jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Raia Magufuli amelifikirisha bara la Afrika na dunia.
Congo DRC imekuwa na tatizo la Ebola kwa miaka zaidi ya 10.Sijawahi sikia Mlami aliyefariki kwa Ebola huko Congo.
Zaidi hakuna tahadhari ya vitisho kwa walami wanaoenda DRC CONGO kukwapua madini na utajiri wa nchi hiyo.
Leo hii walami hawa wanataka kutuaminisha kuwa eti kuna Ebola Tanzania!!
Shame upon them!
Magufuli kanyaga kanyaga ....
Uzushi...kanyaga
Umbea kanyaga
Wivu kanyaga kanyaga
ole kudadadeki...kanyaga kanyaga
Congo DRC imekuwa na tatizo la Ebola kwa miaka zaidi ya 10.Sijawahi sikia Mlami aliyefariki kwa Ebola huko Congo.
Zaidi hakuna tahadhari ya vitisho kwa walami wanaoenda DRC CONGO kukwapua madini na utajiri wa nchi hiyo.
Leo hii walami hawa wanataka kutuaminisha kuwa eti kuna Ebola Tanzania!!
Shame upon them!
Magufuli kanyaga kanyaga ....
Uzushi...kanyaga
Umbea kanyaga
Wivu kanyaga kanyaga
ole kudadadeki...kanyaga kanyaga