanya shughuli zake za kisiasa, huenda matukio ya tarehe 29 yasingetokea,” ilielezwa katika mjadala wa One Against One kati ya mtangazaji nguli Chief Odemba na Wakili...
6 Reactions
36 Replies
653 Views
Najiuliza kwanini hii tuzo adhimu haijatangazwa na media za ndani? Be it tabloids au tv stations naomba kujua au wameogopa?
5 Reactions
10 Replies
209 Views
Watu wa ndani wanasema waziri aliandika barua ya kujiuzulu baada ya kiburi cha maafisa wa Polisi na maovu mengi aliyokutana nayo. Kama Polepole, Mama Samia kabadilisha na kujifanya kumtengua kwa...
48 Reactions
94 Replies
4K Views
Huyu mkulungwa ukiangalia hulka zake, sio mtu wa kutaka madaraka kwa nguvu, na sio mtu wa kubeza raia. Na ni wazi na dhairi kuwa CCM bado kuna watu wanataka mabadiliko. Mchizi ni kama ana...
15 Reactions
45 Replies
886 Views
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea? Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu...
17 Reactions
35 Replies
730 Views
Habari wana Jf, Naomba kufahamu ni kwanino Wanzibar wanayaita mapinduzi ya kumng'oa Mkoloni wa kiarabu ni Matukufu? Au kwa lugha nyingine "yaliyotukuka"?? Ni nini hasa kinachopelekea yaitwe...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya Jumapili ya leo Naomba kuanza kwa declaration of interest,mimi za Zitto ni marafiki wa intake moja UDSM,namfahamu kwa karibu na huwa...
6 Reactions
43 Replies
1K Views
Long after the conflict ended, some veterans came forward to speak about experiences that continue to unsettle historians, mental health experts, and the wider public. One of them was Varnado...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar wa 2015, kama usinge futwa, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie angelikuwa...
18 Reactions
140 Replies
33K Views
Wanabodi, Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!. Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili...
15 Reactions
101 Replies
16K Views
  • Redirect
Naomba sana ukabidhi nchi kwa mkuu wa majeshi. Ni haki yangu kumfukuza mwizi wa mamlaka.
2 Reactions
Replies
Views
Wanabodi Vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kwa "Atheer" taarifa za kifo cha Mheshimiwa Sayyid Jamshid Al Said, Sultan wa mwisho wa Oman aliyekuwa Zanzibar, akiwa na umri wa miaka 95, baada ya...
18 Reactions
141 Replies
9K Views
Wadau, Amani Iwe Juu Yenu, Nimekua Nikifatilia Michango Mbalimbali Ndani Na Nje Ya Tanzania. Binafsi Napenda Siasa Na Harakat Zake, Kuna Kitu Kimejificha Na Hakisemwi Kuhusu Zanzibar! Jambo...
6 Reactions
58 Replies
11K Views
"Nimeona umati mkubwa wa watu waliovaa vizuri, watu ambao wana malengo, watu ambao wanajielewa". "Nikaangalia angalia kama kuna aliyevaa dera au kijora lakini sijaona". Abate Christian Temu OSB |...
17 Reactions
68 Replies
1K Views
Mwanadiplomasia mkubwa ambae pia ni Waziri wa mambo ya nje Jamuhuri ya watu wa China, Wang Yi, Januari 10, 2026 alipofanya ziara Ikulu Jijini Dar es Salaam alitoa kauli ya kuonya Mataifa ya...
6 Reactions
58 Replies
1K Views
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa hakuna siku itatokea chama hicho...
7 Reactions
249 Replies
13K Views
Wasalam wandugu, Kuna mambo mawili yananipa shida, pia yanampa shida mkulu, Mosi, mapinduzi ya Zanzibar, kila mwaka tarehe kumi na mbili January kunafanyika sherehe ya mapinduzi ya Zanzibar...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Sheikh Baraghash bin Said,GCMG,GCTE (1837- March 26, 1888)alikuwa mfalme wa pili wa Dola ya Zanzibar kuanzia Oktoba 7,1870 mpaka March 26,1888 Baraghash atakumbukwa kuwa kiongozi mahiri...
8 Reactions
153 Replies
24K Views
Kwanza tuendelee kupeana pole kwa Msiba wa Kawawa. Leo amezikwa na apumzike kwa amani. Ila pia msiba huu umefungua baadhi ya mambo ambayo hayakupata kujulikana kabla mongoni mwake ni haya...
3 Reactions
116 Replies
19K Views
Alitumia babu mpaka MJUKUU Halafu wewe upo zako huko maporini unajiita mwana ccm, au upo zako jf hapa unafanya chawaring unajikuta kijani damu!, CCM INAWENYEWE . Nawenyewe ndio sisi 😎
15 Reactions
61 Replies
955 Views
Back
Top Bottom