Kambi ya Kalito
Member
- May 21, 2026
- 35
- 58
Amewaambia Mwingereza alikimbia Nachingwea, nyinyi mnakwama wapi ???
Walilazimishwa kupanda karanga eti Ulaya wanahitaji mafuta ya karanga , wakaporwa ardhi zao, wakatandikwa kodi za mabanda wanayoishi including mabanda ya mbuzi, ya kila mke, kila kijana wako, na kulimishwa kama watumwa. Forced labor, land alienation and draconian taxation.
Nachingwea wakasema tutakinukisha.
Usiku wanakijiji wakang'oa reli. Wakachemsha mbegu za karanga walizopewa, halafu wakazipanda. Mwingereza anasuburi Karanga ziote, karanga bila bila.
Habari zikafika Bungeni Uingereza, mradi wa Tanganyika Groundnuts Scheme ukasitiswa mazima. Dhalimu akaondoka Nachingwea.
Hakukuwa na ma group ya mawasiliano enzi hizo. Nyinyi mnakwama wapi na hawa madhalimu ???
Heche anasema Korosho serikali inauza 4000 kilo, mkulima analimwa makodi anapewa 1600. Korosho eti unampa yeye akaiuze, akate cha juu anachotaka yeye!
Kodi sasa, serikali wanaikula halafu wanawaletea ka mbolea. Wanasema wema wa Mama. Mama amewaletea mbolea. Kumbe ni makato ya mauzo ya korosho yenu wenyewe. Wanawafanya mandondocha na mafala.
Mnakwama wapiiiii ???
Walilazimishwa kupanda karanga eti Ulaya wanahitaji mafuta ya karanga , wakaporwa ardhi zao, wakatandikwa kodi za mabanda wanayoishi including mabanda ya mbuzi, ya kila mke, kila kijana wako, na kulimishwa kama watumwa. Forced labor, land alienation and draconian taxation.
Nachingwea wakasema tutakinukisha.
Usiku wanakijiji wakang'oa reli. Wakachemsha mbegu za karanga walizopewa, halafu wakazipanda. Mwingereza anasuburi Karanga ziote, karanga bila bila.
Habari zikafika Bungeni Uingereza, mradi wa Tanganyika Groundnuts Scheme ukasitiswa mazima. Dhalimu akaondoka Nachingwea.
Hakukuwa na ma group ya mawasiliano enzi hizo. Nyinyi mnakwama wapi na hawa madhalimu ???
Heche anasema Korosho serikali inauza 4000 kilo, mkulima analimwa makodi anapewa 1600. Korosho eti unampa yeye akaiuze, akate cha juu anachotaka yeye!
Kodi sasa, serikali wanaikula halafu wanawaletea ka mbolea. Wanasema wema wa Mama. Mama amewaletea mbolea. Kumbe ni makato ya mauzo ya korosho yenu wenyewe. Wanawafanya mandondocha na mafala.
Mnakwama wapiiiii ???