oooh no, this is very bad news, RIP mzee Gama, Dr waaina ya kipekee, ni daktari afananae na Dr salimin Armour, Dr NCHIMBI, Dr Makongoro Mahanga, ila yeye hakuwa kibaraka wa mafisadi kamwe, kwake kazi ilikua kwa maendeleo.
oooh no, this is very bad news, RIP mzee Gama, Dr waaina ya kipekee, ni daktari afananae na Dr salimin Armour, Dr NCHIMBI, Dr Makongoro Mahanga, ila yeye hakuwa kibaraka wa mafisadi kamwe, kwake kazi ilikua kwa maendeleo.
RIP Dr. Gama...
Hivi huyu bwana alikua anafanya nini siku za karibuni, ni muda mrefu sijamsikia.
Alikuwa anajiandaa kugombea ubunge katika jimbo lonaloshikiliwa na Dr. Nchimbi!
RIP former Katibu Mkuu wa CCM.
Alikua Shupavu kwelikweli, zaidi ya yote nina urafiki na familia yote, wakati wa kufa ni wakati wa kukumbuka mazuri na mabaya, sorry for that.Hilo tu ndilo la kusema hata wakati huu umauti ulipomfika? Uungwana na vitendo nguvumali.
Alikuwa ni kiongozi shupavu mpenda watu na mwanamichezo wa ukweli, katu sitoweza kusahau mchango wake alipokuwa mkuu wa mkoa wa tabora haswa kusimamia timu ya milambo hadi kuwa tishio miongoni mwa timu za ligi kuu. Innalilah wainna illlah rajoon.
.... hivi kulikuwa na maandalizi yoyote ya kumpeleka nje kwa matibabu kabla ya mauti kumfika?...
Nadhani wenye jibu watakujibu!
Kiongozi mwingine mzalendo aliyeugulia na kufia nchini hivi karibuni ni Mhe. Mbunge Sigfrid Ng'itu wa Lindi, huyu naye kaugulia na kufia Muhimbili! Hakuna cha nje ya nchi wala nini!
homeboy,Rest in eternal Peace Gama!
R.I.P. Namkumbuka sana wakati akiwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma jinsi alivyokuwa anilea majimaji ya songea.....na baada ya hapo kila mkoa aliokwenda, timu za mpira wa miguu za mikoa hiyo zilinyamyuka sana. POLENI WAFIWAHabari zilipatikana sasa hivi zinaleza kwamba mwanasiasa na mtumishi wa zamani serikalini, Dr. Laurence Gama ameaga dunia katika Hospitali ya Agakhan, Dar es Salaam. Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi Ameen.