Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimekuwa hapa Unguja toka Alhamisi. Nimekuta hakuna umeme na katika uliza uliza yangu nimeambiwa kuwa hakuna mategemeo ya kurejesha umeme hadi mwishoni mwa mwezi Februari. Inawezekana serikali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba minieleweshe hasa matumizi ya neno hili kustaafu katika siasa zetu hizi za kimasikini, kwa nini kiongozi anaye ondoka madarakani kwa kashfa kabla ya kumaliza muda wake...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Rais Kikwete akiwa safarini kwenda Davos, alisimama LIbya na kukutana na Ghaddafi na kumpa shukrani kwa msaada uliotolewa na Libya kujenga nyumba kwa familia zilizoathirika kwa mafuriko. Katika...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
  • Closed
Wakuu, habari! Ni wazi kuwa baadhi yetu humu jamvini tumeonesha ama tuna nia ya kugombea ama Ubunge au Udiwani na nafasi nyinginezo na wengine bado tunatafakari kama tugombee ama la. Wengi wetu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waziri Simba: Tupo makini, tutawashughulikia WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Sophia Simba, amesema, si kweli kuwa Serikali inachelewa kutoa uamuzi au haitoi uamuzi sahihi kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kutafakari kwamba huu ni mwaka wa uchaguzi kwenye ka- Nchi ketu haka maskini sana ulimwenguni (wa mipango) nimeona haya mambo ni muhimu sana kuhusiana na uchaguzi huo. Itikadi, Sera...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NAIBU Gavana wa Benki Kuu (BoT), Juma Reli (54), ameshindwa kuithibitishia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuhusu hasara iliyopatikana katika mradi wa ujenzi wa minara pacha kwa...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
..kwa kweli hata mimi namuunga mkono Mh.Selelii ktk madai yake haya. ..haijalishi kama wa-Tanganyika wanataka kumiliki ardhi Zenj au la, sote tunapaswa kuwa sawa ndani ya Jamhuri ya Tanzania. MP...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Mara nyingi sana tumeshuhudia vurugu na machafuko yaliyopoteza maisha ya watu wakiwepo watoto wagodo wasio na hatia katika nchi zetu hizi za Africa. Machafuko na vurugu hizo yanaambatana na mambo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rejea maoni yangu ya jana kuhusu hoja iliyoanzishwa na kishoka ya ama kuwa na uchaguzi mwakani au la. Binafsi, sikubaliani na wazo la Mbowe kugombea ubunge huko Hai. Huyu ndiye aliyekuwa mgombea...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Wakuu, Kama ningekuwa JK pamoja na mambo mengine ningefanya yafuatayo: 1. Ningejenga Multi-purpose Science Laboratories kila wilaya. 2. Ningeongea na vituo vyote vya televisheni hapa nchini...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Mwanasiasa mkongwe nchini, John Malecela, amevunja ukimya na kutangaza kuwa atagombea tena katika nafasi ya ubunge kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu ujao na kulitetea jimbo lake. Alisema hayo jana...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Ngawaiya atangaza kumvaa Ndesamburo Daniel Mjema, Moshi BAADA ya kukaa nje kwa kipindi kimoja, mbunge wa zamani wa Moshi Vijijini, Thomas Ngawaiya sasa anataka kurudi tena bungeni, lakini...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mojawapo ya hofu nilizonazo ni kuwa Kikwete hatimaye anaweza kuwa Gorbachev wetu. Yawezekana akaja na mawazo ya Perestroika anapotaka kugombea mara ya pili na watu wakakubali na matokeo yake...
0 Reactions
69 Replies
8K Views
Kwa wale wanaokumbuka tulianza sisi (watu wa TPN, JF, n.k) kuanzisha harambee ya kuchangia Chama cha Msalaba Mwekundu kufuatia mafuriko ya Kilosa na sehemu nyingine nchini tukiamini kuwa serikali...
0 Reactions
90 Replies
10K Views
Sitta na Lowassa wagongana tena Source Raia Mwema Januari 27, 2010 Kamati ya Mwinyi yawashindwa Ujasusi watumika kuwinda vigogo wa CCJ KIWEWE cha kuanzishwa kwa Chama Cha Jamii (CCJ)...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SEPTEMBA 15 mwaka 2009 Tanzania iliungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya Demokrasia duniani. Pamoja na mengi yaliyozungumzwa lakini Tanzania ilisifiwa kuwa imekomaa kidemokrasia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo Waziri husika amelitaarifu Bunge kwamba Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi utajadiliwa na kupitishwa katika mkutano wa bunge unaoendelea na tayari kanuni imeshatenguliwa kuruhusu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
7.7bn/- Muhimbili Paediatric block handover next month By Dominic Nkolimwa; 25th January 2010 Muhimbili National Hospital Health and Social Welfare ministry is set to handover the...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
JF, Wakati huo sikuwa nafuatilia sana mambo ya siasa, lakini kuna kipindi nikapata kujua kwa juu JUU kuwa kuna Group moja ndani ya bunge lilikuwa linadai tanganyika yetu - hili lilikuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…