Nitafurahia kusikia takukuru wanawakamata wagombea wa igunga,nzega,kahama,vunjo,kyela,urambo,monduli ambako kumeripotiwa rafu za waziwazi wakati wa uchaguzi,kamatakamta yao isiendeshwe kwa misingi ya chuki kwa kundi fulani
Unakumbuka takukuru walivuoisafisha richmond?kwa hiyo utajua kundi gani laweza kuwa walengwa mkuu,
ndio maana nataka wafanye kazi kwa haki na nchi nzima
Microscopic minded,sina muda wa kubishana na wewe
Haya kibaraka wa mafisadi
ni utoto tu akikua ataacha. hataya hivyo mbona hii ni post yake ya sita???Kwanza bisha hodi tukukaribishe ndo uanze kuongea shida yako. Au sivyo bwana!?