Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

CCM ni chama cha Dhuluma, hili lipo wazi. Tumesikia tayari wagombea wa CCM wameshaanza kumwagiwa mchanga wa macho. Peter Msola (waziri wa mawasiliano) amefanya ghiliba ili awanie kiti cha Ubunge...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbunge Limbu akamatwa, ahojiwa Diwani kortini, vigogo UVCCM matatani Nape alalamika kuhujumiwa Ubungo Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Nape...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katibu mkuu wa ccm Yusuph Makamba SIKU moja baada ya kuripotiwa matukio rushwa katika mchakato kupata wagombea ubunge ndani ya CCM, chama hicho kimesema mgombea yeyote atakayekamatwa na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mawaziri na baadhi ya watendaji wakuu wa serikali ya Rais Amani Abeid Karume wamekumbwa na hofu kufuatia upinzani mkubwa unaowakabili katika kutetea nafasi za ujumbe wa Baraza la Wawakilishi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Viongozi wa Kiislamu Zanzibar, wamesema wanaunga mkono Serikali ya Umoja wa Kitaifa na kusisitiza kuwa watabeba jukumu la kuzunguka visiwani na kushawishi wananchi kupiga kura ya ndiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa, leo hii amefuta rasmi usajili wa muda wa Chama Cha Jamii (CCJ) baada ya viongozi wa chama hicho kushindwa kutimiza masharti ya usajili na wengine...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Na Ally Sonda, Moshi KATIKA hali inayoonekana kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekusudia kumng'oa Mbunge wa Moshi Mjini, Phillemon Ndesamburo (Chadema) ifikapo mwaka 2010, kimeamua kuutumia Umoja...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mabere Marando anatarajia kujiunga rasmi CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi chanzo changu ni watu walioko karibu naye na kuwa atatangaza uamuzi huo muda wowote kuanzia sasa. viongozxi wa vyama vigine...
0 Reactions
128 Replies
16K Views
Kibinafsi napata kichefuchefu ninapoona ushabiki wa vyama unaendana na kuvaaa nguo zenye rangi ya bendera za vyama.. Jamani hivi kasumba zimepitwa na wakati. hata hao wachina wa enzi za Mao...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KAMANDA mpambanaji wa CHADEMA john john mnyika anatarajiwa kuibua ufisadi unaofanyika kwenye jimbo la ubungo na manispaa ya kinondoni kwa ujumla habari hizo toka chini chini zinasema mbunge huyu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
WANA JF, JE KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA CHA TSH 135,000/= MNAKIONAJE? TAARIFA ZISIZO RASMI ZINASEMA SERIKALI IMEGOTEA HAPO HAITAKI KUPANDA HATA KUFIKIA 150,000/= NA KODI WAMESHUSHA KWA ASILIMIA 1...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Wakati tunaelekea katika uchaguzi dalili zinaonyesha kuwa kama vyama vya upinzani havijawa makini na kuweza kuja na ajenda ambayo itawawezesha kuaminiana na pia kujenga imani kwa wapiga kura basi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kila Mtanzania mwenye akili timamu,na mwenye uchungu wa dhati kwa nchi yetu anatambua kuwa miaka mingine mitano kwa JK ni mithili ya kuisukuma nchi yetu kwenye tanuru la vurugu na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu tunapoelekea 2010, kuna kauli ambazo naomba mzifuatilie sana. 1. Nimeombwa na wazee, na wananchi wa jimbo fulani nigombee. 2. Baada ya kushauriana na watu fulani nikashawishika kuchukua...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu, Nimeiambatanisha hotuba ya JK kwenye attachment hapa chini, ipo kama word document, naamini ni rahisi kwa wengi kuipata na kuipitia.
0 Reactions
65 Replies
8K Views
Wadau nijuzeni... Hivi utitiri wa watu kutangaza nia za kugombea ubunge... ni hela za bwerere... Ni kuongeza wigo wa kuatamia fursa za mahela... Kujiongezea umaarufu hata kama watshindwa... Ama ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msomi Ajitosa Udiwani Kata Ya Magomeni 1.Jengo la ofisi ya CCM Kata ya Magomeni. 2.Ndugu Ally Zawadi {kulia} ambaye ni mhadhiri(Lecturer) wa chuo cha usimamizi wa fedha {IFM} akichukua fumu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakuu, naomba kama kuna taarifa ya wagombea ubunge mkoani Tabora, hususan Nzega, Urambo na Igunga .... mwenye taarifa naomba azimwage hapa.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana-JF wenzangu, nisaidieni, maana nimechanganyikiwa. Hivi karibuni vyombo vya habari, hususan magazeti, vimekuwa vikiripoti vituko, vurugu, umafia na ufisadi katika kampeni za uchaguzi za CCM...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi Naomba tujipe changamoto ya kuchagua any Decsion Making Post/Position nje ya urais. Baada ya kuchagua tutaje vission/mission zetu katika kutekeleza kazi kazi hiyo post. Jaribu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…