Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Naona Zitto ajibu mapigo kwa kujiunga na CUF ili arudishe hadhi yake .ni hapo tu atakapo anza kupaa na huenda hata nafasi ya kugombea Uraisi akapewa ,Zitto hiyo ni Golden Chance kuukwaa Uraisi wa Tanzania kupitia CUF kazi kwako.Hii ni tiketi ambayo ipo wazi kabisa na labda utaona kama masihara lakini nafasi ya kugombea Uraisi kwa tiketi ya CUF ipo wazi kabiza ,Lipumba ni mtu mwenye akili sana na nahisi angependa kupata kijana mbadala ambae ana msimamo wa kuikomboa Nchi hii na mwenye kukubalika katika jamii ,hivyo jishauri na utakuja kunikumbuka ,tatizo vijana mnakuwa mnashindwa kuelewa kuwa Chama kinachowafaa ni CUF ili kupambana na CCM na si chama kingine chochote kile ,ipeleke nguvu yako CUF ichanganywe na ya Maalim Seif tuone kama CCM hawakuanguka.
Wakuu mnasemaje kwa hili ,mpeni ushauri wa bure Zitto.
Nasikia Lwakatale ajuuuuuuta kujunga na Chadema.
Wakuu mnasemaje kwa hili ,mpeni ushauri wa bure Zitto.
Nasikia Lwakatale ajuuuuuuta kujunga na Chadema.