Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

HEBU NIAMBIENI WAKINA GREAT THINKERS Plato, Socrates, Aristotle, Rousseau, Voltaire, Kant, Foucault, Locke, ... HIVI INAINGIAJE AKILINI MTU ALIYEKAMATWA NA MASANDUKU YA KURA ATANGAZWE...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kusema kweli watu hawapingi ushindi wa CCM au tuseme ushindi wa Jakaya Kikwete au Sheni ,wananchi kwa ujumla wanataka kitangazwe kile kilichopatikana kwa uhakika bila ya kumpendelea mwananchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The European Union Observation Mission has called on Tanzanians to respect the outcome of the election in a bid to maintain and consolidate existing peace in the country. Unveiling its...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
:israel:Mabadiliko kwa nchi kama tanzania hayawezi kutokea kwa usiku mmoja, jamani lazima tuelewe tunaongozwa na viongozi wabinafsi, walafi, walevi wa madaraka ambao wapo tayari kwa lolote ili tu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkusanyiko wa viongozi waliojiteua kwa uwezo wa pesa zilizizoibwa kwa wananchi na kuzitumia kujijengea uimara wa kiuchumi na kisiasa huwa siku zote unatumia kila aina ya mbinu kurubuni wavuja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukweli unasambaa, Uongo unazidi kujitenga...! Kulingana na Taarifa Ya Habari, Redio Tumaini - saa 9:00 alasiri hii, Chama cha NCCR Mageuzi kimetoa tamko kuwa Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa mbovu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Bwana Fuya Kimbita wa CCM amesema hakubaliani na matokeo ya kumpa Mbowe ushindi. Yeye na chama chake wanajadili namna ya kupinga mahakamani! Source: :: IPPMEDIA
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi naishi buguruni,nimepiga kura pale malapa,na kuna jamaa mmoja alikamatwa akiingiza fom ya kupiga kura zikiwa mbili, so pale msimamizi alimuona akiangaika kuingiza fom mbili kwa mpigo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Marina Hassan, Tiddo Mhando etc. wako hewani wakijetetea jinsi walivyo cover kampeni huku wakivishambulia vyama. Tukio la Marin Hassan kugombaniwa na wana CHADEMA jangwani wanadai lilitokana na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wananchi wengi hupata huduma nyingi toka kwa halmashauri zao. Naomba mwenye jibu tusije tukamiss kilichotokea hasa jpili.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Joseph Warioba na Salim A. Salim wazungumza 04/11/2010 Mawaziri wakuu wastaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jaji mstaafu, Joseph Sinde Warioba, pamoja na mwanadiplomasia...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
486( speed model) computers ilikuwa karibu 20yrs ago je ndo wanazo tumia NEC uchaguzi huu pia 286, inawezeka alitumia jaji makame enzi hizo, mabadiliko ya tekno hama yamewezesha kazi kufanyika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kutoka BBC...Habari ndo hiyo... Chadema leader calls for Tanzania election re-run Willibrod Slaa of Chadema campaigned...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Eti sheria inasemaje kuhusu uwezekano wa kumtoa mbunge wako/ wenu kabla ya miaka mitano kutimia kwa sababu za kiutendaji? manake mimi naona ni bora kama inawezekana mbunge akitubore tunamreplace...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba ili kuondoa mkanganyiko katika jamvi letu,tujaribu katika post hii kuweka majina ya WALIOKWISHA TANAGZWA NA TUME(wakurugenzi ) ili kuondoa utatamimi naanza1.Vicent Nyerere-Musoma...
0 Reactions
82 Replies
15K Views
Don’t wish it was easier; wish you were better. Don’t wish for less problems; wish for more skills. Don’t wish for less challenges; wish for more wisdom. You must either modify your dreams or...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana jioni nilishangaa kusikia mjadara juu ya uchaguzi wa Tanzania BBC wakiwapa watu mbalimbali live kutoa view zao, moja baya ambalo lilikuwa kichefuchefu ni kumweka mtu wa CCM kutamba kuilaumu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
10 signs you're not ready to retire Before you report for your last day of work, be sure that you've taken care of these details. You could save yourself a whole lot of money and regret later...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, ni takribani miaka 50 to Mungu alipoona vema niwe kiumbe hai. theluthi mbili ya maisha yangu nimeishi TZ. Nimepiga kura katika chaguzi tatu na hii ya sasa ni ya nne. Sijawahi kuona...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…