Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 213
- 1,726
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Juma Simba Gadafi (mwenye baraghashia kichwani) akijaribu kuwatuliza wana CCM kutoka Kata ya Mchikichini Ilala na Miburani Temeke walioandamana leo katika ofisi hizo kutaka kurudisha kadi za chama hicho ama kurudishiwa Wagombea Udiwani waliowachagua wao katika Kata zao.
Picha na maelezo kwa hisani ya blog za Mroki Mroki na Lukwangule