Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
🐄 ANGAZA BIASHARA YAKO: NG'OMBE BORA WA MAZIWA WANAPATIKANA! 🥛~0763357978 Je, unatafuta ng'ombe wa maziwa wenye kiwango cha juu cha uzalishaji na uwezo mkubwa wa kuhimili mazingira tofauti...
0 Reactions
Replies
Views
Serikali ya Zanzibar ilijifanya ngangari kwamba inaweza wanyanyasa Watanganyika.. Sasa wwameanza kutoa mlio. Watanganyika wa sasa si wa mwaka 47, Sasa hivi ni jino kwa jino. Zanzibar Koloni letu...
1 Reactions
6 Replies
152 Views
Katika kipindi cha wiki za hivi karibuni, mjadala kuhusu mustakabali wa Muungano wa Tanzania umeibuka kwa nguvu ndani ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, huku masuala ya uhuru wa kifedha, ajira kwa...
2 Reactions
8 Replies
192 Views
Kauli ya mmoja ni kauli ya wengi. Kufuatia sintofahamu iliyojitokeza hivi karibuni, wananchi wa Zanzibar wameamua kupaza sauti zao. Wananchi hawa wamekuwa wakivumilia kwa muda mrefu lakini sasa...
6 Reactions
94 Replies
6K Views
My Take Kama Nchi tutashindwa Kufikia malengo ya Dira-2050 ya Kuwa na Uchumi wa $Trilioni 1 ikiwa tutaendelea kuwa wavivu kuzaa Ili kuongeza fursa za soko.Watu mil.70 ni wachache sana. Can't wait...
3 Reactions
19 Replies
306 Views
My Take Kuna baadhi ya Nyumbu wa Chadema wataanza kubishq na Kutukana hovyo. Tanzania inasonga mbele. Pia soma hapa PreGE2025 - Prof. Mkenda: Rais Samia aagiza kila Wilaya kujengwa VETA, Ujenzi...
4 Reactions
59 Replies
638 Views
KWA LEO TUANGAZIE BAJETI YA NCHI KWA UPANDE WA MADENI 2026/2027 Pamoja na changamoto lukuki zilizopo kwenye nchi yetu tutoe maoni yetu kuhusu Hili haya madeni yanaonyesha kuongezeka bila...
1 Reactions
19 Replies
263 Views
Prof Tibaijuka, kuwa mkweli! Haihitaji degree ya University kuona kuwa wanaopotea, kuuawa, kufungwa/ kufunguliwa kesi wana mrengo cha chama fulani cha upinzani, kupinga mamlaka fulani ya uonevu...
5 Reactions
6 Replies
187 Views
Hili ndio Wazanzibar wafahamu , Mzee Karume hakua Mjinga , Mzee Nyerere hakua Mjinga !!. Toka Muungano , Tanganyika imekua inaibeba sana Zanzibar , Kwa Tanganyika kama kupoteza tulishapoteza vitu...
3 Reactions
14 Replies
314 Views
“Hakuna nchi iliyowahi kuendelea kwa kutegemea bajeti ya Serikali pekee” Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Ludovick Utouh, amesema mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma...
8 Reactions
21 Replies
490 Views
Utangulizi Katika zama za kidijitali, nguvu ya kuunda maoni ya umma imehama kutoka kwenye magazeti, redio na televisheni pekee kwenda kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii. Leo, video ya sekunde...
3 Reactions
10 Replies
202 Views
  • Featured
Wabunge wa Bunge la Ulaya (MEPs) wamepitisha azimio la kuitaka Tume ya Ulaya kufuta rasimu ya mpango wa ufadhili wa kiasi cha Euro milioni 156 uliotengwa kwa ajili ya Tanzania kwa mwaka 2026...
58 Reactions
290 Replies
6K Views
Wao wazanzibari, sisi watanganyika, dhambi hii itawatafuna MILELE. Je ni kweli kauli hii bado inaishi au imeshakuwa overtaken by time and modern development Hilda Newton: Nimeona video ya...
0 Reactions
0 Replies
67 Views
Hii siyo namna nzuri ya kuondoa mabango ya Dr Magufuli , wala haikubaliki na ninaipinga hata kama mimi si mwanaccm .
26 Reactions
177 Replies
19K Views
Serikali yetu tukufu ya awamu ya 6 chini ya Dr. Samia Suluhu Hassan tunaomba mliangalie hili swala la Makato ya mishahara kwa walimu kwenda kwenye CHAMA CHA WALIMU ni makubwa sana. Nashauri toeni...
4 Reactions
111 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Ally Hapi amewataka Watanzania na Vyama vya Siasa Nchini kufanya maridhiano kwa kutumia mifumo ya ndani badala ya kusubiri Mataifa ya...
1 Reactions
23 Replies
427 Views
Pamoja na malalamiko ya Watanganyika kwa sasa kuhusu muungano ni ukweli kwamba muungano ni hasara kubwa pia kwa Zanzibar na unaiwekea vikwazo vingi sana kufikia fursa nyingi sana za wazi na kupiga...
22 Reactions
111 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Kanda ya Kusini, ambako Kampeni ya #FREE LISSU na KATIBA MPYA inatikisa Unaambiwa Wananchi wana mzuka Usipime! Hakika ccm imekwisha kabisa , kilichobaki ni...
11 Reactions
28 Replies
650 Views
Askofu Bangoza na safari yake huko Sweden anasema, Tarehe 16 na 17/6/2026 nimetembelea Bunge la Sweden (Riksdag), Wizara ya Mambo ya Nje na makazi ya kifalme. Nilialikwa, sikwenda kutalii na...
57 Reactions
92 Replies
1K Views
Back
Top Bottom