Je, kuna ukweli watu wafupi wana inferiority complex hivyo kukasirika sana wanapohisi kudharauliwa?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,504
113,618
Wanabodi

Declaration of interest, mimi ni mtu mfupi na nina tatizo moja tuu la kutokubali kudanganywa kirahisi, ila huwa sikasiriki ninapodharauliwa, au ninapoambiwa ukweli kuhusu madhaifu yangu. Mimi sio mwana saikolojia ya kufundishwa darasani bali saikolojia ya kujifunza by observations kwa nini mtu fulani ana behaviour fulani, hivyo hili ni bandiko la mambo ya psychoanalysis ya height ya mtu.

Hili ni bandiko la swali juu ya political psychoanalysis kuhusu ya saikolojia ya wanasiasa wetu kwenye mambo ya body morphological na anatomically kuhusu uhusiano uliopo kuhusu umbile la mtu and the way he thinks, feels, speak and behave. Ni kuhusu, urefu, ufupi, unene, wembamba, weusi, weupe etc, kuna hoja kuwa umbo la mtu lina direct relations na anavyo behave.

Hii nimeipata kwenye kitabu kiitwacho "Man Watcher" kilichoandikwa na mwana sosho saikolojia Dr. Desmond Morris, kuwa wengi wa watu wafupi (sio wote), wana matatizo ya kisaikolojia yanayoleta tatizo liitwalo inferiority complex zinazo wafanya wakose confidence hivyo ku practice superiority complex wanapoudhiwa wanakuwa wakali kweli kweli sometimes kupindukia, na huchachamaa!. Pia nimesoma hoja hizi katika vitabu vya Dr. Sigmund Freud na Carl Jung.

Hata katika andiko hili imeelezwa
Short Man Syndrome Explained - Health Guidance
Napoleon complex - Wikipedia


Sasa inapotokea watu wafupi hawa kujihisi wamedharauliwa halafu ikatokea mfupi huyo ni mwanamume mwenye tabia za male chauvinism, halafu kudharauliwa kwenyewe, of all the people, kuwe ni kudharauliwa na mwanamke, halafu mwanamke mwenyewe awe amemzidi urefu huyo mtu mfupi, hivyo kujihisi sio amedharauliwa tuu bali amefedheheshwa tena mbele ya kadamnasi ya watu!, can you just imagine itakuwaje?!.

Kitu cha kwanza atakuwa provoked na na mtu anapokuwa kwenye the highest stages za provocation anapata hali inayoitwa "pseudo insanity" anakuwa insane, hivyo anaweza kufanya lolote, at that particular moment ila akiwa ni miongoni mwa wafupi hawa then be very careful, not to provoke them, maana wanaweza kushika chochote kilicho karibu na kukudhuru nacho hata kukuua, na akiwa na mwanasheria mzuri akajenga hoja ya acting under provocation, then he will walk free!.

Watu hawa huwa wana bust with rage, kama ana pistol anaweza kuua!. Huwa wanakasirika hadi wana wish wa ku crush kwenye blenda, wakutwange kwenye kinu au wakusage sage!.

Kuna hiki kisa sijui kama ni cha kweli. ..kwenye kampeni fulani kuna mgombea mrefu alimtibua mgombea mwenzake mfupi, yule mfupi alikasirika sana hadi kuchukua gongo na kumtwanga nalokichwani yule mrefu akaanguka akazimia!.

Jee hoja hizi zina ukweli wowote?. Jee urefu wa mtu una uhusiano na mambo ya confidence and lack of confidence?.

Ndio maana kwenye board rooms kiti kimoja hufanywa kirefu, kiti cha mfalme huwa kirefu, ili kumuongezea confidence?.

Mimi licha ya kuwa mfupi, pia ni single hand driver, nikiendesha gari za juu kama ma SUV nakuwa very confident ila nikiendesha vigari vidogo vya chini kama Suzuki Alto au ki Kirikuu nakosa kabisa confidence! na haswa ninapopitwa na ma lori makubwa au semi trellas, najiona kama zinataka kuni crush ndani ya kirikuu yangu.

Tukija kwenye siasa tuelekee moja kwa moja
kule mjengoni kwetu Dodoma, kuna warefu na wafupi. Mfano wabunge warefu wanajisikia sana, wanaongea wakiwa proud and very confident tena kwa tambo za uhakika kama yule profesa wangu. Iko wizara Waziri ni mfupi naibu mrefu, Waziri akiongea anaonekana kabisa hana confidence lakini naibu yuko very confident.

Kuna Mhe. Mbunge mmoja mfupi ni so notorious kwa kutukana!. Akiongea kama anashout ili sauti isikike, huku anatupa mikono na anakukuruka utadhani anataka kupanda juu ya meza ili watu wamuone hivyo lazima ataongea kwa sauti kubwa na kumalizia kwa kituko kuvunja watu mbavu!. Jee inawezekana hiyo notoriety inatokana na ufupi wake?. Yaani wengi wa wafupi hawa, huwa wako tayari kufanya lolote, to get much needed attention, kuwa na wao wapo!.

Ukipima kiwango cha utovu wa nidhamu wa baadhi ya wabunge wetu tukilinganisha na adhabu walizopatiwa kwa utovu huo, is there any proportionality or any correlations kati makosa yao, kujisikia kwao, dharau zao, viburi vyao na jeuri zao ukilinganisha na heights zao na kiwango cha heights za wanao wakasirisha?.

Angalizo: Mambo ya political psychoanalysis ni mambo ya ma GT only. Ma GT huwa hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo sitarajii kuona majina yoyote yakitajwa tajwa humu na hata kama kuna mfupi yoyote unayemjua au kumdhania, kuwa na tabia kama hizi, please please please nakuomba usimtaje jina, bali muhifadhi ili hasira zake zisije kunishukia mimi!.

Hivyo ukiona mtu ana behave kiajabu ajabu ku seek attention kuwa yeye ni mtu muhimu sana, ana nguvu sana, anaongea kwa vitisho with over confidence, anatoa adhabu za ajabu ajabu, kabla hajalaumu, fikiria kwanza height yake, then utaelewa sababu, jambo ukiishalielewa, halikupi shida!.

NB. Kufuatia hali hiyo ya ufupi, wengi wao vichwani wako smart, wana bidii sana ya kazi kwa kujituma to prove ufupi sio hoja, hivyo wengi wako very successful kimaisha tatizo ni over confidence.

Angalizo Muhimu.
Kwenye any general rules, always there are exceptions to the case, hivyo sio wafupi wote wako hivi, kuna watu wafupi kibao, they are very fine men na hawana dalili zozote za inferiority complex kutokana na ufupi wao, na kuna warefu, ni pandikizi ya watu, lakini wakawa ni kubwa jinga!.

Paskali
 
Hii idea imekuwepo miaka Mingi duniani ikifahamika kama NAPOLEON COMPLEX au NAPOLEON Syndrome.

Ikitajwa nyuma ya tabia alizokuwa anaonyesha mtu maarufu duniani NAPOLEON Bonaparte nae pamoja na ujemedali wote alikuwa mfupi sana...
Pia wanasaikolojia wengi wanafanya tafiti katika kitu hicho...
Tunapaswa kujijua wenyewe zaidi kabla hatujawajua wanaotuzunguka mkuu.
Hilo ni tatizo ambalo lipo dunia nzima...

Watu Wengi wafupi japo sio wote wanahilo tatizo alilokuwa nalo NAPOLEON Bonaparte...
 
Kweli kabisa Mkuu Paskali..

Kwa yanayoendelea Bungeni kwa baadhi ya Wabunge hasa na Kiongozi wao.. suala la KIMO kwenye mambo ya hasira-hasira ni kweli kabisa kwa watu wafupi.

Though this need to be proved scientificically but on experience.. nakumbuka Mwl wangu wa hesabu nae alikuwa na kimo chenye utata, akiwa anaandika ubaoni akigeuka nyuma akaona mtu anasmile tu anajua ulikuwa unamcheka yeye.. Hiyo vita yake...!!

Hata bwana Mkubwa kimo chake ni cha kwenda chini, labda ndio maana yupo hivi tunavyomwona.Wakati wote ni mtu wa mihemko..!!

Kama nilivyosema basing on experience watu wafupi wengi wana hasira na ukali muda mwingi however this need some more facts and clues.
 
Ukiamua kuandika english basi egemea huko huko na kama ni kiswahili andika kiswahili tu hizo sijui morphological, psychoanalysis sijui ni wadudu gani mnaharibu lugha ya taifa
 
ELimu pia inachangia sana.Wengine wanatumika sana kwa ajili ya kutukana tu na hawana mchango wowote ambao ni solid zaidi ya kupongeza na kutukana basi.

Pili je Ndugai ana mke mstahimilivu au hana mke kabisa nayo ni shida
 
Hoja yako haina mashiko kihoja.

Rais mstaafu, Mzee Mwinyi ni mfupi sana lakini pamoja na kuwa public figure hatujawahi kumuona aki-act kama hoja zako zinavyodai.

Mwingine ni Mzee Kawawa...

Kwa watu walioishi Japan na sehemu za Asia kama ufilipino ambako watu wake wengi ni wafupi watapingana na hoja zako.

The list goes on and on
 
Hoja yako haina mashiko kihoja.

Rais mstaafu, Mzee Mwinyi ni mfupi sana lakini pamoja na kuwa public figure hatujawahi kumuona aki-act kama hoja zako zinavyodai.

Mwingine ni Mzee Kawawa...

The list goes on and on
Inafahamika kuwa maji ya bahari yana chumvi, kiasi hata samaki wa baharini huitwa wa maji chumvi. Lakini ipo bahari ambayo maji yake hayana chumvi.

Mzee Mwinyi ni exception, na mimi namkubali sana yule mzee kwa FALSAFA yake ya watu kuwa HURU. Mungu ampe maisha Mzee Mwinyi...mzee asiye mlafi.
 
Wanabodi

Declaration of interest, mimi ni mtu mfupi na nina tatizo la kutokubali kudanganywa kirahisi, ila hawa sikasiriki sana kivile.

Hili ni bandiko la swali juu ya political psychoanalysis kuhusu ya saikolojia ya wanasiasa wetu kwenye mambo ya body anatomy na mambo ya morphological kuhusu maumbile ya watu, urefu, ufupi, unene, wembamba etc, kuna hoja kuwa watu wafupi wana matatizo ya kisaikolojia yanayoleta tatizo liitwalo inferiority complex zinazo wafanya wakose confidence hivyo ku practice superiority complex wanapoudhiwa wanakuwa wakali kweli kweli na huchachamaa!.

Sasa inapotokea watu wafupi hawa kujihisi wamedharauliwa halafu kudharauliwa kwenyewe of all the people kuwe ni kudharauliwa na mwanamke halafu mwanamke mwenyewe awe amemzidi urefu huyo mtu mfupi, hivyo kujihisi huyo mtu anamdharau kwa kumuangalia kwa chini! , can you imagine itakuwaje?.

Kisheria acting under provocation ni defence kuwa mtu akiudhiwa anaweza kufanya lolote, ila ukiwaudhi wafupi hawa be very careful maana anaweza kushika chochote na kukudhuru!.


Watu hawa huwa wana bust with rage, kama ana pistol anaweza kuua!. Kuna hiki kisa sijui kama ni cha kweli. ..kwenye kampeni fulani kuna mgombea mrefu alimtibua mgombea mwenzake mfupi, yule mfupi alikasirika hadi kumpiga gongo la kichwa yule mrefu akaanguka akazimia.

Jee hoja hizi zina ukweli wowote?. Jee urefu wa mtu una uhusiano na mambo ya confidence and lack of confidence?.

Ndio maana kwenye board rooms kiti kimoja hufanywa kirefu, kiti cha mfalme huwa kirefu, etc.

Mimi ni single hand driver, nikiendesha gari za juu SUV nakuwa very confident ila nikiendesha gari za ndogo kama Nissan March or VW Golf nakosa kabisa confidence!.

Tukija kwenye siasa tuelekee moja kwa moja Bungeni kwetu kule Dodoma, kuna Mhe. Mbunge mmoja mfupi ni so notorious kwa kutukana!. Inawezekana hiyo notoriety inatokana na ufupi wake?.

Ukipima kiwango cha utovu wa nidhamu wa baadhi ya wabunge wetu tukilinganisha na adhabu walizopatiwa kwa utovu huo, is there a proportionality or any correlations kati ya heights zao na kiwango cha wanavyokasirika? .

Angalizo: Mambo ya political psychoanalysis ni mambo ya ma GT only. Ma GT huwa hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo sitarajii kuona majina yoyote yakitajwa tajwa humu.

Paskali
IMG_20170606_120433_498.jpg
 
Wanabodi

Declaration of interest, mimi ni mtu mfupi na nina tatizo la kutokubali kudanganywa kirahisi, ila hawa sikasiriki sana kivile.

Hili ni bandiko la swali juu ya political psychoanalysis kuhusu ya saikolojia ya wanasiasa wetu kwenye mambo ya body anatomy na mambo ya morphological kuhusu maumbile ya watu, urefu, ufupi, unene, wembamba etc, kuna hoja kuwa watu wafupi wana matatizo ya kisaikolojia yanayoleta tatizo liitwalo inferiority complex zinazo wafanya wakose confidence hivyo ku practice superiority complex wanapoudhiwa wanakuwa wakali kweli kweli na huchachamaa!.

Sasa inapotokea watu wafupi hawa kujihisi wamedharauliwa halafu kudharauliwa kwenyewe of all the people kuwe ni kudharauliwa na mwanamke halafu mwanamke mwenyewe awe amemzidi urefu huyo mtu mfupi, hivyo kujihisi huyo mtu anamdharau kwa kumuangalia kwa chini! , can you imagine itakuwaje?.

Kisheria acting under provocation ni defence kuwa mtu akiudhiwa anaweza kufanya lolote, ila ukiwaudhi wafupi hawa be very careful maana anaweza kushika chochote na kukudhuru!.


Watu hawa huwa wana bust with rage, kama ana pistol anaweza kuua!. Kuna hiki kisa sijui kama ni cha kweli. ..kwenye kampeni fulani kuna mgombea mrefu alimtibua mgombea mwenzake mfupi, yule mfupi alikasirika hadi kumpiga gongo la kichwa yule mrefu akaanguka akazimia.

Jee hoja hizi zina ukweli wowote?. Jee urefu wa mtu una uhusiano na mambo ya confidence and lack of confidence?.

Ndio maana kwenye board rooms kiti kimoja hufanywa kirefu, kiti cha mfalme huwa kirefu, etc.

Mimi ni single hand driver, nikiendesha gari za juu SUV nakuwa very confident ila nikiendesha gari za ndogo kama Nissan March or VW Golf nakosa kabisa confidence!.

Tukija kwenye siasa tuelekee moja kwa moja Bungeni kwetu kule Dodoma, kuna Mhe. Mbunge mmoja mfupi ni so notorious kwa kutukana!. Inawezekana hiyo notoriety inatokana na ufupi wake?.

Ukipima kiwango cha utovu wa nidhamu wa baadhi ya wabunge wetu tukilinganisha na adhabu walizopatiwa kwa utovu huo, is there a proportionality or any correlations kati ya heights zao na kiwango cha wanavyokasirika? .

Angalizo: Mambo ya political psychoanalysis ni mambo ya ma GT only. Ma GT huwa hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo sitarajii kuona majina yoyote yakitajwa tajwa humu.

Paskali

upo sahihi mkuu mara nyingi na kwa watu wengi hua hivyo......hata kwenye mahusiano wanawake wafupi na wembamba hua watata saana na wana midomo kwelikweli, akiangaza kuongea utafikiri kameza memoery card ya tela byt 10000000
 
Hiyo hali ipo japo sio kwa wote, they are so reactive pale wanapotibuliwa na mtu yeyote bila kujali umbo la mtibuaji. Kwa hiyo hapo unapolink na wanawake warefu kidogo umetia acid.

Lakini kwa suala la kiutalawa na uongozi ukiruhusu sana democrasia watu watakupanda kichwani. Maana hakuna namna kiongozi anaweza kuridhisha kila jambo. Kiongozi anatakiwa kuhakikisha taratibu zinafuatwa na watu wanawajibika kwa kila wanalolitenda. Chukulia mfano JJM angeamua kuhubiri Lusinde amalize baadae aombe tena muongozo wakati hali imetulia ahoji kuhusu huyo alomuita yeye mwizi. Hoja yake ingepata attention na ingeshughulikiwa lakini kwa kuwa mkaidi anajikuta kule kule kwenye group la watu wafupi.

Nakumbuka miaka ya nyuma wabunge wa upinzani machachari walikuwa wawili tu Zitto na Dr Slaa, walikuwa wakidhihakiwa sana lakini walikuwa wastaarabu wajatufanya wengi tukaiona tofauti ya utawala na upinzani. Lakini kwa jinsi namba ya upinzani unavyozidi kuongezeka tunaona na ule utofauti wao kihekima na wale wa utawala unavyozidi kupungua.

Kuna haja kuwa ya kambi hii ya upinzani kujitizama upya na kutumia kila fursa inayowapa kuonekana kwa wananchi kufanya mambo kwa staha na kwa Busara ili kuwafanya watanzania kuiona ile tofauti kati yao na wale wa utawala.
 
Wanabodi

Declaration of interest, mimi ni mtu mfupi na nina tatizo la kutokubali kudanganywa kirahisi, ila hawa sikasiriki sana kivile.

Hili ni bandiko la swali juu ya political psychoanalysis kuhusu ya saikolojia ya wanasiasa wetu kwenye mambo ya body anatomy na mambo ya morphological kuhusu maumbile ya watu, urefu, ufupi, unene, wembamba etc, kuna hoja kuwa watu wafupi wana matatizo ya kisaikolojia yanayoleta tatizo liitwalo inferiority complex zinazo wafanya wakose confidence hivyo ku practice superiority complex wanapoudhiwa wanakuwa wakali kweli kweli na huchachamaa!.

Sasa inapotokea watu wafupi hawa kujihisi wamedharauliwa halafu kudharauliwa kwenyewe of all the people kuwe ni kudharauliwa na mwanamke halafu mwanamke mwenyewe awe amemzidi urefu huyo mtu mfupi, hivyo kujihisi huyo mtu anamdharau kwa kumuangalia kwa chini! , can you imagine itakuwaje?.

Kisheria acting under provocation ni defence kuwa mtu akiudhiwa anaweza kufanya lolote, ila ukiwaudhi wafupi hawa be very careful maana anaweza kushika chochote na kukudhuru!.


Watu hawa huwa wana bust with rage, kama ana pistol anaweza kuua!. Kuna hiki kisa sijui kama ni cha kweli. ..kwenye kampeni fulani kuna mgombea mrefu alimtibua mgombea mwenzake mfupi, yule mfupi alikasirika hadi kumpiga gongo la kichwa yule mrefu akaanguka akazimia.

Jee hoja hizi zina ukweli wowote?. Jee urefu wa mtu una uhusiano na mambo ya confidence and lack of confidence?.

Ndio maana kwenye board rooms kiti kimoja hufanywa kirefu, kiti cha mfalme huwa kirefu, etc.

Mimi ni single hand driver, nikiendesha gari za juu SUV nakuwa very confident ila nikiendesha gari za ndogo kama Nissan March or VW Golf nakosa kabisa confidence!.

Tukija kwenye siasa tuelekee moja kwa moja Bungeni kwetu kule Dodoma, kuna Mhe. Mbunge mmoja mfupi ni so notorious kwa kutukana!. Inawezekana hiyo notoriety inatokana na ufupi wake?.

Ukipima kiwango cha utovu wa nidhamu wa baadhi ya wabunge wetu tukilinganisha na adhabu walizopatiwa kwa utovu huo, is there a proportionality or any correlations kati ya heights zao na kiwango cha wanavyokasirika? .

Angalizo: Mambo ya political psychoanalysis ni mambo ya ma GT only. Ma GT huwa hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo sitarajii kuona majina yoyote yakitajwa tajwa humu.

Paskali


Watu wafupi hukasirika kirahisi kwa kuwa muda mwingi "they are being looked down" if you know what i mean..,

Hivyo usishangae mtu mfupi akiwa mkali anapoona ufupi wake unakuwa kikwazo.

kuishi kwa jinsi hii maisha yako yote huwa na effect kubwa sana. na muda mwingi husababisha kufanya vitu kwa kujitutumua ili na wewe uonekane upo.

Fuatilia watu kama napoleon, Putin, Stalin, ni watu waliokuwa viandunje relative na raia wa nchi zao.
 
Hahahaha..yawezekana, ila mara nyingi hii mifano yaja baada ya tukio fulani popote tulipo, mbona hata watu warefu nao wanazo hizo tabia, mfano Scorpion, maafande wetu wakiulizwa kitambulisho (tuliowaona kwenye clips ni warefu), The Late Mzee Dito, Peter Rupia n.k. hawa wote warefu na walifanya mambo ya ajabu kutokana na hasira zao, au kuona wamedharaulika..
 
Back
Top Bottom