Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,029
Duh
kweli mtoto wa mwizi ni mwizi kumradhi ccm,ilakwa stetimenti ya makamu wenu mbele ya taarifa ya habari kwamba mnashangaa nini kuona ccm kuna watoa rushwa ati rushwa ipo kila sehemu
nakuja kwenu watanzania mzee wetu huyu ameeleza wazi na cha kusikitisha akaanza kutaja sehemu moja baada ya nyingine mahospitalini ukitaka huduma upati bila rushwa akaja mahakamani ushindi kesi bila rushwa akaja wizara ya ardhi uanataka kibali tena cha ardhi ya ko kujenga upati bila rushwa akauliza kila sehemu kumejaa rushwa nakushangaa watu mnaifwatilia ccm oooh wala rushwa....ndugu zanguni ni pius msekwa huyu sasa mwenye macho na asikie kama upuuzi wote aliooutaja ulikuwa chini ya uongozi wa ccm kwanini ukawapigie ccm leo hii
embu pigia chedema jamani huyu mzee angejua cost ya maneno yake jana asingethubutu kutoka kwenye tv...anyway ndio washazoea tutafanyaje...
Wana jf na wote wenye mapenzi mema kuliko kuipigia ccm na kama aujsikii kupigia wapinzani bora ulale siku ya uchaguzi usikubali kuwapa mbu waitbu malaria hata siku moja
kweli mtoto wa mwizi ni mwizi kumradhi ccm,ilakwa stetimenti ya makamu wenu mbele ya taarifa ya habari kwamba mnashangaa nini kuona ccm kuna watoa rushwa ati rushwa ipo kila sehemu
nakuja kwenu watanzania mzee wetu huyu ameeleza wazi na cha kusikitisha akaanza kutaja sehemu moja baada ya nyingine mahospitalini ukitaka huduma upati bila rushwa akaja mahakamani ushindi kesi bila rushwa akaja wizara ya ardhi uanataka kibali tena cha ardhi ya ko kujenga upati bila rushwa akauliza kila sehemu kumejaa rushwa nakushangaa watu mnaifwatilia ccm oooh wala rushwa....ndugu zanguni ni pius msekwa huyu sasa mwenye macho na asikie kama upuuzi wote aliooutaja ulikuwa chini ya uongozi wa ccm kwanini ukawapigie ccm leo hii
embu pigia chedema jamani huyu mzee angejua cost ya maneno yake jana asingethubutu kutoka kwenye tv...anyway ndio washazoea tutafanyaje...
Wana jf na wote wenye mapenzi mema kuliko kuipigia ccm na kama aujsikii kupigia wapinzani bora ulale siku ya uchaguzi usikubali kuwapa mbu waitbu malaria hata siku moja