Chadema haikuanzishwa ili kupingapa na dhamira ya waasisi wa Taifa letu ya ku-mantain national sovereignty. Nashangaa kuona Leo hii chadema wanafanya siasa kwa mgongo wa mabeberu hii ni aibu na ni...
Mungano hauna ulazima tusiufanye muungano kama ni agizo la mandiko matakatifu au ni maagizo ya vitabu vitakatufu,au ni jambo la kinabii.
Hii ni kana ndoa pamoja na kufungwa madhabahuni na kiapo...
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma amewaonya baadhi ya wabunge wa Zanzibar kujiepusha na kauli na mijadala inayoweza kuleta mgawanyiko na kuhatarisha Muungano wa Tanzania.
Musukuma ametoa...
Yaan unapeleka makasha kwala yaan “Tunayapeleka moja kwa moja Morogoro maana hata yakishuka Kwala bado yatafika Vigwaza na kuendeleza foleni ileile ya kuja Dsm na kuelekea Morogoro. WASOMI NA...
Mbunge wa sasa wa Mbeya Mjini anayeitwa Mwalunenge, ambaye hajui hata October 29 alipata kura ngapi Leo ameropoka bungeni akitaka bodaboda na wamachinga wa Mbeya wachangie elfu 1 kila mmoja kila...
🇹🇿 #MariaSpaces ✍🏿
🔥💪🏽7/7 loading
So proud of Gen Z Tz 🇹🇿 organizing and mobilizing themselves for the mega protest!
The govt ‘s effort to spin this as some chaos is nothing but pure LIES...
Katika muhadhara uliofanyika Chuo Kikuu cha Boston university Marekani Mh. Rais wa Zanzibar Amani Abeid Karume abainisha sababu za wananchi kukosa uvumilivu na kuingia mabarabarani kudai...
29 May 2026
Jaji Mstaafu Profesa Ruhangisa - Kwa Nini Katiba Mpya kwa Viongozi ...
https://m.youtube.com/watch?v=yeWcy3FJ6S0
Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu Prof. John Ruhangisa wakati wa mahojiano...
Mabeberu hawataki kabisa kuskia au kuona taifa letu linajitegemee au kufadhili mambo yake ya ndani kama vile uchaguzi kwa 100%
Hii inawakera sana, sio tu vibaraka pekeyao, bali pia hata...
🐄 ANGAZA BIASHARA YAKO: NG'OMBE BORA WA MAZIWA WANAPATIKANA! 🥛~0763357978
Je, unatafuta ng'ombe wa maziwa wenye kiwango cha juu cha uzalishaji na uwezo mkubwa wa kuhimili mazingira tofauti...
Serikali ya Zanzibar ilijifanya ngangari kwamba inaweza wanyanyasa Watanganyika.. Sasa wwameanza kutoa mlio.
Watanganyika wa sasa si wa mwaka 47, Sasa hivi ni jino kwa jino.
Zanzibar Koloni letu...
Katika kipindi cha wiki za hivi karibuni, mjadala kuhusu mustakabali wa Muungano wa Tanzania umeibuka kwa nguvu ndani ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, huku masuala ya uhuru wa kifedha, ajira kwa...
Kauli ya mmoja ni kauli ya wengi. Kufuatia sintofahamu iliyojitokeza hivi karibuni, wananchi wa Zanzibar wameamua kupaza sauti zao. Wananchi hawa wamekuwa wakivumilia kwa muda mrefu lakini sasa...
My Take
Kama Nchi tutashindwa Kufikia malengo ya Dira-2050 ya Kuwa na Uchumi wa $Trilioni 1 ikiwa tutaendelea kuwa wavivu kuzaa Ili kuongeza fursa za soko.Watu mil.70 ni wachache sana.
Can't wait...
My Take
Kuna baadhi ya Nyumbu wa Chadema wataanza kubishq na Kutukana hovyo.
Tanzania inasonga mbele.
Pia soma hapa PreGE2025 - Prof. Mkenda: Rais Samia aagiza kila Wilaya kujengwa VETA, Ujenzi...
KWA LEO TUANGAZIE BAJETI YA NCHI KWA UPANDE WA MADENI 2026/2027
Pamoja na changamoto lukuki zilizopo kwenye nchi yetu tutoe maoni yetu kuhusu Hili haya madeni yanaonyesha kuongezeka bila...
Prof Tibaijuka, kuwa mkweli! Haihitaji degree ya University kuona kuwa wanaopotea, kuuawa, kufungwa/ kufunguliwa kesi wana mrengo cha chama fulani cha upinzani, kupinga mamlaka fulani ya uonevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.