Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Mhariri wa HabariLeo amekuja na mpya baada ya kuacha kazi yake ya kuutumikia umma wa Watanzania (wanaolipa mshahara wake) na kujivika ukada wa CCM kumtetea JK. Mimi niliisikiliza kwa ufasaha hotuba ya Kikwete na alikuwa wazi kabisa kuwa wafanyakazi na Tucta hawambabaishi na alienda mbali zaidi kwa kuwatishia uhai wao wale wote ambao wangevunja amri ya serikali ya kutogoma akitoa mifano ya jinsi serikali ilivyoweza kuwaua wale waliojihusisha na migomo ambayo serikali iliita haramu.. vipi leo hii anaanza kuyameza maneno yake? Anatumia vyombo vya habari vya serikali kumtetea ili kuwalaghai wafanyakazi? tunasema mwaka huu ng'o! Mlitulaghai na vyombo vyenu fake mwaka 2005 safari hii tafuteni mbinu nyingine