Wanabodi,
Japo mimi sio mwana saikolojia wa kusomea darasani, lakini kwa mujibu wa fani yangu ya uandishi wa habari, ili mtu uwe mwandishi mzuri, ni lazima uwe observe mzuri, hivyo kufuatia...
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Simiyu, Tina Chenge ameiomba Serikali kupunguza matumizi ili pesa zinazopatikana zisaidie kwenye miradi ya maendeleo
''Eneo la matumizi ya serikali, niombe serikali...
Mbunge wa Jimbo la Same mashariki, Anne Kilango Malecela akizungumza Bungeni leo Juni 22, 2026, amewataka Wazazi kuchukua Jukumu la kuwale watoto hasa katika kipindi cha umri wa 0 hadi miaka 18...
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Katavi, Taska Mbogo amepinga pendekezo la kuongeza kodi ya bodaboda kutoka Sh95,000 hadi Sh150,000, akisema hatua hiyo itawaongezea mzigo vijana wengi wanaotegemea...
Wanabodi,
Usingizi umekata kutokana na mawazo ya huku kukaza kwa vyuma kwa baadhi yetu kwenye Tanzania hii ya Magufuli. Kiukweli kabisa, kuna watu tuna suffer!, mtu unalala ukiwa totally empty...
Mara nyingi hoja ya Zanzibar kujiunga na FIFA hukataliwa kwa kutajwa mabadiliko ya kanuni za FIFA yaliyofanyika mwaka 2004. Ni kweli kwamba mwaka huo FIFA ilifanya marekebisho ya tafsiri ya neno...
Na Amani K. Mrope | Ofisi ya Washington
Tatizo Siyo Pesa. Tatizo ni Tanzania Kuingizwa Rasmi Kwenye Rekodi mbaya za Kimataifa.
Kuna nyakati ambazo nchi hupoteza fedha. Na kuna nyakati ambazo...
Wanabodi
Declaration of interest, mimi ni mtu mfupi na nina tatizo moja tuu la kutokubali kudanganywa kirahisi, ila huwa sikasiriki ninapodharauliwa, au ninapoambiwa ukweli kuhusu madhaifu yangu...
==
Na Mwanafunzi wa Chuo Kikuu, Dodoma.
UTANGULIZI
Kuna nyakati katika maisha ya msomi kijana ambapo unahudhuria mhadhara si kwa ajili ya kupata alama za mitihani, bali kulisha nafsi inayotafuta...
Ushuru wa Mabango ya Matangazo kwa sheria yetu yanalipiwa, kwa kila mita square ni zaidi ya 7,000…
Kuna Mabango ya kampeini za Samia kwenye kila Halmashauri ya Nchi hii.
Tunataka kujua fedha...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekanusha vikali taarifa zinazosambaa kuwa serikali imeuza dhahabu inayohifadhiwa kama akiba ya taifa, akisisitiza kuwa mkakati uliopo ni kuongeza akiba hiyo na...
Nchi inaendeshwa na bajeti ya mikopo ,tutegemee siku moja mabeberu kuja kututawala tena .
Watanzania ni lini wataambiwa takwinmu za deni na watasikia deni likishuka chini na siyo kila takwimu...
" Je deni la Taifa ni himilivu kweli? Kuna vigezo viwili vya kuangalia. 1. Kwanza ni mtazamo wa mapato ya serikali yanayotumika kulipia Deni. Hapa tumelemewa kwani hadi Juni 2024, Tanzania...
Audhubillah min al shaitan nirajeem mkoloni na muuza watumwa Jamshid bin Abdulla.
Nimesikia tetesi kuwa kuna watu wasioitakia mema nchi yetu wamekuruhusu urudi Zenj.
Je unakuja kufanya nini...
Mwanasiasa mkongwe Anna Tibaijuka, akizungumza kupitia The Chanzo, amesema deni la taifa linaonyesha dalili za kutokuwa himilivu kulingana na takwimu za bajeti ya hivi karibuni, akisisitiza kuwa...
Kwa masikitiko makubwa, wananchi na wachimbaji wadogo wa Wilaya za Chunya na Songwe wameendelea kulalamikia hali mbaya ya utendaji ndani ya ofisi za Tume ya Madini, ambapo vitendo vya rushwa...
CCM imepoteza mvuto kabisa na sasa kimekuwa sio tena chama cha siasa. Ni kikundi cha watu wahuni. Ndio maana unaona wanavamia na kuiba mali za CHADEMA. Wanateka, wanaua na hata sasa eti wanajaribu...
Dr Saada Mkuya Salum, aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete mwaka 2012 kuwa Naibu Waziri wa Fedha katika serikali yake, na baadaye alipofariki Waziri wa Fedha William Mgimwa 2014, akachukua nafasi ya...
Ukichunguza vizuri kuna baadhi ya wafuasi ,wakeleketwa na machawa Promax wa chama fulani kilochongukia katika list ya terrorist organization ,nina kila sababu ya kusema hawakupaswa kuwa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.