Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
KAMANDA mpambanaji wa CHADEMA john john mnyika anatarajiwa kuibua ufisadi unaofanyika kwenye jimbo la ubungo na manispaa ya kinondoni kwa ujumla habari hizo toka chini chini zinasema mbunge huyu kijana anakamilisha dondoo za mwisho mwisho ilikuibuka kamili katika tuhuma hizo wamo vigogo amabao wamekwisha anza kuvyamia badhi ya maofsi na kutoweka na baadhi ya nyaraka hizo ili kamanda MNYIKA asifanikishe adhima yake na BAADHI ya tuhuma hizo ni zile za aridhi ambazo kuna wakubwa wamelindwa huku baadhi ya watumishi wakiadhibiwa na akubwa hao kuendleea kupeat kilaini ........ mungu mbariki mnyika katika kufanikisha adhima yake ya kutetea umma wa ubungo na watanzania kwa ujumla keep it up mnyika