By Rosina John
An Arusha-based businessman yesterday admitted before Kisutu Resident Magistrate's Court that he is the owner of a company which was used as conduit for stealing Sh2.2 billion from...
Nikisoma hii habari kutoka Gazeti la Rai, najiuliza, hivi kweli Tanzania tuna nia ya kupambana na Uhujumu uchumi na kupiga vita Rushwa na Takrima?
Iweje sheria hii ifanyiwe mabadiliko ya haraka...
-Dhima halisi ya maandamano ni ''mshikamano ndani ya chama''
-Maandamano yataanzia ofisi zao kuu kinondoni na kuishia mbezi beach
-Watakaoongoza maandamano:
M/Kiti Ndugu Mbowe
Katibu Mkuu Dk Slaa...
Naona Zitto ajibu mapigo kwa kujiunga na CUF ili arudishe hadhi yake .ni hapo tu atakapo anza kupaa na huenda hata nafasi ya kugombea Uraisi akapewa ,Zitto hiyo ni Golden Chance kuukwaa Uraisi wa...
BWANA ULIMWENGU ANAENDELEA KUELEZEA HOJA YA RAIS KIKWETE YA KUDAI KUWA ETI 'URAIS WAKE HAUNA UBIA NA MTU YEYOTE'.
Rai ya Jenerali
Primus Inter Pares
Na Jenerali Ulimwengu
Agosti 26, 2009...
Mjibuji=>mtoa jibu.
Ni miezi mitatu sasa tangu mwanasheria? Wakili Tundu Lissu alipouliza swali la msingi kama televisheni ya ITV.
Ilikuwa ni tarehe 30/05/2009 katika kipindi cha Kipima Joto...
The US Department of State produces yearly human rights reports for each country, especially those that receive aid from US tax payers. The Tanzania human rights report on Tanzania, inter alia...
Na Claud Mshana
MAREKANI imetahadharisha raia wake kuepuka safari zote zisizo za lazima visiwani Zanzibar kutokana na hofu ya kuibuka kwa zinazohusiana na uchaguzi wakati visiwa hivyo vikiwa...
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameeleza kusikitishwa na kigugumizi cha serikali cha kushindwa kumchukulia hatua aliyekuwa waziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali...
TANU kilikuwa ni chama cha Kitaifa. Kirefu chake cha Tanzania African National Union kilikuwa na maana ya 'Chama cha Kitaifa cha Muungano wa Waafrika'. Hakika Chama hiki kilikuwa na wanachama na...
HEHEEEE, CHADEMA KWAWAKA MOTO, KILA MTU ANA LAKE LA KUSEMA ! JISOMEEEE MWENYEWE !!
Kamati Kuu Chadema kujadili uteuzi wa Zitto
*Mbowe akatisha masomo kuhudhuria kikao
*Mtei asema maslahi ya...
Bakwata imetangaza leo kuwa haiutambui waraka uliotolewa na Shura ya Maimamu jana.
Imesema hakuna mantiki kwa waislamu kuupinga waraka uliotolewa na Wakristo, halafu waislamu hao hao nao waamue...
Kwa watu makini sana kwa karibu sasa miaka 10 hivi imepita tumeshuhudia mabadiliko makubwa sana mwamko kutoka kwa Watanzania walio wengi katika dimbwi kubwa sana la umaskini.
Katika hili Vyama...
Mwananchi iliripoti Jumamosi iliyopita kuwa wazee wa Chadema walikuwa wamepanga kukutana na Zitto ili wamuombe aondoe jina lake kwenye nafasi ya uenyekiti na kwamba, angepewa cheo cha katibu mkuu...
Ummy Muya
KATIBU wa Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema waraka maalum utakaowaongoza waumini wa madhehebu hayo katika uchaguzi mkuu wa mwakani, umekamilika...
Imeandikwa na Joseph Lugendo, HABARI LEO
Ingawa Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imefungwa, lakini matatizo yaliyotokana na uendeshaji wake...
TALKING NOTES FOR HON. KABWE ZUBERI ZITTO (MP) DURING A PUBLIC PANEL DISCUSSION ON THE GERMAN FEDERAL GOVERNMENTS POLICY ON AFRICA PROSPECTS AFTER THE ELECTIONS.
BERLIN, 26TH AUGUST 2009...
IN THE HIGH COURT OF TANZANIA
AT DAR ES SALAAM
CRIMINAL SESSIONS CASE NO.26 OF 2006
REPUBLIC
VERSUS
ACP. ABDALLAH ZOMBE AND 12 OTHERS
JUDGMENT
MASSATI, JK: (rtd)
(1)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.