CCM ni chama cha Dhuluma, hili lipo wazi.
Tumesikia tayari wagombea wa CCM wameshaanza kumwagiwa mchanga wa macho.
Peter Msola (waziri wa mawasiliano) amefanya ghiliba ili awanie kiti cha Ubunge...
Katibu mkuu wa ccm Yusuph Makamba
SIKU moja baada ya kuripotiwa matukio rushwa katika mchakato kupata wagombea ubunge ndani ya CCM, chama hicho kimesema mgombea yeyote atakayekamatwa na...
Mawaziri na baadhi ya watendaji wakuu wa serikali ya Rais Amani Abeid Karume wamekumbwa na hofu kufuatia upinzani mkubwa unaowakabili katika kutetea nafasi za ujumbe wa Baraza la Wawakilishi...
Viongozi wa Kiislamu Zanzibar, wamesema wanaunga mkono Serikali ya Umoja wa Kitaifa na kusisitiza kuwa watabeba jukumu la kuzunguka visiwani na kushawishi wananchi kupiga kura ya ndiyo...
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa, leo hii amefuta rasmi usajili wa muda wa Chama Cha Jamii (CCJ) baada ya viongozi wa chama hicho kushindwa kutimiza masharti ya usajili na wengine...
Na Ally Sonda, Moshi
KATIKA hali inayoonekana kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekusudia kumng'oa Mbunge wa Moshi Mjini, Phillemon Ndesamburo (Chadema) ifikapo mwaka 2010, kimeamua kuutumia Umoja...
Mabere Marando anatarajia kujiunga rasmi CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi
chanzo changu ni watu walioko karibu naye na kuwa atatangaza uamuzi huo muda wowote kuanzia sasa.
viongozxi wa vyama vigine...
Kibinafsi napata kichefuchefu ninapoona ushabiki wa vyama unaendana na kuvaaa nguo zenye rangi ya bendera za vyama.. Jamani hivi kasumba zimepitwa na wakati. hata hao wachina wa enzi za Mao...
KAMANDA mpambanaji wa CHADEMA john john mnyika anatarajiwa kuibua ufisadi unaofanyika kwenye jimbo la ubungo na manispaa ya kinondoni kwa ujumla habari hizo toka chini chini zinasema mbunge huyu...
WANA JF, JE KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA CHA TSH 135,000/= MNAKIONAJE? TAARIFA ZISIZO RASMI ZINASEMA SERIKALI IMEGOTEA HAPO HAITAKI KUPANDA HATA KUFIKIA 150,000/= NA KODI WAMESHUSHA KWA ASILIMIA 1...
Wakati tunaelekea katika uchaguzi dalili zinaonyesha kuwa kama vyama vya upinzani havijawa makini na kuweza kuja na ajenda ambayo itawawezesha kuaminiana na pia kujenga imani kwa wapiga kura basi...
Kila Mtanzania mwenye akili timamu,na mwenye uchungu wa dhati kwa nchi yetu anatambua kuwa miaka mingine mitano kwa JK ni mithili ya kuisukuma nchi yetu kwenye tanuru la vurugu na...
Wakuu tunapoelekea 2010, kuna kauli ambazo naomba mzifuatilie sana.
1. Nimeombwa na wazee, na wananchi wa jimbo fulani nigombee.
2. Baada ya kushauriana na watu fulani nikashawishika kuchukua...
Wadau nijuzeni... Hivi utitiri wa watu kutangaza nia za kugombea ubunge... ni hela za bwerere... Ni kuongeza wigo wa kuatamia fursa za mahela... Kujiongezea umaarufu hata kama watshindwa... Ama ni...
Msomi Ajitosa Udiwani Kata Ya Magomeni
1.Jengo la ofisi ya CCM Kata ya Magomeni.
2.Ndugu Ally Zawadi {kulia} ambaye ni mhadhiri(Lecturer) wa chuo cha usimamizi wa fedha {IFM} akichukua fumu...
Wana-JF wenzangu, nisaidieni, maana nimechanganyikiwa. Hivi karibuni vyombo vya habari, hususan magazeti, vimekuwa vikiripoti vituko, vurugu, umafia na ufisadi katika kampeni za uchaguzi za CCM...
Wanajamvi
Naomba tujipe changamoto ya kuchagua any Decsion Making Post/Position nje ya urais. Baada ya kuchagua tutaje vission/mission zetu katika kutekeleza kazi kazi hiyo post. Jaribu...