Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Ally Hapi amewataka Watanzania na Vyama vya Siasa Nchini kufanya maridhiano kwa kutumia mifumo ya ndani badala ya kusubiri Mataifa ya...
Pamoja na malalamiko ya Watanganyika kwa sasa kuhusu muungano ni ukweli kwamba muungano ni hasara kubwa pia kwa Zanzibar na unaiwekea vikwazo vingi sana kufikia fursa nyingi sana za wazi na kupiga...
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Kanda ya Kusini, ambako Kampeni ya #FREE LISSU na KATIBA MPYA inatikisa
Unaambiwa Wananchi wana mzuka Usipime!
Hakika ccm imekwisha kabisa , kilichobaki ni...
Askofu Bangoza na safari yake huko Sweden anasema,
Tarehe 16 na 17/6/2026 nimetembelea Bunge la Sweden (Riksdag), Wizara ya Mambo ya Nje na makazi ya kifalme. Nilialikwa, sikwenda kutalii na...
MJADALA NA UPIGAJI KURA WA BUNGE LA ULAYA KUHUSU MPANGO WA USHIRIKIANO KATI YA ΤΑΝΖΑΝΙΑ NA UMOJA WA ULAYA KWA MWAKA 2026
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefuatilia mjadala na upigaji...
Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano.
Ninawasihi watu wa...
Ilianzia Kenya mwaka 2024 baada ya kupitisha Muswada ambao ulionekana kuwa dhalimu wa finance bill.Sitaki kwenda mbali sana juu ya huu muswada wa Kenya.
Najikitika zaidi juu ya maandano yaliyo...
Kunauwezekano usio na shaka kabisa ,kama siasa za bara la Afrika zitakuwa hivi kwa chama kimoja kujiita dola na kuamulia vyama vingine viishije ,kupora uchaguzi waziwazi bila aibu,kuuwa wapinzani...
Rushwa ndani ya Wakala wa Umeme Vijijini (REA) imemfanya Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni, Prosper Msellem, ajiuzulu.
Pamoja na uenyekiti wa Bodi ya Zabuni, Msellem ni Mkurugenzi wa Mipango, Sera na...
Kipindi cha ukoloni rasmi na kabla ya ukoloni rasmi Wazungu waliona fursa Afrika. Waafrika tuliona samaki na wanyama kama vitu vya thamani wazungu wakaona madini na ardhi yenye rutuba, yenye uwezo...
Katika kesi iliyopangwa kufanyika tarehe 6/7/26//2026 ya kupingwa ubunge wa ' Baba Levo' hisia za ndani kabisa zinaniambia ajiandae kisaikolojia kuachana na ubunge
Msitunyonye bana nyie! Msitunyonye mnatudhiri! Tuachaneni angalau tujikung'ute kidogo! Tumekuwa mafukara; mtu mwenye miaka kumi na tatu amepinda mgongo kama mtu wa miaka sabini na tano! …...
Ingekuwa tunaangalia maslahi ya kweli ya nchi, ingekuwa zinafanyika vetting kwa kuzingatia uzalendo na maono makubwa ya viongozi, huyu sasa ndio alitakiwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi yangu Tanganyika
BYE BYE ZANZIBAR
Inaonekana kina Seif Sharrif na kina Karume hawataki hasa Zanzibar iwe dola huru ikiwa na "mamlaka yake". Kwa karibu miaka miwili sasa wameendelea "kudai" Zanzibar "huru"...
Mimi sasa nimekuwa muumini wa Serikali Moja; Moja ya kwao na Moja ya kwetu, tukutane Umoja wa Mataifa kama ndugu wamoja! Undugu haung'ang'aniwi na ndugu akishalalamika kuwa unamzibia ni wakati...
Ukiangalia matukio yanayotokea kwenye nchi nyingi za kiafrika yanathibitisha kuwa sisi sio watu
Yawezekana sisi ndio wale sokwe waliokuwa wanakaribia kuwa binadamu lakini mchakato ukaishia...
Waziri wa Fedha na Mipango, Juma Malik Akil, amebainisha kuwa Zanzibar inaendelea kupata manufaa makubwa na hadhi ya kipekee ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hasa katika uimarishaji wa...
Salute
Kila mfumo wenye kujiamini huona sauti za wananchi kama sehemu ya afya ya taifa. Lakini mfumo wenye hitilafu huona kila swali kama tishio, maandamano kama uadui, na kila ukosoaji kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.