Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Wana JF
Kwa habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Operesheni Sangara ya CHADEMA iko Lushoto tangu jana na Dk Slaa atakuwa katika kata kadhaa za wilya ya Lushoto ikiwemo katika kijiji cha Makamba Tamota.Kwa ninavyowajua hawa wawili wote wakiwa ni Makatibu wakuu wa vyama vikubwa nchini.I can imagine Slaa atakavyomshughulikia Makamba.I wish kama ningekuwepo kwenye mkutano huo nimsiklize Live Dk Slaa.Ni mchana huu atakuwa kijijini hapo.Tusubiri tupate yatakayojiri huko,nitawahabarisha.
Kwa habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Operesheni Sangara ya CHADEMA iko Lushoto tangu jana na Dk Slaa atakuwa katika kata kadhaa za wilya ya Lushoto ikiwemo katika kijiji cha Makamba Tamota.Kwa ninavyowajua hawa wawili wote wakiwa ni Makatibu wakuu wa vyama vikubwa nchini.I can imagine Slaa atakavyomshughulikia Makamba.I wish kama ningekuwepo kwenye mkutano huo nimsiklize Live Dk Slaa.Ni mchana huu atakuwa kijijini hapo.Tusubiri tupate yatakayojiri huko,nitawahabarisha.