Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imedai fujo zinazoendelea hivi sasa kisiwani Pemba ni mpango maalumu na wa muda mrefu wa serikali ya Marekani. Kauli hiyo ya kulishutumu taifa kubwa duniani...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Big breakthrough in Kagoda probe AT least two prominent personalities behind Kagoda Agriculture Limited company are now part of the 40bn/-embezzled from the Bank of Tanzania's external payment...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndugu zangu najua huenda hapa si mahali muafaka kuzungumza hili, lakini haya ndiyo mambo yanaturudisha nyuma. Hivi sasa wenzetu Kenya wanajipanga kunufaika na kuwasili kwa fibre optic cable...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba wataalam wa constitutional affairs watuongoze juu hizi pillars of state..... Executive (JK); Parliament(6); Judiciary (Ramadhan); Media (not in tanzania) ..zinafanyaje kazi?..mbona JK...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
allAfrica.com: Tanzania: TIC to Promote JKT Land Bank (Page 1 of 1) The Tanzania Investment Centre (TIC) has agreed to market and promote a land bank owned by Suma, a corporation of National...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu wote JF heshima mbele sana, - According to the dataz nilizozipata sasa hivi ni kwamba Kamati Kuu ya CCM itakutana kwa kikao cha dharura kuanzia tarehe 11, September 2009. Ni hivi majuzi tu...
1 Reactions
161 Replies
18K Views
JESHI la Polisi kisiwani Pemba limejibu tuhuma za CCM kuwa linafanya kazi kwa kukipendelea chama cha upinzani cha CUF, ikisema kuwa inafuata misingi ya sheria. Mjumbe wa Halmashauri Kuu (Nec) ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
FYI: Ifuatayo ni ripoti ya 'Gazeti la Serikali' kuhusu majibu ya Waziri anayehusika na Utalii/Uwindaji kuhusu sakata la Loliondo. Chini kabisa kuna taarifa kutoka kwenye Gazeti la Mwananchi...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakazi wa Kipawa wamwambia DC Ilala hana adabu WAKAZI wa Kipawa jijini Dar es Salaam wamemsikitisha Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Evance Balama baada ya kumwambia kinagaubaga kuwa hana adabu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, John Chiligati amesema chama hicho hakina ugomvi wala uadui na wabunge wake wanaoongoza vita dhidi ya mafisadi nchini. Kauli hiyo imetolewa siku chache baada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rev. Miguel D’Escoto Brockmann, the president of the United Nations General Assembly, bestows official hero status - "World Hero of Social Justice" to first president of Tanzania Julius Nyerere...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Yap, ufisadi si kuiba au kuikosesha mapato serikali lakini msamiati huu unaweza kuendelea kule nyewe Serikali yenyewe inakuwa na tendencies za KIFISADI FISADI sasa hivi wana Mradi mkubwa wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chama pekee chenye uwazi na uongozi bora. Matawi kede kede, tena duniani kote.
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Na Salim Said KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbroad Slaa amesema vita ya ufisadi nchini, haitafanikiwa kama serikali haitamkamata Kagoda na kumchukulia hatua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Demokrasia. Maadhimisho yanafanyika hapa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja. Maadhimisho haya yameandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania TCD. Maadhimisho yameanza kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hi all, Just got this somewhere. I believe the author has some points.... Mchango yangu baadaye. To our dear President, Thanks for this opportunity to address you, Sir. We are by now, way...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Vyanzo vyetu jijini Dar es salaam, vimethibitisha hali isiyo ya kawaida ambapo , Mwanaharakati John Mashaka amelivamia na kuliteka jimbo la UKONGA. Bw. John Mashaka ambaye yupo nchini kwa...
0 Reactions
106 Replies
14K Views
Words, I now can confirm, do not amount to much. We used to proudly proclaim that we would run while they walked. Words, my friends, words. We then said binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Niseme nini kisichojulikana? Alishinda kwa asilimia nyingi ya kura akijaza mioyo ya watanzania matumaini ya mwanzo mpya wa ujenzi wa taifa lao. Watu walitaraji mabadiliko. Walichopata badala yake...
0 Reactions
119 Replies
12K Views
Siku Rais alijibu maswali Nilijaribu kupiga simu sikupata, sikupenda kutumia anuani ya yahoo hivyo sikutuma e-mail. Laiti ningepata nafasi nimeguswa sana na ninakerwa na usafiri kwa ujumla na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom