Kwanini Tendwa anaiogopa C.C.J?

Kwanini Tendwa anaiogopa C.C.J?

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,455
Reaction score
5,163
Hivi kuna siri gani nyuma ya pazia?
Yaani ccj imeshindwa kutimiza masharti ambayo hata mtikila aliyaweza?
 
Suala si Tendwa kuiogopa CCJ wala CCJ kushindwa chochote. Kikwazo ni uongozi wa CCM unaogopa na hautaki ushindani utakaohatarisha ushindi katika uchaguzi ujao. Ni dhahiri Tendwa anapata maelekezo kutoka juu ahakikishe kwamba CCJ kinakwamishwa. Nyuma ya pazia kuna mengii.
 
Suala si Tendwa kuiogopa CCJ wala CCJ kushindwa chochote. Kikwazo ni uongozi wa CCM unaogopa na hautaki ushindani utakaohatarisha ushindi katika uchaguzi ujao. Ni dhahiri Tendwa anapata maelekezo kutoka juu ahakikishe kwamba CCJ kinakwamishwa. Nyuma ya pazia kuna mengii.


Suala si Tendwa, Hapa ni CCJ Wamehindwa kutimiza masharti ya usajili, wasitamfute mchawi na wala si CCM
 
Hawa jamaa CCJ & CCM wanajuana sana,
hivyo basi CCM haiwezi kujikaanga kwa mafuta yake.
Kuiruhusu CCJ ni kuiangamiza CCM
 
Mh! Hivi huu mjadala wa Tendwa na CCJ bado haujaisha tu!
Kuna maswali mengine ndugu zangu yanaumiza kichwa na yanaongeza stress.
Hasa hili la Tendwa na CCJ.
 
Kwanini wasikalishwe kitimoto wajieleze mbele ya waandishi wa habari?
Hivi hatuwezi kutafuta wadhamini, tuwaweke kati hawa wawili wananchi waujue ukweli?
Ningekuwa mwandishi wa habari ningewaweka kati halafu nainadi ile mbaya debate yangu.
 
Back
Top Bottom