Nimepata taarifa kwamba usiku wa kuamkia leo mida ya saa nane, Jeshi la Polisi limevamia nyumbani kwa Yoromu Mbyella, mfanyabiashaa ambae huwa anauza sare za CHADEMA wakidai wanamtafuta kwa kosa...
Sasa hata sisi wengine tusiofuatilia mambo ya dini hili jambo limeanza kutugusa.
Iweje Msikiti aliopanga kuswali mtu huyu uzingirwe na Polisi, ili iweje na kwanini?
Shida ni Mwanamke tu au kuna...
Naona ghafla matamko dhidi ya John Heche makamu mwenyekiti wa chama kikubwa nchini, yamekuwa mengi.
Unajua ni kwa nini? Mtambo wa propaganda wa CCM umeishiwa mbinu za kuishambulia CHADEMA...
Katika mchezo wa soka, mwenye mpira ndiye anayezingirwa na mabeki. Hakuna mchezaji anayekabwa bila kuwa na mpira. Hii ndiyo falsafa ambayo Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, ameielezea kwa...
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania, taasisi za umma na binafsi, mashirika na wadau wa maendeleo waungane na Serikali katika kuwezesha matibabu ya upandikizaji wa figo na uloto kwa...
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba leo Julai 17, 2026 amefanya mazungumzo na Balozi Mteule wa Tanzania Nchini Uganda Marco Elisha Gaguti, Ofisini kwake Mlimwa Jijini Dodoma
DODOMA: Serikali imeahidi kuendelea kuweka uwekezaji mkubwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa (BMH) ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za kibingwa na kibingwa bobezi...
Uwekezaji uliofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sekta ya afya, umesaidia kuokoa maisha ya Watanzania wengi-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
📍Dodoma-Tanzania
🗓️Julai 16, 2026...
Eti hiki kijumba ambacho actually is very contemporary sawa na ramani ya choo cha Shule ya Msingi Temeke Wailes ndio ushahidi wa mabilioni ya shilingi ambayo wanadai John Heche, Makamu Mwenyekiti...
Usalama Wa Taifa TISS kwa miaka ya karibuni imeprove failure wa sehemu kubwa katika miaka ya karibuni.
Mwaka 1982, kulikuwa na njama za kuipindua serikali ya Mwalimu Nyerere.
Wahusika walikuwa...
Unaweza kujaribu kuwaza..
Baada ya malalamiko ya Wananchi na Jumuiya za Kimataifa juu ya Utekaji na Mauaji.
Alafu wakawepo watu ambao Kila siku Utetezi wao ni 'wanaotekwa na Kuuwawa ni sababu ya...
Bila uwekezaji wa DP World hii volume ingekuwa ndoto maana target ilikuwa kuhudumia Tani mil.30 by 2030 lakini target imefikiwa miaka 4 kabla .
Kwa sasa Bandari ya Dar ni Kimbilio sio njia...
Kauli Moja ya LISSU kwa US na EU na Dunia ndio pekee itakayowaokoa!.
Mimi sielewi mmepigwa Upofu wa aina gani Kiasi hasikiii Wala Kuona !!.
Mnajijua Mmeua MAELFU kwa MAELFU.
Mnajijua mnavita...
Aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Dkt. Benson Alfred Bana amesema ili kupatikana kwa maridhiano ya kweli moja ya mambo yanayopaswa kuzingatiwa ni kuwepo kwa dhamira ya kweli huku...
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya aina ya Plasmodium, vinavyoenezwa na mbu wa jike aina ya Anopheles anapouma mtu.
Dalili kuu:
Homa kali (mara nyingi inayokuja na kwenda kwa...
Kuna watu kwanza walisemaga hawataki kuongozwa na MWANAMKE
Baadae wakalambishwa asali wakaanza kutisha wengine kuwa ole wao wamsemao kiongozi huyo mwanamke tunawakata mapanga
Baadae wakashabikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.