MFANYABIASHARA maarufu nchini Jaffar Sabodo amehoji matumizi katika taasisi ya Mwalimu Nyerere na kuitaka itoe mchanganuo wa Sh1bilioni alizoichangia taasisi hiyo mwaka jana.
Katika tangazo lake...
Ujasiri wa Maalim Seif wa kwenda hadharani na kuwapa taarifa nzito wanachama na wapenzi wa CUF, juu ya kumtambua Rais Karume ilibidi upongezwe na Taasisi zote kuu na watanzania wote kwa jumla...
DESEMBA 21, mwaka 2009, Rais Jakaya Kikwete, Rais wa Awamu ya Nne Tanzania anatimiza miaka minne ya kukaa madarakani, tangu alipoapishwa kuwa Rais Desemba 21, 2005.
Kazi ya urais si nyepesi kama...
Well, even the Taifa Stars coach is doing an outstanding job, and so is Mattaka, Mkullo, Luhanjo, Sophia Simba, Edward Hosea, Feleshi, Maghembe, Lukuvi and so many appointees and employees of the...
Mo Ibrahim has always been a man of vision. His doctoral thesis dealt with mobile communications-in 1974. When he started a mobile-phone company, Celtel, in 1998 to work exclusively in Africa...
Sijui kama hii ipo hapa.
Ile Hoteli ya kitalii ya Snow Crest iliyozinduliwa Ijumaa iliyopita mjini Arusha na JK, imevunjwa leo alfajiri na maofisa wa Tanroads kwa maelezo kuwa sehemu ya majengo...
Wadau, mchomeko wa mada nyingine kwenye Taifa Tanzania inayohitaji kujadiliwa.
TUNAMJIBU M.M. MWANAKIJIJI:
Sababu 102 kwa nini Jakaya Kikwete agombee 2010 na aendelee kuongoza...
Habari zilipatikana sasa hivi zinaleza kwamba mwanasiasa na mtumishi wa zamani serikalini, Dr. Laurence Gama ameaga dunia katika Hospitali ya Agakhan, Dar es Salaam. Mungu aiweke Roho yake mahali...
Juzi Snow Crest Imefunguliwa Arusha, na wafanyakazi wageni wameajiriwa kwa wingi. Na Watanzania wameitwa wadokozi
Sababu ni nini??
Watanzania ni Wadokozi? Au Waajiri ndo wanyonyaji...
Hi everyone! I'm baaaack!
It has been a whirlwind tour of our country and other places around the globe especially wherever there was and still some dirt that has to do with our beloved...
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 22nd December 2009
MCHAKATO wa kutafuta wazabuni kwa ajili ya kununua mitambo miwili ya kuzalisha umeme wa jumla ya megawati 160 itakayowekwa Dar es Salaam...
Wana JF, Huwa najiuliza, pamoja na mabaya yote aliofanya Rais mstaafu,Ndg BW Mkapa, lakini aliweze angalau kufufua uchumi(ambao ulikuwa kama umekufa vile- yaani nikaribia tungeifikia hali ya sasa...
Mbunge machachari wa jimbo ya Same Mashariki, Anne Kilango Malecela amekuwa kiongozi ambaye haoni haya kukosoa serikali ya chama chake inapokosea .... Ni kiongozi imara, shupavu, na atakuwa...
WASOMI WASEMA: Dk. Mwakyembe ni mpotoshaji
MWANDISHI WETU
Mbunge wa Jimbo la Kyela kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ametajwa kuwa ni miongoni mwa watu wapotoshaji...
VYAMA vya The Tanzania Democratic Alliance (Tadea) na United Peoples Democratic (UPDP), vimeeleza kushangazwa kwa kutochukuliwa hatua kwa viongozi wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, akiwamo...
Wakuu,
Kutokana hali halisi iliyopo nchini mwetu, natumaini wote tunakubaliana kuwa Rushwa ni tatizo kubwa sana nchini na kimsingi tatizo hili linastahili kuitwa JANGA LA KITAIFA.
Pamoja na...
Kumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa mabalozi wetu katika nchi za kislamu huwa ni waislamu tu. Ingawa hakuna nchi inayojitambulisha kama nchi ya Kikristo, ila balozi wetu Italia huwa pia ni balozi...
Habari zinazoingia mida hii ni kuwa mwanachama mwenzetu Bw. Sanctus Mtsimbe ambaye ni rais wa TPN atakuwa kwenye kipindi cha "Kumepambazuka" kuanzia saa 12:30 za asubuhi leo hii (j'tatu) kwenye...
HALI ya maisha visiwani Zanzibar ni ngumu kwani gharama za maisha zimepanda baada ya kupanda kwa bei ya mafuta pamoja na kutokuwapo umeme.
Zanzibar imekumbwa na tatizo la umeme baada ya njia...
Wana JF
Kwa habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Operesheni Sangara ya CHADEMA iko Lushoto tangu jana na Dk Slaa atakuwa katika kata kadhaa za wilya ya Lushoto ikiwemo katika kijiji cha Makamba...