Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna habari kuwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini TAKUKURU inafanya uchunguzi juu ya tuhuma za Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni mbunge wa jimbo wa Isimani mkoani Iringa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
RAIS Jakaya Kikwete wiki hii amefanya uteuzi wa mabalozi kwenye key stations ambazo kuna diplomats wa Tanzania abroad. Mimi ninavyoona, this was a missed opportunity kwa Rais kufanya maamuzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rwanda arrests football head on way to World Cup Brig-Gen Jean Bosco Kazura (Photo from Ferwafa - ferwafa.rw/fed) Jean Bosco Kazura served in Sudan's Darfur region The head of Rwanda's...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Maoni ya Mhariri wa RAIA MWEMA Igeni ya Lukuvi kumaliza ufisadi Juni 23, 2010...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mjumbe wa Kamati Maalum, Mariam Ukiwaona Ditopile Mzuzuri ( kushoto)akiikagua kadi ya CCM ya Mwanachama , Mzee Athuman Mohamed Dume ( kulia) wa CCM Tawi la Fulwe, Kata ya Mikese, Wilaya ya...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Huu kama mwaka wa uchaguzi ningependa kupata maoni yako juu ya kitu kimoja ambacho ungependa serikali ya awamu ya tano ikipe kipaumbele. Jaribu kuwaza kama umepata nafasi ya kukaa na Wagombea...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wednesday, 23 June 2010 By The Citizen Reporter President Jakaya Kikwete has made new ambassadorial appointments with senior Foreign Affairs and International Co-operation ministry official...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunapoelekea uchaguzi mkuu tunawatahadharisha wagombea wote jimbo la Hai kwamba hatuitaji kirusi chochote kile cha CCM katika jimbo letu.Hawamu hii tunataka Halmashauri iongozwe na wapinzani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kuna jambo linanitatiza na huwa linagonga sana kichwa changu; Naomba kujua wajibu wa viongozi wanaochaguliwa na wananchi hususan wale wanaochaguliwa kwa njia ya kura (Rais, Wabunge...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF nina swali linaloniumiza kichwa sana hapa...hii mnafahamu ni nani aliyeanzisha ideas hizi 2 1) Rais kuchangiwa kuchukua fomu 2) Kutangaza nia ya kugombea mwaka 2010 Rais kuchangiwa fedha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani naomba kuwasilisha, KWA KUWA, makala hii imeandikwa na Kibanda, ambaye ametajwa kuwa karibu na Lowassa, NA KWA KUWA, amesema kwamba Lowassa alikuwa mbuzi wa kafara, NA KWA KUWA, yuko...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Ikiwa watakaokuja ni CCM au wengine katika utawala wa kuiongoza Tanzania naamini kabisa kuwa TANZANIA WILL NEVER BE THE SAME AGAIN,hii ni kutokana na uamsho ambao unajengeka kwa wananchi dhidi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
That for the majority of Africans LIVING is an endemic a misery and that no outlet seems to be insight save for faith and hope in the favours of the ALMIGHTY. Failed leadership and failed states...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
IWC meeting abuzz over Japan vote-buying accusations Wednesday 23rd June, 07:58 AM JST AGADIR, Morocco — Accusations that Japan uses aid money and personal favors to buy votes have quietly...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Elections in Tanzania What's the hurry? The president is trying, without much luck, to gee things up THE World Bank now ranks Tanzania a lacklustre 131st in the world, dropping steadily...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waziri wa East Africa,mwenye Phd fake yuko Uk kuonana na WaTz. atakuwa 18/06 London,19/06 Reading na 20/06 Manchester. Kama wewe Mtz mpiga box huko una nafasi nenda ukamwone huyu Mheshimiwa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Bw. Shamsi Vuai Nahodha akiwa Bungeni na mkewe Waandishi Wetu, Zanzibar na Dar IDADI kubwa ya makada wa CCM waliojitokeza kuwania...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
VITA vya kuwania ubunge Jimbo la Same Mashariki vimechukua sura mpya baada ya mbunge wa jimbo hilo, Anne Kilango-Malecela kudai mpinzani wake anataka kumaliza maisha yake na uzao wake. Kilango...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Makamu wa Rais Dk Ali Mohammed Shein ambaye jina lake linatajwa kuwa ni miongoni mwa wagombea wa urais Zanzibar Salma Said, Zanzibar na Boniface Meena MAKAMU wa Rais, Dk Ali Mohammed Shein...
0 Reactions
100 Replies
11K Views
Kwa kifupi, someni yanayowakera wenzetu wa Nigeria: Rebellion over Nigeria's expensive politicians By FUNKE ADETUTU in Lagos June 22 2010 at 11:54 In different corners of Nigeria, most of...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…