Kuendelea kuikumbatia ccm kulikooneshwa na watanzania licha ya ulaghai wa miaka nenda rudi nimekufananisha na maudhui ya wimbo wa mwanamuziki machachari wa kimarekani eminem unaosema i love the...
Hatimae imefahamika kwamba kumbe ile tuliyokuwa tunaambiwa ni saa ya ukombozi ama ni ya kichina au iliwekwa betri za kichina baada ya kuonekana mwendo wake kusuasua kiasi cha kutishia ule...
Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha. TEKELI, umepimwa katika mizani nawe...
Namshauri Mh.Lowassa katika kufanikisha harakati zake za kujisafisha aandae kongamano katika kanisa lake na kutangaza kutubu waziwazi na kuahidi kurudisha mali yote aliyopata isivyo halali kwa...
Tanzania Daima la leo limeripoti matokeo haya ya awali pamoja na utata wa uhalali wake CCM imemgwaya Dr. Slaa kwa mchango wake katika kupanua demokrasia hapa nchini...........
Kwenye basi nililolipanda leo wakati naenda kazini, nimesikia kuwa upinzani (Chadema) wamepata viti vingi vya ubunge, na baadhi ya wabunge wao ni sawa na 50 wa CCM, kama hivyo ni kweli basi...
Imenisikitisha sana kuona CCM,ilivyopora haki ya watanzania. Sasa CHADEMA wafanye nini?
Nina pendekeza mambo yafuatayo
Wadai tume huru ya uchaguzi na katika jambo hili wasiishie kulalamika...
Jamani wanajukwaa.
Ninatoa wito kwa wote ambao wamepokea zile sms kutoka namba isiyojulikana since ijumaa iliyopita kuhusu chadema na wameathiriwa na ile sms wajitokeze tuandilishe majina na namba...
Jamani muda mfupi uliopita dkt Ali Mohammed Shein kaapishwa rasmi kuwa raisi wa awamu ya 7 ya uongozi Zanzibar.
Mimi nilikuwa nikisikiliza matangazo kupitia redio lakini sikuwa na utulivu wa...
Inasemekana Makongo Mahanga amebwagwa na mpiganaji Mpendazoe.
===========
UPDATES:
Kuhesabu kura kunaendelea (saa 6:28 usiku sasa) kama inavyoonekana kwenye picha chini
Jamani nikuwa na ka swali kangu hapo, kutokana na kuwa mbali na home kitambo, kuna baadhi ya mambo sikumbuki vizuri, hivyo nikuwa naomba jibu ama ufafanuzi juu ya hilo.
Nachukua nafasi hii kukupongeza Dr. Slaa kwa kuwa mtu makini. Na watanzania makini wamekukubali. Wamedhihirisha hili kwa kuwapigia kura nyingi wagombea wa chama cha Chadema katika ngazi ya...
Wachunguzi wa uchaguzi nchini Tanzania wamesema hakuna taarifa yoyote kuu ya dosari iliyojitokeza inayoweza kuathiri matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya Jumapili.
Uchaguzi Tanzania...
tukiwa tunasubili uongozi wa juu wa chadema kutoa tamko lao kuhusu zoezi zima la uchaguzi lilivyokua, mi nadhani mpaka hapa tumefanya vya kutosha. sababu naamini hao wabunge ishirini tuliopata ni...