NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Mwananchi iliripoti Jumamosi iliyopita kuwa wazee wa Chadema walikuwa wamepanga kukutana na Zitto ili wamuombe aondoe jina lake kwenye nafasi ya uenyekiti na kwamba, angepewa cheo cha katibu mkuu wa chama baada ya anayeshikilia nafasi hiyo, Dk Willibrod Slaa kuripotiwa kuwa anataka kujiweka pembeni na majukumu ya chama, ili awatumikie kwa karibu wananchi wa jimbo lake la Karatu.
Source: Mwananchi
Naona wanabodi wamekoomaa na issue ya Zitto lakini kuna pigo jingine Chadema kuachia ngazi kwa Dr Slaa la uendeshaji na utendaji wa Chama litakuwa na msukosuko mkubwa zaid kwa chama. Dr ni mtu anayeaminika sana kwa matamko yake kuhusu Chama sasa akiondoka naona itakuwa vigumu kuziba pengo hilo.
Nafasi hii akipewa Zitto anaweza kuvaa viatu hivyo??
Source: Mwananchi
Naona wanabodi wamekoomaa na issue ya Zitto lakini kuna pigo jingine Chadema kuachia ngazi kwa Dr Slaa la uendeshaji na utendaji wa Chama litakuwa na msukosuko mkubwa zaid kwa chama. Dr ni mtu anayeaminika sana kwa matamko yake kuhusu Chama sasa akiondoka naona itakuwa vigumu kuziba pengo hilo.
Nafasi hii akipewa Zitto anaweza kuvaa viatu hivyo??