Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
-Dhima halisi ya maandamano ni ''mshikamano ndani ya chama''
-Maandamano yataanzia ofisi zao kuu kinondoni na kuishia mbezi beach
-Watakaoongoza maandamano:
M/Kiti Ndugu Mbowe
Katibu Mkuu Dk Slaa
Naibu katibu mkuu Mh Zitto Zuberi Kabwe
SOURCE:Nimeasikia wakitangaza kwa gari na spika nikiwa Morroko-traffic lights
WITO WANGU:Wakuu tulioko Dar na wanachama wa Chadema tukutane hapo,sio blah blah za keyboards tu.ukiwa maandamanoni gonga hapa +255774207300 ili nithibitishe kama wewe ni mutu ya action
KARIBUNI SANA JAMANI!naomba mkumbuke kuja na kadi zenu
-Maandamano yataanzia ofisi zao kuu kinondoni na kuishia mbezi beach
-Watakaoongoza maandamano:
M/Kiti Ndugu Mbowe
Katibu Mkuu Dk Slaa
Naibu katibu mkuu Mh Zitto Zuberi Kabwe
SOURCE:Nimeasikia wakitangaza kwa gari na spika nikiwa Morroko-traffic lights
WITO WANGU:Wakuu tulioko Dar na wanachama wa Chadema tukutane hapo,sio blah blah za keyboards tu.ukiwa maandamanoni gonga hapa +255774207300 ili nithibitishe kama wewe ni mutu ya action
KARIBUNI SANA JAMANI!naomba mkumbuke kuja na kadi zenu