Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Summary At least 13 killed in shooting at one cafe in city of Mwanza - witnesses and video Police targeted civilians far from protests, witnesses say UN experts estimate at least 700...
25 Reactions
129 Replies
2K Views
Wakatoliki na VIJORA wapi na wapi?! Yaani hakuna hata shati moja la UWAKA wala kitenge cha WAWATA?! Sasa ngoja WAKATOLIKI wenyewe watoke wakiongozwa na MAPADRI na MAASKOFU kama walivyoandamana...
11 Reactions
13 Replies
467 Views
𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨 𝗔𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗔 𝗠𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗢 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika, Januari 12...
0 Reactions
6 Replies
200 Views
Mwanamitandao Maarufu Clemence Mwandambo (Baba Yenu Mwandambo) amesema kwa sasa yeye ni kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) lakini ndani yake ana roho ya upinzani Ameeleza kuwa yeye ni mzalendo...
2 Reactions
16 Replies
322 Views
Anandika John Heche kuwa; "Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi. Wakati UDASA wana kongamano lao leo, Dupsa walinialika pia kwa kongamano. Ajabu ni kwamba...
2 Reactions
25 Replies
602 Views
Magufuli ndiye alianzisha dhuluma ya utekaji, upotezaji, uuaji wa watu wanaompinga. By comparison, afadhali ya Uovu wa magufuli kuliko wa sasa
6 Reactions
26 Replies
386 Views
Vyombo vya dola , naomba jifunze kutoka Iran, Mwanzo maandamano yalikuwa ya amani , wakaachwa wiki nzima yakiwa salama, Nilianza kulalamika kuwa Iran wanaanza kuwa wazembe , Baadae maandamano...
3 Reactions
39 Replies
670 Views
Haya ni maoni ya Askofu Benson Bagonza wa KKKT Dayosisi ya Karagwe kuhusu Matukio kadhaa ya uvunjifu wa Haki za Binadamu wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Adai Uhuru wa Demokrasia...
2 Reactions
3 Replies
246 Views
Kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi visiwani Zanzibar, Balozi Ali Karume amesema amesema chaguzi zinazofanyika visiwani humo haziendani na misingi ya chaguzi zinazotegemewa kufanyika na kuonya...
4 Reactions
3 Replies
238 Views
Pengine tumekuwa tukishindwa kuelewa historia kamili ya mapinduzi ya zanzibar ya January,12 1963. Wengi tulidhani mapinduzi yaliongozwa na Hayati Abeid Amani Karume. Namsikia mjane wa Marehemu...
2 Reactions
62 Replies
14K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia anataka kuwafanya na kuwawezesha watanzania wote Waishi Maisha mazuri na ya heshima na staha Utafikiri wapo Washington au New York City Marekani ,au Amsterdam...
1 Reactions
12 Replies
427 Views
GT Huyo dada na genge lake naona bado hawajatosheka na uhuni wao. Cha kusikitisha media kama ITV inashadadia upumbavu kama huu. Kwa nini nasema hajapigwa. 1. Kwa kawaida kama sehemu ya jicho...
25 Reactions
95 Replies
2K Views
Kweli Rais Samia hana washauri.. Katambi hana uwezo wa kuongoza wizara kama hii ambayo Igp na watumishi wa wizara hii wanatakiwa kulipoti kwake. Mbaya zaidi mpaka sasa nchi hii haijatulia...
9 Reactions
18 Replies
493 Views
That is called natural law. Ni uwezo wa binadamu kufahamu kuwa kipi ni sahihi na kipi kibaya. Mpaka sasa Watanzania wameshatambua kuwa rais Samia hawafai. Maana hakuna anachowasaida zaidi ya...
7 Reactions
7 Replies
275 Views
Friends and our Enemies Katika muendelezo wa kumshukuru Allah muumba wa mbingu,ardhi na vyote vilivyomo naendelea kuipongeza serikali inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea...
6 Reactions
78 Replies
868 Views
Mwanamtandao Clemence Mwandambo ameweka bayana kuwa anampenda rais Samia na kazi zake zote, na hakubaliani na wanaosema kuwa 'Samia Must Go', amehoji kuwa sasa ndo amekwishaondoka, je hapo kwenye...
4 Reactions
22 Replies
375 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Hoteli ya Jaz Elite Aurora iliyopo Michamvi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, leo tarehe 09 Januari, 2026 amesema...
5 Reactions
111 Replies
3K Views
Mimi ni mzalendo sijiiti mwanaharakati ninaumia na mambo yaliyopo maana yake unakuta katika nchi ya Tanzania walioajiriwa serikalini wanajikuta mabosi wa wananchi" Hayo ameyasema Clemence...
2 Reactions
0 Replies
83 Views
“Kama CHADEMA isingefungiwa kufanya shughuli zake za kisiasa, huenda matukio ya tarehe 29 yasingetokea,” ilielezwa katika mjadala wa One Against One kati ya mtangazaji nguli Chief Odemba na Wakili...
6 Reactions
36 Replies
653 Views
Najiuliza kwanini hii tuzo adhimu haijatangazwa na media za ndani? Be it tabloids au tv stations naomba kujua au wameogopa?
5 Reactions
10 Replies
209 Views
Back
Top Bottom