Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Lissu bado anazidi kushikiliwa na kuburutwa mahakamani bila kosa ambalo litaweza kuthibitika.Siku thelathini walizotoa jumuia ya madola zinaisha leo.👇
2 Reactions
8 Replies
185 Views
Idadi ya usajili wa intaneti nchini Tanzania imepata ukuaji mkubwa na kufikia 62,793,986 kufikia mwezi Juni 2026. Ukuaji huo unadhihirisha kasi ya mabadiliko ya kidijitali na kuongezeka kwa...
0 Reactions
2 Replies
40 Views
Sasa hivi huwezi kutuma hela za Tonetone kupitia NMB. Ukituma hela haiendi. Ni mpango wa kukwamisha CHADEMA isifikie lengo la Milioni 334. Je, na Vodacom watagoma kutumia huduma yao?
15 Reactions
68 Replies
1K Views
Zanzibar inatunyonya sana jaribu kufikiria eti wabunge 10 wanawakilisha watu milioni 7 hadi 8 na wazanzibari wapatao 50 wako bunge la Dodoma kuwakilisha wazanzibari wapatao milioni 1. Hapa...
10 Reactions
23 Replies
284 Views
Suala la Serikali kupitia KATAMBI kuzuia Mikutano ya Kisiasa kwa maelezo kwamba Kuna VIASHIRIA VYA UGAIDI. Ilikua ni Lazima Katambi huyohuyo, kuliondoa Zuio Hilo na sio Jeshi la Polisi kujifanya...
3 Reactions
2 Replies
53 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Ndiye Sauti ya Afrika na Mwafrika kwa Sasa .Ndio sauti ambayo ikizungumza inasikika ,kusikilizwa na kuheshimiwa...
0 Reactions
14 Replies
81 Views
Kwa muda sasa nimekuwa nikifanyia kazi toleo hili jipya la Kijitabu cha Mwalimu cha "Uongozi wetu na hatima ya Tanzania". Ni matumaini yangu wale waliopata shida kuelewa toleo la awali lilivyo na...
5 Reactions
98 Replies
33K Views
Ndugu zangu Watanzania, Anachofanya na kukifanya Rais Wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa Sasa ni Zaidi ya Uwajibikaji ,Ni Zaidi ya Kujitolea, ni zaidi ya kutimiza...
2 Reactions
63 Replies
468 Views
Mdau wa maendeleo ametumia zaidi ya shilingi milioni 10 kujenga kipande cha barabara chenye urefu wa takribani mita 70 katika Kata ya Keri, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, kwa lengo la kuondoa...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Inadaiwa huyu askari alimkodi huyo boda boda kwenye video na baada ya kumzungusha kwa saa moja kagoma kumlipa, kwa mujibu wa maelezo ya boda kulitokea ugomvi ambao ulisababisha huyo polisi...
20 Reactions
71 Replies
2K Views
Nadhani mafua( common colds) yamekuwepo tangu kuwepo kwa binadamu. Pamoja na maendeleo makubwa ya sayansi na teknolojia, bado mpaka leo hakuna chanjo ya mafua. Tatizo ni nini? Tuchepuke kidogo...
8 Reactions
49 Replies
508 Views
Tujikumbushe kuhusu kisa hiki cha Zimbabwe Thamani ya fedha iliporomoka kiasi kwamba manunuzi ya kawaida yalihitaji kiasi kikubwa sana cha noti, hali iliyozalisha picha maarufu za watu kubeba...
0 Reactions
4 Replies
184 Views
Miaka zaidi ya 100 iliyopita, Kabla ya Vita vya Kwanza vya Dunia, Wajerumani walikuwa na mipango mikubwa ya maendeleo ya miundombinu Tanganyika. Baadhi ya mipango ilikuwa tayari imeshakamilika...
17 Reactions
45 Replies
655 Views
Samia ameunda tume huku akimteua Jaji Barishaki Cheborian wa Uganda kuwa mmoja wa tume hiyo kuchunguza chanzo cha vurugu. Soma PostGE2025 - Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka...
8 Reactions
45 Replies
443 Views
Hakuwa MTU wa kujilimbikizia Mali na Kujenga kwao Kama viongozi wengine Hakuwa na ajenda ya kupitisha mwenyewe kibabe alipeleka kamati kuu ya Chama mfano kwenye Azimio la Arusha
10 Reactions
59 Replies
8K Views
Ugaidi huu wa Tanzania ni tofauti na ule aliokuwa anaufanya Osama bin Laden?👇
0 Reactions
1 Replies
60 Views
Rais Samia Aibeba Tanzania Kileleni Afrika, Mkutano wa Africa50 Watoa Mwelekeo Mpya wa Uwekezaji wa Miundombinu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameendelea...
-1 Reactions
3 Replies
58 Views
♦️Labda muuaji Samia na genge lake la wahuni wakisaidiwa na Chawa wao wa mitandaoni na huko kwingine wanaweza kuelewa vizuri na kuacha kuteka na kuumiza watu hovyo... Hebu tujadili kuhusu...
4 Reactions
2 Replies
71 Views
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, Jerida Ramadhani Ngosha, amesema aliomba msamaha kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho baada ya kuitwa kwenye kikao Korogwe, lakini akasisitiza kuwa msamaha huo...
3 Reactions
31 Replies
414 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema hajui aliyekiwa Balozi, Humphrey Polepole, alipo hadi sasa ingawa mara kadhaa alikuwa akikutana naye. "Kabla...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Back
Top Bottom