Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chadema haikuanzishwa ili kupingapa na dhamira ya waasisi wa Taifa letu ya ku-mantain national sovereignty. Nashangaa kuona Leo hii chadema wanafanya siasa kwa mgongo wa mabeberu hii ni aibu na ni...
1 Reactions
18 Replies
217 Views
CCM watuambie makosa waliyofanya.. Sioni sababu ya wao kupiga magoti kuomba maridhiano bila kusema walipokosea.. CCM watuambie nini walifanya, sio kushinikiza maridhiano. Unataka kuridhiana na...
15 Reactions
27 Replies
387 Views
Mungano hauna ulazima tusiufanye muungano kama ni agizo la mandiko matakatifu au ni maagizo ya vitabu vitakatufu,au ni jambo la kinabii. Hii ni kana ndoa pamoja na kufungwa madhabahuni na kiapo...
2 Reactions
4 Replies
83 Views
  • Featured
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma amewaonya baadhi ya wabunge wa Zanzibar kujiepusha na kauli na mijadala inayoweza kuleta mgawanyiko na kuhatarisha Muungano wa Tanzania. Musukuma ametoa...
34 Reactions
137 Replies
3K Views
Yaan unapeleka makasha kwala yaan “Tunayapeleka moja kwa moja Morogoro maana hata yakishuka Kwala bado yatafika Vigwaza na kuendeleza foleni ileile ya kuja Dsm na kuelekea Morogoro. WASOMI NA...
4 Reactions
18 Replies
738 Views
Mbunge wa sasa wa Mbeya Mjini anayeitwa Mwalunenge, ambaye hajui hata October 29 alipata kura ngapi Leo ameropoka bungeni akitaka bodaboda na wamachinga wa Mbeya wachangie elfu 1 kila mmoja kila...
4 Reactions
11 Replies
227 Views
🇹🇿 #MariaSpaces ✍🏿 🔥💪🏽7/7 loading So proud of Gen Z Tz 🇹🇿 organizing and mobilizing themselves for the mega protest! The govt ‘s effort to spin this as some chaos is nothing but pure LIES...
0 Reactions
0 Replies
183 Views
Katika muhadhara uliofanyika Chuo Kikuu cha Boston university Marekani Mh. Rais wa Zanzibar Amani Abeid Karume abainisha sababu za wananchi kukosa uvumilivu na kuingia mabarabarani kudai...
11 Reactions
42 Replies
5K Views
29 May 2026 Jaji Mstaafu Profesa Ruhangisa - Kwa Nini Katiba Mpya kwa Viongozi ... https://m.youtube.com/watch?v=yeWcy3FJ6S0 Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu Prof. John Ruhangisa wakati wa mahojiano...
0 Reactions
1 Replies
111 Views
Mabeberu hawataki kabisa kuskia au kuona taifa letu linajitegemee au kufadhili mambo yake ya ndani kama vile uchaguzi kwa 100% Hii inawakera sana, sio tu vibaraka pekeyao, bali pia hata...
5 Reactions
31 Replies
288 Views
  • Redirect
🐄 ANGAZA BIASHARA YAKO: NG'OMBE BORA WA MAZIWA WANAPATIKANA! 🥛~0763357978 Je, unatafuta ng'ombe wa maziwa wenye kiwango cha juu cha uzalishaji na uwezo mkubwa wa kuhimili mazingira tofauti...
0 Reactions
Replies
Views
Serikali ya Zanzibar ilijifanya ngangari kwamba inaweza wanyanyasa Watanganyika.. Sasa wwameanza kutoa mlio. Watanganyika wa sasa si wa mwaka 47, Sasa hivi ni jino kwa jino. Zanzibar Koloni letu...
1 Reactions
6 Replies
152 Views
Katika kipindi cha wiki za hivi karibuni, mjadala kuhusu mustakabali wa Muungano wa Tanzania umeibuka kwa nguvu ndani ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, huku masuala ya uhuru wa kifedha, ajira kwa...
2 Reactions
8 Replies
192 Views
Kauli ya mmoja ni kauli ya wengi. Kufuatia sintofahamu iliyojitokeza hivi karibuni, wananchi wa Zanzibar wameamua kupaza sauti zao. Wananchi hawa wamekuwa wakivumilia kwa muda mrefu lakini sasa...
6 Reactions
94 Replies
6K Views
My Take Kama Nchi tutashindwa Kufikia malengo ya Dira-2050 ya Kuwa na Uchumi wa $Trilioni 1 ikiwa tutaendelea kuwa wavivu kuzaa Ili kuongeza fursa za soko.Watu mil.70 ni wachache sana. Can't wait...
3 Reactions
19 Replies
306 Views
My Take Kuna baadhi ya Nyumbu wa Chadema wataanza kubishq na Kutukana hovyo. Tanzania inasonga mbele. Pia soma hapa PreGE2025 - Prof. Mkenda: Rais Samia aagiza kila Wilaya kujengwa VETA, Ujenzi...
4 Reactions
59 Replies
638 Views
KWA LEO TUANGAZIE BAJETI YA NCHI KWA UPANDE WA MADENI 2026/2027 Pamoja na changamoto lukuki zilizopo kwenye nchi yetu tutoe maoni yetu kuhusu Hili haya madeni yanaonyesha kuongezeka bila...
1 Reactions
19 Replies
263 Views
Prof Tibaijuka, kuwa mkweli! Haihitaji degree ya University kuona kuwa wanaopotea, kuuawa, kufungwa/ kufunguliwa kesi wana mrengo cha chama fulani cha upinzani, kupinga mamlaka fulani ya uonevu...
5 Reactions
6 Replies
187 Views
Hili ndio Wazanzibar wafahamu , Mzee Karume hakua Mjinga , Mzee Nyerere hakua Mjinga !!. Toka Muungano , Tanganyika imekua inaibeba sana Zanzibar , Kwa Tanganyika kama kupoteza tulishapoteza vitu...
3 Reactions
14 Replies
314 Views
Back
Top Bottom