Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kikosi cha Wanajeshi kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimewasili nchini Comoro, ambapo kinatarajiwa kushiriki maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo yatakayohudhuriwa...
6 Reactions
67 Replies
3K Views
Tanzania ina changamoto za ufisadi, rushwa na ubadhirifu wa mali za umma, kama zilivyo nchi nyingi duniani. Hata hivyo, ukubwa na aina ya matatizo hayo hutofautiana kati ya sekta na kipindi...
1 Reactions
14 Replies
208 Views
Mnyika ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Masasi leo Ijumaa Juni 19, 2026 kwenye muendelezo wa ziara za Chama hicho Kanda ya Kusini, akiliita jambo hilo kama kihoja kinachofanywa...
4 Reactions
19 Replies
400 Views
Wanajukwaa, nina imani wote mko sawa. Pasipo kupoteza muda, naomba niingie kwenye mada tajwa hapo juu. Binadam kwa kawaida, huwa na hulka ya kulipiza kisasi kwa aliyemkosea au adui yake. Hiki...
2 Reactions
14 Replies
201 Views
Profesa Anna Tibaijuka amesema polisi wana haki ya kuhoji kauli au jambo lisiloeleweka wanapohisi linaweza kuwa na viashiria vya uchochezi au kusababisha vurugu. "Polisi akisikia jambo...
2 Reactions
3 Replies
118 Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazozalisha chakula kwa wingi katika ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, hali inayofungua fursa kubwa ya...
1 Reactions
4 Replies
112 Views
Mbunge wa jimbo la Mbogwe mkoa wa Grita Fagason Nkingwa ana umri wa miaka 36, wake 3 na watoto 16. Hakika anatekeleza agizo la Mungu kwenye Mwanzo 1:28; Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia...
6 Reactions
96 Replies
1K Views
Profesa Anna Tibaijuka amesema haridhishwi na mwenendo wa kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akieleza kuwa mchakato wake unaonekana kwenda polepole kuliko matarajio ya wengi. "Tundu...
3 Reactions
3 Replies
184 Views
Hamjambo! Ukweli unatabia nyingi. Ukweli kiasili ni katili na haujali. Ukweli hauhitaji validation. Ukweli ni dawa ukitolewa kwa wakati sahihi na mtu sahihi. Hata hivyo ukweli haujali kuhusu...
0 Reactions
5 Replies
103 Views
Nilipotembelea Zanzibar hivi karibuni, nilibaki na maswali mengi kuhusu hali ya ACT Wazalendo. Chama ambacho kilikuwa na mvuto mkubwa wa kisiasa, kilichokuwa na mikutano yenye hamasa, matawi yenye...
2 Reactions
7 Replies
188 Views
Watanganyika wote walioko Zanzibar ni tumbo Joto. Waanza kuzuiwa kuingia Ofisini kufanya kazi. Iinadaiwa wanafanya kazi za Wazanzibar na Vijana wa Zanzibar wanakaa jobless. MY TAKE Watanganyika...
8 Reactions
20 Replies
455 Views
Nianze kwa Istilahi hii ngeni. Mamlaka ya Kiraia. istilahi hii inapaswa kuwa ndio mwelekeo wa Watz wanaporefer maana ya Serikali. kwani kunekuwa na upotofu kuwa Serikali ni Watendaji wa...
0 Reactions
0 Replies
75 Views
Kwamba imeuzwa kwa Wachina ili waweke yard ya magari yao sidhani Kama ni kweli Eti Stendi kuu itakuwa Mawasiliano hii haiwezi kuwa kweli
12 Reactions
65 Replies
1K Views
Nimekutana na hii video Vijana wa Kitanganyika walitakiwa kuonyesha vitambulisho vya Uzanzibari kama hawana wanapoteza kazi.
21 Reactions
79 Replies
2K Views
Bunge la seneti la Marekani kesho linatarajia kukaa na kuujadili mswada kuhusu mahusiano yetu na Marekani. Makamu wa Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania wapo huko kujaribu kubadilisha...
62 Reactions
129 Replies
3K Views
KILIBA , TAHLISO, MAMA ASEMEWE Iacheni DIT Kama TAASISI YA ELIMU YA JUU YA TEKNOLOJIA haiwezi Kuwa TAASISI YA KICHAWA Majuma ya hivi karibuni yamekuwa na kipindi Cha ajabu Kwa sura ya Siasa ya...
0 Reactions
0 Replies
63 Views
Kwanza kabisa ni muungano ambao wananchi hawakushirikishwa kuhusu muungano wenyewe. Baraza la wawakikishi halikurudhia kuwepo kwa muungano huu. Ratification haikufanyika kabisa. Wazanzibari...
23 Reactions
70 Replies
1K Views
Tanzania bila vyama vya upinzani ni empty kabisa
0 Reactions
2 Replies
57 Views
Ukifika miaka 40 hakikisha una eneo la wazi la ekari zisizopungua 5.
10 Reactions
37 Replies
612 Views
Chadema ilishauri mapema kuwe na Maridhiano kabla ya uchaguzi CCM ikakataa, leo CCM wanataka kuridhiana nini na nani. Viongozi wao wanazunguka mitaani wakiomba waridhiane wanaokota vijihabari na...
10 Reactions
31 Replies
562 Views
Back
Top Bottom