Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

duh! D.Trump kawaambia wairani wasife moyo waendelee kupambana na msaada uko njiani, na kwamba ''save the names of the killers and abusers'' ...
0 Reactions
32 Replies
318 Views
Lucy Antony Michael (35), Mkazi wa Yombo Dovya, Mtaa wa Makangarawe, Wilayani Temeke, Dar es Salaam amevamiwa na watu wasiojulikana akiwa anatoka nyumbani kwake, ambapo watu hao walimpiga na...
25 Reactions
148 Replies
3K Views
Kwa yanayoendelea kuanzia Tume ya uchaguzi, Uchaguzi wenyewe, Jeshi La Polisi Mahakama mpaka Magereza? Mimi naamini kwetu haki ilishakufa ikamezwa na CCM maana wao wakija kutenda haki wanajua...
2 Reactions
3 Replies
103 Views
Kutoka X: Nili download iyo interview , Nikaangalia na kuskiliza kwa makini 1. Kwanza kawakataa wanaharakati 2. Zile effort zote za free him kapuuza 3. Ana change mwelekeo wa content zake...
7 Reactions
42 Replies
807 Views
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Amani Golugwa, amemtaka Dkt. Mwigulu Nchemba kuacha kupotosha umma kuhusu madai ya msingi ya wananchi juu ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Amesema madai...
2 Reactions
2 Replies
183 Views
Mwaka 1960, ANC ilipigwa marufuku kufanya siasa nchini Afrika Kusini, viongozi wake kama Walter Sisulu na Nelson Mandela walikamatwa wengine wakakimbia nchi, Oliver Tambo akachukua jukumu la...
1 Reactions
5 Replies
132 Views
Mama wa mtoto aliyepigwa risasi Oktoba 29, 2025 atuma ‘salamu’ kwa Rais
5 Reactions
11 Replies
575 Views
Hayo yamejiri katika hafla ya kuwapongeza wanamichezo waliofanya vizuri kimataifa inayofanyika leo Januari 10, 2026 Ikulu Dar es Salaam
2 Reactions
57 Replies
999 Views
Naibu waziri wa viwanda na uwekezaji (Kwa sasa) na waziri mteule wa mambo ya ndani nchi Patrobas Katambi aliwahi kusema kwa mujibu wa sheria ukiwekwa kizuizini na polisi unapaswa kupewa dhamana...
1 Reactions
2 Replies
326 Views
Hii ndio dawa yao kwa hawa machawa wa CCM lazima wanyooshwe na ujinga wao ============= Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tarime, Hamza Kyeibanja, amejikuta katika hali ya sintofahamu...
14 Reactions
26 Replies
989 Views
Makamu Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo bara, Isihaka Mchinjita, amehoji ukimya wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kushindwa kuchapisha matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwenye...
3 Reactions
13 Replies
417 Views
With the immediate effect the international Criminal Court ICC has issued the Summons for the president of united republic of Tanzania to appear before the court to explain the matters which she...
8 Reactions
88 Replies
3K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma...
0 Reactions
0 Replies
146 Views
WanaJF, Nimeamua (kama member wa JF) kuandika kwa masikitiko makubwa sana kufuatia uzi wa technically: Mwigulu Nchemba ndiye suspect namba moja kupotea kwa Ben Saanane? Vijana wenzangu, tuwe...
207 Reactions
846 Replies
109K Views
Hapa nawapa baadhi ya dondoo za hotuba yake ambayo itawekwa hapa jamvini baadae kidogo. URAIS WA KIFALME NA UHURU WA MAHAKAMA Mheshimiwa Spika, Kwa muda wote wa uhai wetu kama taifa huru...
15 Reactions
74 Replies
11K Views
Japo kume kuwepo na watu wenye elimu kubwa na akili ambao wamepitia mabadiliko hayo. Kwa hiyo si sahihi kusema ni watu wasiojielewa na wasio na elimu tu lakini kwa Tanzania kumekuwa na wimbi...
0 Reactions
2 Replies
107 Views
Januari 10, 2026, Mkurugenzi wa Taasisi ya Tulia Trust ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Uyole, Spika Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) Mhe. Dkt...
0 Reactions
7 Replies
155 Views
Wajuvi wa mambo wanasema ndio sababu kubwa ya kuwateua Dr. Mpango na Majaliwa na Kabudi kuwa washauri wake. Soma Pia: Dkt. Malisa awafungulia Kesi Rais Samia na IGP Wambura Mahakama ya Kimataifa...
16 Reactions
96 Replies
3K Views
Tangu kuja kwa Serikali ya Samia inaonekana kana kwamba kuna juhudi za makusudi za kuharibu uhusiano wetu na Kenya na Wakenya. Machafuko yaliyotokea Tanzania tangu Oktoba 29 mwaka jana...
3 Reactions
12 Replies
315 Views
Back
Top Bottom