Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

“Father Kitima siyo mshauri wa Chadema kama anavyosema Mchange, Uwezo wa Mchange wa kufikiri ni Mdogo hivyo mpuuzeni” Adv. Matata
1 Reactions
3 Replies
162 Views
Kwa kuwa mchakato wa katiba mpya utaendelezwa panapo Majaliwa yake Mwenyezi Mungu mwaka ujao wa fedha 2023/2024 na tume maalumu itaundwa kufanikisha mchakato huo naona Prof. Kabudi atafaa sana...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
JINA: John Cliford Malima Taarifa zilizosambaa/Madai: Alitekwa siku ya Jumapili baada ya kupigiwa simu. Watekaji walimfuata kwa gari Pugu kituo cha daladala Kazi yake: Mwinjilist Kanisa la...
5 Reactions
13 Replies
507 Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Mbali na miundombinu, huduma za kijamii, muingiliano wa watu, kuna sifa zingine zinazotambulisha eneo Fulani ni Mji au Jiji. Duniani kote tangu Enzi na Enzi...
1 Reactions
6 Replies
219 Views
Ukiwa jaji umeula hadi kifo. Yafuatayo NI maslahi ya Majaji wa Mahakama Kuu na Rufaa nchini. 1. Kulipiwa nyumba Grade A, 2. Usafiri (4WD/dereva/mlinzi), 3. Kusafiri daraja la biashara/Kwanza...
8 Reactions
58 Replies
5K Views
Nahisi kama tangu tumepata uhuru huyu atakuwa Jaji mkuu ambae yupo linked na siasa. Analialia kuwa yeye na mahakimu wake wana hali mbaya kimaslahi hivyo anaomba waongezewe posho. Hapa mahakama...
3 Reactions
4 Replies
191 Views
Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga mkoani Kagera, Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza, amesema kuna watu na makundi katika jamii ya leo yanayotumia nguvu, risasi na mabomu ya machozi kwa sababu...
22 Reactions
66 Replies
1K Views
Macho yanaongea .. Sura inasema.. The guilty are afraid...! Yaliyomo moyoni mwa mtu akishindwa kuyadhibiti hujitambulisha kwa uwazi kwenye macho na taswira kupitia sura yake! Furaha Huzuni...
31 Reactions
62 Replies
2K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Makala ya leo ni pongezi kwa Jaji Stella Mugasha wa Mahakama ya Rufani Tanzania, kusimama kidete...
4 Reactions
15 Replies
4K Views
Nina wasi wasi waliotekwa wapo magerezani na ndo ao aliowataja Samia Leo yakuwa wapo magerezani kwa uonevu Lakini hivi kweli kelele tulizo dhidi ya waliotekwa RAIS Samia hatuwlewi kweli? Hiki ni...
0 Reactions
3 Replies
180 Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda ametaka watendaji wa Wizara hiyo kufunga mkanda ili kutimiza malengo waliyojiwekea wakiwa chini ya Profesa Palamamba Kabudi. Makonda...
0 Reactions
1 Replies
159 Views
SWALI KWA KIKWETE: KAMA AMANI YA KUDUMU SIO TUNDA LA HAKI WATANZANIA TUNATOKAJE OKTOBA 2025 NA KUFIKA KWENYE UFALME WA HAKI NA AMANI TUNAKOPASWA KWENDA? Mpendwa Jakaya Kikwete, Rais wa Nne wa...
12 Reactions
23 Replies
692 Views
Hii ni picha ya kaburi la ayatollah Ruhollah Khomeini lillilogharimu takriban dola bilioni mbili. Halafu wanakwambia kuwa hakuna shirk wala kuabudia sana au kufanya israfu au matumizi mabaya. Hii...
4 Reactions
12 Replies
439 Views
duh! D.Trump kawaambia wairani wasife moyo waendelee kupambana na msaada uko njiani, na kwamba ''save the names of the killers and abusers'' ...
0 Reactions
32 Replies
318 Views
Lucy Antony Michael (35), Mkazi wa Yombo Dovya, Mtaa wa Makangarawe, Wilayani Temeke, Dar es Salaam amevamiwa na watu wasiojulikana akiwa anatoka nyumbani kwake, ambapo watu hao walimpiga na...
25 Reactions
148 Replies
3K Views
Kwa yanayoendelea kuanzia Tume ya uchaguzi, Uchaguzi wenyewe, Jeshi La Polisi Mahakama mpaka Magereza? Mimi naamini kwetu haki ilishakufa ikamezwa na CCM maana wao wakija kutenda haki wanajua...
2 Reactions
3 Replies
103 Views
Back
Top Bottom