Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mfumo wa siasa Tanzania umekufa rasmi 2025 tuna mfumo wa kipolisi. Mfumo umebaki kwenye vitabu vya sheria ambao hata haufutwi. Kama taifa tuna haya 1. Tufufue mfumo tena 2. Tuweke katiba mpya...
3 Reactions
9 Replies
143 Views
Wilaya unayotokea ingekuwa nchi ndani ya muungano inayojisimamia mambo yake mengi, yenye Rais wake, watumishi wake, Taasisi zake, n.k. lakini mnaweza kushika vyeo vikubwa hadi Urais, ajira za...
1 Reactions
9 Replies
136 Views
Majibu ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamira Akijibu kuhusu Kuzimwa kwa Mtandao Oktoba 29, Akiongea kwenye mkutano na Wahariri wa Vyombo vya Habari leo December 05,2025.
1 Reactions
3 Replies
263 Views
Nyerere na karume sio independence fighters kama vitabu au historia ya Taifa iliyopikwa inavyotuaminisha hii historia ya Tanzania imepikwa lengo hawa Viongozi wawili wapewe heshima kubwa ambayo...
2 Reactions
6 Replies
156 Views
1. TAKUKURU ilianzishwa kwa malengo gani? Mwenye kujua tafadhali. 2. Je malengo (angalau moja) ya uanzishwaji wake yametimia? **Vigezo gani hutumika kupima utendaji bora wa watumishi wa TAKUKURU?
12 Reactions
52 Replies
3K Views
Kuna taarifa zinasambazwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha Peter Mwita Wanda, Mkazi wa Sabasaba Tarime. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Polisi Tarime/Rorya, lingependa kutoa ufafanuzi...
4 Reactions
29 Replies
688 Views
Dk Bashiru Kakulwa alituaminisha kuwa mmoja wa watu ambao hawataki siasa za kihuni. Nashangaa sana kumuona ameungana na wahuni wa CCM kiasi cha kutokuwa na huzuni juu ya kilichompata Humphrey...
3 Reactions
34 Replies
616 Views
MAMBO MUHIMU KWA UJUMLA 1. Punguza kodi na kodi zijulikane wazi: Mlipa kodi yeyote hatakiwi kusubiri mpaka mzigo ufike bandarini kujua ni kodi gani alipe. Hii inapunguza biashara, inapunguza...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Nimemsikiliza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda akizungumza na watumishi wa Wizara yake baada ya kuapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dodoma Januari 13, 2026...
2 Reactions
8 Replies
311 Views
Kama Jaji na hakimu wakiamua kesi kwa haki na haki imeonekana ikitendeka mbele ya jamii, kazi ya Jaji na hakimu itakuwa kazi kama kazi nyingine tu. Hakuna haja ya hofu kwa majaji. Ujira mdogo...
2 Reactions
6 Replies
185 Views
Mwenyekiti wa CCM ndugu Samia, Amenukuliwa akimweleza Jaji Mkuu kwamba Jaji yeyote akitiliwa shaka kwenye utendaji wake basi achunguzwe Swali letu ni Hili, mbona Jaji Hamidu Mwanga aliyeonekana...
7 Reactions
12 Replies
379 Views
Nimeangalia sasa hivi anahutubia huko Dodoma kuwa Watanzania wana imani na mahakama. Huu ni uongo. Maana mahakama yenyewe imejaa rushwa na maonevu. watu wengi wapo mahakamani hawana makosa...
7 Reactions
25 Replies
427 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Mikami Yoichi, mazungumzo yaliyofanyika...
0 Reactions
0 Replies
114 Views
Wakuu, Nilipita sehemu leo (uswahilini) nikakuta wamama watu wazima wanazungumzia kuhusu uteuzi mpya uliofanywa hivi karibuni kwenye baraza la mawaziri Yaani ni wanatoa nondo balaa. Wengine...
0 Reactions
0 Replies
28 Views
Unajiuliza huyu mafwele anijikuta nani hadi anajitamba kukamata JWTZ hizi ni dharau. Eneo la makazi ya watu sio eneo la matangazo hatuwezi kusema kubandika matangazo kwenye nyumba za watu badala...
5 Reactions
18 Replies
697 Views
Kwa taarifa yenu ni kuwa sehemu kubwa ya Madini nchini yako mikononi mwa Makada wa CCM. Ndiyo maana tunataka katiba mpya, tume ya maadili na mali za viongozi haifanyi kazi
6 Reactions
9 Replies
186 Views
Hakuna wakati nime-appreciate uwezo wa kuona mbali wa Julius Nyerere kama wakati huu. Huko nyuma nchi kama USA na Russia waliomba waweke vituo vya kijeshi Tanzania na Nyerere alikataa katakata...
0 Reactions
8 Replies
610 Views
Wakuu Huyu hapa Gwajima anaelezea bila kificho kuwa kwenye ule mkesha wa mwaka mpya wakati wanakagua baadhi ya waumini walikutwa na bastola Hao "waumini" walipoulizwa kwanini wana bastola...
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hayo leo Januari 13, 2026 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama...
2 Reactions
42 Replies
724 Views
Back
Top Bottom