Kahema
JF-Expert Member
- May 21, 2010
- 202
- 43
tukiwa tunasubili uongozi wa juu wa chadema kutoa tamko lao kuhusu zoezi zima la uchaguzi lilivyokua, mi nadhani mpaka hapa tumefanya vya kutosha. sababu naamini hao wabunge ishirini tuliopata ni zaidi ya 60 wa ccm, so chakufanya ambacho ndo kimesababisha yote haya yatokee ni katiba yetu iliyopitwa na wakati. sitegemei ndani ya miaka mitano ijayo wabunge hawa wafanye chochote ila kupinga na kushinikiza katiba ibadilike kutokana na hari halisi ya nchi kwa sasa. itakua ni dhambi hata kwa hili wabunge wetu wakishindwa kulifanikisha ndani ya muda huo, otherwise wala tusishiliki tena katika uchaguzi ujao.