SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imedai fujo zinazoendelea hivi sasa kisiwani Pemba ni mpango maalumu na wa muda mrefu wa serikali ya Marekani.
Kauli hiyo ya kulishutumu taifa kubwa duniani...
Big breakthrough in Kagoda probe
AT least two prominent personalities behind Kagoda Agriculture Limited company are now part of the 40bn/-embezzled from the Bank of Tanzania's external payment...
Ndugu zangu najua huenda hapa si mahali muafaka kuzungumza hili, lakini haya ndiyo mambo yanaturudisha nyuma. Hivi sasa wenzetu Kenya wanajipanga kunufaika na kuwasili kwa fibre optic cable...
Naomba wataalam wa constitutional affairs watuongoze juu hizi pillars of state.....
Executive (JK);
Parliament(6);
Judiciary (Ramadhan);
Media (not in tanzania)
..zinafanyaje kazi?..mbona JK...
allAfrica.com: Tanzania: TIC to Promote JKT Land Bank (Page 1 of 1) The Tanzania Investment Centre (TIC) has agreed to market and promote a land bank owned by Suma, a corporation of National...
Wakuu wote JF heshima mbele sana,
- According to the dataz nilizozipata sasa hivi ni kwamba Kamati Kuu ya CCM itakutana kwa kikao cha dharura kuanzia tarehe 11, September 2009. Ni hivi majuzi tu...
JESHI la Polisi kisiwani Pemba limejibu tuhuma za CCM kuwa linafanya kazi kwa kukipendelea chama cha upinzani cha CUF, ikisema kuwa inafuata misingi ya sheria.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu (Nec) ya...
FYI: Ifuatayo ni ripoti ya 'Gazeti la Serikali' kuhusu majibu ya Waziri anayehusika na Utalii/Uwindaji kuhusu sakata la Loliondo. Chini kabisa kuna taarifa kutoka kwenye Gazeti la Mwananchi...
Wakazi wa Kipawa wamwambia DC Ilala hana adabu
WAKAZI wa Kipawa jijini Dar es Salaam wamemsikitisha Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Evance Balama baada ya kumwambia kinagaubaga kuwa hana adabu...
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, John Chiligati amesema chama hicho hakina ugomvi wala uadui na wabunge wake wanaoongoza vita dhidi ya mafisadi nchini.
Kauli hiyo imetolewa siku chache baada...
Rev. Miguel DEscoto Brockmann, the president of the United Nations General Assembly, bestows official hero status - "World Hero of Social Justice" to first president of Tanzania Julius Nyerere...
Yap, ufisadi si kuiba au kuikosesha mapato serikali lakini msamiati huu unaweza kuendelea kule nyewe Serikali yenyewe inakuwa na tendencies za KIFISADI FISADI
sasa hivi wana Mradi mkubwa wa...
Na Salim Said
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbroad Slaa amesema vita ya ufisadi nchini, haitafanikiwa kama serikali haitamkamata Kagoda na kumchukulia hatua...
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Demokrasia. Maadhimisho yanafanyika hapa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja. Maadhimisho haya yameandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania TCD. Maadhimisho yameanza kwa...
Hi all, Just got this somewhere. I believe the author has some points....
Mchango yangu baadaye.
To our dear President,
Thanks for this opportunity to address you, Sir.
We are by now, way...
Vyanzo vyetu jijini Dar es salaam, vimethibitisha hali isiyo ya kawaida ambapo , Mwanaharakati John Mashaka amelivamia na kuliteka jimbo la UKONGA. Bw. John Mashaka ambaye yupo nchini kwa...
Words, I now can confirm, do not amount to much. We used to proudly proclaim that we would run while they walked. Words, my friends, words.
We then said binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika...
Niseme nini kisichojulikana? Alishinda kwa asilimia nyingi ya kura akijaza mioyo ya watanzania matumaini ya mwanzo mpya wa ujenzi wa taifa lao. Watu walitaraji mabadiliko. Walichopata badala yake...
Siku Rais alijibu maswali
Nilijaribu kupiga simu sikupata, sikupenda kutumia anuani ya yahoo hivyo sikutuma e-mail. Laiti ningepata nafasi nimeguswa sana na ninakerwa na usafiri kwa ujumla na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.