Imenisikitisha sana kuona CCM,ilivyopora haki ya watanzania. Sasa CHADEMA wafanye nini?
Nina pendekeza mambo yafuatayo
Nina pendekeza mambo yafuatayo
- Wadai tume huru ya uchaguzi na katika jambo hili wasiishie kulalamika bungeni tu bali wapeleke malalamiko kwa wafadhili(EU,UN,).Hao ndo wenye nguvu za kuwalazimisha serikali ya CCM.
- Waendelee kuwaeleza wananchi kuhusu haki zao.Ufahamu wa watanzania bado ni mdogo sana, mpaka watu wa mjini uelewa wao ni mdogo.
- wakifanya mambo hayo kwa nguvu kubwa, tunaweza kupata haki