Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Ally Hapi amewataka Watanzania na Vyama vya Siasa Nchini kufanya maridhiano kwa kutumia mifumo ya ndani badala ya kusubiri Mataifa ya...
1 Reactions
23 Replies
427 Views
Pamoja na malalamiko ya Watanganyika kwa sasa kuhusu muungano ni ukweli kwamba muungano ni hasara kubwa pia kwa Zanzibar na unaiwekea vikwazo vingi sana kufikia fursa nyingi sana za wazi na kupiga...
22 Reactions
111 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Kanda ya Kusini, ambako Kampeni ya #FREE LISSU na KATIBA MPYA inatikisa Unaambiwa Wananchi wana mzuka Usipime! Hakika ccm imekwisha kabisa , kilichobaki ni...
11 Reactions
28 Replies
650 Views
Askofu Bangoza na safari yake huko Sweden anasema, Tarehe 16 na 17/6/2026 nimetembelea Bunge la Sweden (Riksdag), Wizara ya Mambo ya Nje na makazi ya kifalme. Nilialikwa, sikwenda kutalii na...
57 Reactions
92 Replies
1K Views
Wajumbe wa kamati ya Maoni ya chadema Dk. Rugemeleza Nshala Wakili Deogratius Mahinyila Wakili Ali Ibrahim Suzan Lyimo Ruthy Moleli Pamela Maasay Wakili Gaston Garubindi Zeud Mbano Boniface...
6 Reactions
57 Replies
749 Views
MJADALA NA UPIGAJI KURA WA BUNGE LA ULAYA KUHUSU MPANGO WA USHIRIKIANO KATI YA ΤΑΝΖΑΝΙΑ NA UMOJA WA ULAYA KWA MWAKA 2026 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefuatilia mjadala na upigaji...
0 Reactions
42 Replies
649 Views
Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano. Ninawasihi watu wa...
31 Reactions
757 Replies
59K Views
Ilianzia Kenya mwaka 2024 baada ya kupitisha Muswada ambao ulionekana kuwa dhalimu wa finance bill.Sitaki kwenda mbali sana juu ya huu muswada wa Kenya. Najikitika zaidi juu ya maandano yaliyo...
0 Reactions
0 Replies
84 Views
Kunauwezekano usio na shaka kabisa ,kama siasa za bara la Afrika zitakuwa hivi kwa chama kimoja kujiita dola na kuamulia vyama vingine viishije ,kupora uchaguzi waziwazi bila aibu,kuuwa wapinzani...
5 Reactions
7 Replies
165 Views
Mfumo unapopata hitilafu madhara kama mauaji ni jambo linalosubiriwa. Kama hitilafu isiporekebishwa tutegemee hatari zaidi
0 Reactions
5 Replies
96 Views
Rushwa ndani ya Wakala wa Umeme Vijijini (REA) imemfanya Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni, Prosper Msellem, ajiuzulu. Pamoja na uenyekiti wa Bodi ya Zabuni, Msellem ni Mkurugenzi wa Mipango, Sera na...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Kipindi cha ukoloni rasmi na kabla ya ukoloni rasmi Wazungu waliona fursa Afrika. Waafrika tuliona samaki na wanyama kama vitu vya thamani wazungu wakaona madini na ardhi yenye rutuba, yenye uwezo...
4 Reactions
15 Replies
166 Views
Katika kesi iliyopangwa kufanyika tarehe 6/7/26//2026 ya kupingwa ubunge wa ' Baba Levo' hisia za ndani kabisa zinaniambia ajiandae kisaikolojia kuachana na ubunge
4 Reactions
28 Replies
762 Views
Msitunyonye bana nyie! Msitunyonye mnatudhiri! Tuachaneni angalau tujikung'ute kidogo! Tumekuwa mafukara; mtu mwenye miaka kumi na tatu amepinda mgongo kama mtu wa miaka sabini na tano! &#8230...
50 Reactions
361 Replies
38K Views
Ingekuwa tunaangalia maslahi ya kweli ya nchi, ingekuwa zinafanyika vetting kwa kuzingatia uzalendo na maono makubwa ya viongozi, huyu sasa ndio alitakiwa kuwa Waziri Mkuu wa nchi yangu Tanganyika
25 Reactions
19 Replies
697 Views
BYE BYE ZANZIBAR Inaonekana kina Seif Sharrif na kina Karume hawataki hasa Zanzibar iwe dola huru ikiwa na "mamlaka yake". Kwa karibu miaka miwili sasa wameendelea "kudai" Zanzibar "huru"...
31 Reactions
123 Replies
9K Views
Mimi sasa nimekuwa muumini wa Serikali Moja; Moja ya kwao na Moja ya kwetu, tukutane Umoja wa Mataifa kama ndugu wamoja! Undugu haung'ang'aniwi na ndugu akishalalamika kuwa unamzibia ni wakati...
12 Reactions
45 Replies
4K Views
Ukiangalia matukio yanayotokea kwenye nchi nyingi za kiafrika yanathibitisha kuwa sisi sio watu Yawezekana sisi ndio wale sokwe waliokuwa wanakaribia kuwa binadamu lakini mchakato ukaishia...
2 Reactions
14 Replies
183 Views
Waziri wa Fedha na Mipango, Juma Malik Akil, amebainisha kuwa Zanzibar inaendelea kupata manufaa makubwa na hadhi ya kipekee ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hasa katika uimarishaji wa...
1 Reactions
10 Replies
299 Views
Salute Kila mfumo wenye kujiamini huona sauti za wananchi kama sehemu ya afya ya taifa. Lakini mfumo wenye hitilafu huona kila swali kama tishio, maandamano kama uadui, na kila ukosoaji kama...
0 Reactions
6 Replies
124 Views
Back
Top Bottom