Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, ungependa kuona mabadiliko gani ya kweli kutoka kwenye serikali mpya itakayoundwa? Mimi binafsi ningependa kuona mabadiliko mengi lakini nitaanza na hili la...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wachache wetu tuliokuwapo wakati wa harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika, tunakumbuka jitihada za serikali ya kikoloni kujaribu bila mafanikio kuvinyamazisha vyombo vya habari visitangaze...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
mpaka sasa idadi ya kadi nyekundu kwa timu mbili za ccm ni: mafisadi 0-2 wapambanaji waliopewa kadi nyekundu ni: james lembeli: (aliingizwa chaka na kocha wake kwani kocha alimwita nje ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni dhahiri kwamba kila Mtanzania mzalendo na mwenye uchungu na nchi yetu anatamani kuona mambo yakibadilika huko nyumbani.Nchi yetu ina takriban miaka 50 tangu ipate uhuru mwaka 1961.Ukiondoa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu jana na leo kunashughuli nyingi za ukarabati wa barabara zilizogeuka mahandaki hapa mjini Arusha.Maeneo ya Sanawari,barabara inayotenganisha Sheck Amri Abeid na CCM mkoa nyingine nyingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gazeti la rai katika toleo lake la leo limeendelea kuandika habari zinazomhusisha mgombea wa chadema katika nafasi ya urais (dk slaa) na maaskofu. Eti sasa wanadai wabunge waislamu wa chadema...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Dk Slaa: Wana CCM niungeni mkono nimng'oe Kikwete Send to a friend Tuesday, 27 July 2010 22:50 0diggsdigg Dk Slaa Mussa Juma, Karatu MGOMBEA urais wa Chadema Dk Wilbroad Slaa, amezidi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu, gazeti hili nilipata kulijua zaidi ya miaka 10 iliyopita; likiwa na uadilifu na weledi wa hali ya juu kiasi cha kufanya mmiliki wake kutangazwa kuwa si raia wa nchi hii kisheria. lakini...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Bado nakumbuka yaliyotokea kwa jirani zetu Kenya ambako tamko la aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Bwana Samuel Kiviutu, lilivyoweza kuigeuza nchi jirani, Kenya, kuwa uwanja wa mapambano...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Siasa ya ujamaa na kujitegemea ilitudumaza - Mtikila na Ratifa Baranyikwa Tanzania Daima Jumapili, 3 Februari 2008 Hivi karibuni Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wanaJF, lengo la thread hii ni kuonyesha kuwa pamoja na kuwa wengi wetu tunaunga mkono mabadiliko, tena wengi ni watu wenye uzalendo 'kiasi' na kuipenda nchi yetu, bado kuna mambo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Wandugu, baada ya kumpata mgombea makini kutoka CHADEMA, nafikiri kwamba sasa ni wakati mzuri kwa CUF kuamua kumuunga mkono bwana huyu. Na katika kutekeleza hilo, napendekeza msemaji wa kambi ya...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Wanabodi, Nijuavyo mimi, kampeni rasmi za Urais na Ubunge, zitaanza rasmi Tarehe 20 mwezi ujao. Katika pita pita yangu huku na kule, nimetua mjini Dodoma na kushuhudia mji mzima wa Dodoma...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mtunzi wa kitabu hiki maridhawa si mwingine bali ni mchambuzi na mwandishi mahiri wa makala,Mwalimu Nkwazi Nkuzi Mhango,Mtanzania mwenye makazi yake nchini Kanada.Licha ya ualimu na uandishi wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo tumepata taarifa za kuvamiwa eneo ambalo alikuwa akiishi Said Kubenea wa MwanaHalisi huku waliofanya uvamizi wakiwalazimisha vijana wa eneo hilo kusema alipo Kubenea. Taarifa...
0 Reactions
66 Replies
7K Views
ningekuwa mimi Kikwete ningejitoa nisigombee urais kwa vile ninayegombea naye naelewa ananizidi kwa kila idara, ni ukweli unaouma.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kweli Kikwete anaipenda Tanzania, anatakiwa amuunge mkono Dr. Slaa.. Hakuna ubishi, Dr. Slaa ni zaidi ukilinganisha na JK.. Sasa kwa sababu kapatikana rais makini, inabidi yeye kama mmoja ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
1. Dr. Willibrod Slaa and Rashid Hamadi [Christian & Islam-Fair State] 2. Jakaya Kikwete and Dr. Mohamed Bilal [Both are Islam-Islamic State]
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mada hii inahusu uhusiano kati ya Sataranji na Siasa. Sataranji ni mchezo ambao hutumia fikra nyingi na mipango mingi tarajali kumshinda mpinzani. Katika mchezo huu, ambao vinara wake walikuwa ni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…