Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mzee Wa Upato, Anthony Lusekelo amesema: "Nasema, katika dunia hii ya akina Trump, dunia hii ya akina Putin, dunia hii ya vita na magomvi na mambo mengi mengi. Nakuomba sana, sikiliza watu...
4 Reactions
1 Replies
97 Views
Mbunge wa Viti Maalum, Beng'i Mazana Issa akichangia Bajeti kuu ya Serikali kwa Mwaka 2026/2027 Bungeni leo Juni 22, 2026 amependekeza Serikali kuangalia uhusishwaji wa Wanawake kwenye nyanya...
0 Reactions
1 Replies
82 Views
Wanabodi, Japo mimi sio mwana saikolojia wa kusomea darasani, lakini kwa mujibu wa fani yangu ya uandishi wa habari, ili mtu uwe mwandishi mzuri, ni lazima uwe observe mzuri, hivyo kufuatia...
41 Reactions
107 Replies
18K Views
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Simiyu, Tina Chenge ameiomba Serikali kupunguza matumizi ili pesa zinazopatikana zisaidie kwenye miradi ya maendeleo ''Eneo la matumizi ya serikali, niombe serikali...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Mbunge wa Jimbo la Same mashariki, Anne Kilango Malecela akizungumza Bungeni leo Juni 22, 2026, amewataka Wazazi kuchukua Jukumu la kuwale watoto hasa katika kipindi cha umri wa 0 hadi miaka 18...
0 Reactions
0 Replies
65 Views
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Katavi, Taska Mbogo amepinga pendekezo la kuongeza kodi ya bodaboda kutoka Sh95,000 hadi Sh150,000, akisema hatua hiyo itawaongezea mzigo vijana wengi wanaotegemea...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Wanabodi, Usingizi umekata kutokana na mawazo ya huku kukaza kwa vyuma kwa baadhi yetu kwenye Tanzania hii ya Magufuli. Kiukweli kabisa, kuna watu tuna suffer!, mtu unalala ukiwa totally empty...
65 Reactions
392 Replies
51K Views
Mara nyingi hoja ya Zanzibar kujiunga na FIFA hukataliwa kwa kutajwa mabadiliko ya kanuni za FIFA yaliyofanyika mwaka 2004. Ni kweli kwamba mwaka huo FIFA ilifanya marekebisho ya tafsiri ya neno...
1 Reactions
1 Replies
74 Views
Na Amani K. Mrope | Ofisi ya Washington Tatizo Siyo Pesa. Tatizo ni Tanzania Kuingizwa Rasmi Kwenye Rekodi mbaya za Kimataifa. Kuna nyakati ambazo nchi hupoteza fedha. Na kuna nyakati ambazo...
10 Reactions
28 Replies
669 Views
Wanabodi Declaration of interest, mimi ni mtu mfupi na nina tatizo moja tuu la kutokubali kudanganywa kirahisi, ila huwa sikasiriki ninapodharauliwa, au ninapoambiwa ukweli kuhusu madhaifu yangu...
20 Reactions
117 Replies
19K Views
== Na Mwanafunzi wa Chuo Kikuu, Dodoma. UTANGULIZI Kuna nyakati katika maisha ya msomi kijana ambapo unahudhuria mhadhara si kwa ajili ya kupata alama za mitihani, bali kulisha nafsi inayotafuta...
2 Reactions
13 Replies
362 Views
Ushuru wa Mabango ya Matangazo kwa sheria yetu yanalipiwa, kwa kila mita square ni zaidi ya 7,000… Kuna Mabango ya kampeini za Samia kwenye kila Halmashauri ya Nchi hii. Tunataka kujua fedha...
0 Reactions
3 Replies
165 Views
  • Featured
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekanusha vikali taarifa zinazosambaa kuwa serikali imeuza dhahabu inayohifadhiwa kama akiba ya taifa, akisisitiza kuwa mkakati uliopo ni kuongeza akiba hiyo na...
3 Reactions
36 Replies
1K Views
Nchi inaendeshwa na bajeti ya mikopo ,tutegemee siku moja mabeberu kuja kututawala tena . Watanzania ni lini wataambiwa takwinmu za deni na watasikia deni likishuka chini na siyo kila takwimu...
0 Reactions
0 Replies
71 Views
" Je deni la Taifa ni himilivu kweli? Kuna vigezo viwili vya kuangalia. 1. Kwanza ni mtazamo wa mapato ya serikali yanayotumika kulipia Deni. Hapa tumelemewa kwani hadi Juni 2024, Tanzania...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Amewaambia Mwingereza alikimbia Nachingwea, nyinyi mnakwama wapi ??? Walilazimishwa kupanda karanga eti Ulaya wanahitaji mafuta ya karanga , wakaporwa ardhi zao, wakatandikwa kodi za mabanda...
1 Reactions
3 Replies
108 Views
Audhubillah min al shaitan nirajeem mkoloni na muuza watumwa Jamshid bin Abdulla. Nimesikia tetesi kuwa kuna watu wasioitakia mema nchi yetu wamekuruhusu urudi Zenj. Je unakuja kufanya nini...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
Mwanasiasa mkongwe Anna Tibaijuka, akizungumza kupitia The Chanzo, amesema deni la taifa linaonyesha dalili za kutokuwa himilivu kulingana na takwimu za bajeti ya hivi karibuni, akisisitiza kuwa...
0 Reactions
18 Replies
476 Views
Kwa masikitiko makubwa, wananchi na wachimbaji wadogo wa Wilaya za Chunya na Songwe wameendelea kulalamikia hali mbaya ya utendaji ndani ya ofisi za Tume ya Madini, ambapo vitendo vya rushwa...
1 Reactions
4 Replies
165 Views
CCM imepoteza mvuto kabisa na sasa kimekuwa sio tena chama cha siasa. Ni kikundi cha watu wahuni. Ndio maana unaona wanavamia na kuiba mali za CHADEMA. Wanateka, wanaua na hata sasa eti wanajaribu...
15 Reactions
20 Replies
265 Views
Back
Top Bottom