Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwandishi: Nikikurudisha nyuma Profesa, 2018. Tupo kwenye uhuru. Unahisi maneno yako uliyotoa kwamba, "Bunge ni dhaifu," tungeweza kurudisha labda muda 2018, ungeyafuta yale maneno au ungesimama...
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Waswahili walisema, ukila na kipofu usimguse mkono. Kwa kauli za waZanzibari, wengine mawaziri , za hivi karibuni, sasa Bunge limewaka. Mbunge Waitara kutoka Mara amemtaka mbunge wa Zanzibar...
0 Reactions
12 Replies
378 Views
Huyu mtoto anaharibikiwa kisaikolojia,mtoto anayetakiwa kushikwa mkono anamshika Mama yake mgongoni,kwa sababu Mama yake anatembea kwa magoti na mikono,yule mtoto anatazama watu anaogopa anahisi...
8 Reactions
33 Replies
664 Views
Nawataja wafuatao, wengine mtaongeza. Haya majinga yanaharibu hadhi ya JF, wengine tunakosa hata mood ya kuingia JF kwa sababu ya haya mapumbavu. Lucas Mwashambwa Stroke gallow bird MamaSamia2025...
26 Reactions
77 Replies
731 Views
Hata Mungu anatowatoa wanawaizrael nchi ya utuma kuwangiza nchi ya ahadi agizo kubwa ilikuwa kwamba watende haki.Mungu anamchukia sana mtu amabaye hatendi haki. Isaya 32 :16-17 16 Ndipo hukumu...
0 Reactions
4 Replies
100 Views
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga, amesisitiza kuwa Rais Samia Suluhu ameonyesha dhamira ya dhati ya kuiponya nchi kwa kunyoosha mikono...
7 Reactions
60 Replies
960 Views
Alicia Magabe Lissu, mke wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza katika Tume ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ulaya Juni 22, 2026. https://youtu.be/ll2wwbGcOFI?si=W3TwYxnjA2tClQrR
4 Reactions
12 Replies
388 Views
SASA KENYA INAJIELEKEZA KWENYE SEKTA BINAFSI ZAIDI KATIKA UJENZI WA TAIFA LAO, Mfano, Katika bajeti ya Kenya ya mwaka wa fedha 2026/27, serikali imeweka mkazo mkubwa wa kimkakati kwenye...
3 Reactions
9 Replies
465 Views
Uonevu kwa mtu ambaye katoa maisha yake kwa kutetea haki za Watanzania! Kama wewe huoni tatizo wewe ndiyo tatizo. Lissu hajawahi kuchukuwa bunduki na siku zote anashinda kwa hoja...
7 Reactions
18 Replies
357 Views
Ukienda rwanda jimbo la Gitarama kuna watanzania wengi ukiangalia kwa kina siyo watanzania, ila ni wale wakimbizi wa zamani waliokimbilia hapa Tanzania mwaka 1970, 1977,1994 na miaka ya karibuni...
40 Reactions
261 Replies
37K Views
https://www.youtube.com/watch?v=4HHkidL6KiM
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Mbunge wa Same Mashariki Anne Malecela akichangia hoja kwenye bajeti ya 2026/27, ameomba serikali kuongeza posho za madiwani ili kuwawezesha kufanya kazi vizuri -- Bajeti ya serikali imepanda...
0 Reactions
3 Replies
166 Views
Tumshukuru Magufuli kwa kutimiza kuhamisha makao makuu ya Taifa Dodoma kufuatana na uamuzi wa baba wa taifa zaidi ya miaka 50 iliyopita. Karibu Marais wote waliyofuata hasa waswahili wa pwani...
2 Reactions
14 Replies
350 Views
Ni vyama viwili tu vya upinzani ndio vimeweza kupenya kwenye ngome ngumu ya Tanzania visiwani yaani CUF na ACT wazalendo. Hii inamaanisha ili wapinzani kushika dola wanapaswa kuungana dhidi ya...
1 Reactions
38 Replies
341 Views
  • Redirect
DKT. MWIGULU: CHUO CHA SOKOINE KATAVI KUWA CHA MFANO TANZANIA Ujenzi wa Jengo la Taaluma la chuo cha SUA Kampasi ya Mizengo Pinda Katavi wafikia zaidi ya Asilimia 90 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
DKT. MWIGULU: CHUO CHA SOKOINE KATAVI KUWA CHA MFANO TANZANIA Ujenzi wa Jengo la Taaluma la chuo cha SUA Kampasi ya Mizengo Pinda Katavi wafikia zaidi ya Asilimia 90 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
0 Reactions
Replies
Views
DKT. MWIGULU: CHUO CHA SOKOINE KATAVI KUWA CHA MFANO TANZANIA Ujenzi wa Jengo la Taaluma la chuo cha SUA Kampasi ya Mizengo Pinda Katavi wafikia zaidi ya Asilimia 90 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
0 Reactions
0 Replies
196 Views
Rais Ndaitwah Aondoka Baada ya Kukamilisha Ziara ya Kitaifa ya Siku Tatu Nchini Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ameondoka nchini baada ya kukamilisha Ziara ya...
1 Reactions
3 Replies
130 Views
Yaani Tanzania ndo Basi tena.. Tulizoea Shule zetu zilikuwa zinapewa Majina ya Watu waliofanyia Makubwa Tanzania na Afrika kwa Ujumla ili wakubukwe. Lakini sasa hivi watu wanajiamlia kutaja...
5 Reactions
45 Replies
879 Views
Kitendo Cha Wasouth Kuwafurusha Wageni kimetoa funzo kwamba Nguo ya kuazima Haisitiri matako. Tafuta pesa ugenini wekeza nyumbani My Take Unaweka mayai yote kwenye kapu Moja la kuazima unategemea...
1 Reactions
4 Replies
158 Views
Back
Top Bottom