taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,094
- 538
Wakuu kuna jambo linanitatiza na huwa linagonga sana kichwa changu; Naomba kujua wajibu wa viongozi wanaochaguliwa na wananchi hususan wale wanaochaguliwa kwa njia ya kura (Rais, Wabunge, Madiwani) wanatakiwa kutekeleza na pindi wanaposhindwa ni njia gani zifaazo na za haraka zinatakiwa kuchukuliwa ili kuwaondoa na kuepusha mambo kwenda mrama/kuharibika zaidi.