Mnyika kuibua ufisadi mpya ubungo

Henry Kilewo

JF-Expert Member
Feb 9, 2010
899
1,084
KAMANDA mpambanaji wa CHADEMA john john mnyika anatarajiwa kuibua ufisadi unaofanyika kwenye jimbo la ubungo na manispaa ya kinondoni kwa ujumla habari hizo toka chini chini zinasema mbunge huyu kijana anakamilisha dondoo za mwisho mwisho ilikuibuka kamili katika tuhuma hizo wamo vigogo amabao wamekwisha anza kuvyamia badhi ya maofsi na kutoweka na baadhi ya nyaraka hizo ili kamanda MNYIKA asifanikishe adhima yake na BAADHI ya tuhuma hizo ni zile za aridhi ambazo kuna wakubwa wamelindwa huku baadhi ya watumishi wakiadhibiwa na akubwa hao kuendleea kupeat kilaini ........ mungu mbariki mnyika katika kufanikisha adhima yake ya kutetea umma wa ubungo na watanzania kwa ujumla keep it up mnyika
 
KAMANDA mpambanaji wa CHADEMA john john mnyika anatarajiwa kuibua ufisadi unaofanyika kwenye jimbo la ubungo na manispaa ya kinondoni kwa ujumla habari hizo toka chini chini zinasema mbunge huyu kijana anakamilisha dondoo za mwisho mwisho ilikuibuka kamili katika tuhuma hizo wamo vigogo amabao wamekwisha anza kuvyamia badhi ya maofsi na kutoweka na baadhi ya nyaraka hizo ili kamanda MNYIKA asifanikishe adhima yake na BAADHI ya tuhuma hizo ni zile za aridhi ambazo kuna wakubwa wamelindwa huku baadhi ya watumishi wakiadhibiwa na akubwa hao kuendleea kupeat kilaini ........ mungu mbariki mnyika katika kufanikisha adhima yake ya kutetea umma wa ubungo na watanzania kwa ujumla keep it up mnyika

Mkuu Kilewo, hivi tayari huyu askari ameshaukwaa ubunge?? angalia usimwaribie kwa TAKUNGURU....:tape:
 
Mnyika namuombea kila la kheri, na Mungu atamuwezesha kuwashinda CCM jimboni humo...ila ushauri wangu wa bure aachane na kampeni nyepesi nyepesi kama hizo, ajipange kama Januari Makamba vile kuwaelezea wananchi wa Ubungo atawafanyia nini wakimpa ubunge?
 
Dear Mnyika
make grass root campaign, stage campaign you will not get majority votes, all the best, Remember many votes from UDSM will not be there for u.
 
Mnyika namuombea kila la kheri, na Mungu atamuwezesha kuwashinda CCM jimboni humo...ila ushauri wangu wa bure aachane na kampeni nyepesi nyepesi kama hizo, ajipange kama Januari Makamba vile kuwaelezea wananchi wa Ubungo atawafanyia nini wakimpa ubunge?
Junius,
Hivi Januari Makamba kajipangaje? Kwa kuandika kitabu cha Kiingereza kwa wana Bumbuli? Mnyika naye aandike chake kuhusu Ubungo?
 
Jasusi,
Kujipanga ni kitu upekee cha mgombea kinachomtafautisha na wagombea wengine...kama Januari Makamba kaandika kitabu (kumbukumbu zangu ni kuwa kitabu hicho pia kitapatikana kwa lugha ya kiswahili) walau katwambia kile alichokuwa nacho moyoni mwake na anachokusudia kuwaambia wananchi wa Bumbuli wamchague, na Mnyika naye ajipange kitofauti na wagombea wengine..habari za ufisadi kama ndo kigezo basi jimbo la Ubungo angegombea Lukuvi!
 
Mnyika ninakutakia mafanikio katika kuukwaa uwakilishi wa wananchi wqa ubungo. Ni imani yangu umejipanga vema na mkakatio wa serikali kukunyima kura za udsm na ndio maana wamelazimisha vyuo kuchelewa kufunguliwa. hofu ni wewe, si unajua ulivyobeba kura pale UDSM? wewe ni mshindi, tumia kila mkakati halali ili ushinde .
 
Jasusi,
Kujipanga ni kitu upekee cha mgombea kinachomtafautisha na wagombea wengine...kama Januari Makamba kaandika kitabu (kumbukumbu zangu ni kuwa kitabu hicho pia kitapatikana kwa lugha ya kiswahili) walau katwambia kile alichokuwa nacho moyoni mwake na anachokusudia kuwaambia wananchi wa Bumbuli wamchague, na Mnyika naye ajipange kitofauti na wagombea wengine..habari za ufisadi kama ndo kigezo basi jimbo la Ubungo angegombea Lukuvi!

Hicho kitabu cha Januari amegawa bure kule Bumbuli ama bwembwe zake tu, hivi kweli wanaBumbuli watanunua kweli hicho kitabu cha Januari?? na matatizo tuliyonayo maisha ya kuchakachua hata ada na pesa ya daftari haipo??
 
KAMANDA mpambanaji wa CHADEMA john john mnyika anatarajiwa kuibua ufisadi unaofanyika kwenye jimbo la ubungo na manispaa ya kinondoni kwa ujumla habari hizo toka chini chini zinasema mbunge huyu kijana anakamilisha dondoo za mwisho mwisho ilikuibuka kamili katika tuhuma hizo wamo vigogo amabao wamekwisha anza kuvyamia badhi ya maofsi na kutoweka na baadhi ya nyaraka hizo ili kamanda MNYIKA asifanikishe adhima yake na BAADHI ya tuhuma hizo ni zile za aridhi ambazo kuna wakubwa wamelindwa huku baadhi ya watumishi wakiadhibiwa na akubwa hao kuendleea kupeat kilaini ........ mungu mbariki mnyika katika kufanikisha adhima yake ya kutetea umma wa ubungo na watanzania kwa ujumla keep it up mnyika

Mkuu Kilewo,
Tangu lini Mnyika amekuwa mbunge? Au ndiyo tunguli lenyewe....mmmh. No matter what namuombea kila la KHERI mpiganaji Mnyika na wengineo katika vinyang'anyiro vya ubunge popote Tanzania.
 
Mkuu Kilewo,
Tangu lini Mnyika amekuwa mbunge? Au ndiyo tunguli lenyewe....mmmh. No matter what namuombea kila la KHERI mpiganaji Mnyika na wengineo katika vinyang'anyiro vya ubunge popote Tanzania.
kamanda mnyika ndiye aliye kuwa chaguo la ubungo ndiyo maana namuita mbunge wa ubungo na si yule wa kupewa so tupo naye bega kwa bega
 
Mnyika is my idol ktk siasa.
Akifanikiwa, nimefanikiwa, asipofanikiwa tutafanikiwa
 
Back
Top Bottom