Baada ya Samia kukivuruga chama chake na kukosa kuungwa mkono ndani ya ccm na kwa Watanzania, aliamua kuyakamata makundi aliyoyaona yana ushawishi mkubwa akayahonga fedha nyingi na wengine...
Watanzania sio wajinga, wanajua kuwa chadema ndio waliharibu mali, maisha na utaratibu wao mzima siku ya na baada ya uchaguzi. Wananchi sio wajinga wa kushindwa kujua kwamba no reforms no election...
Wakuu mpoooo!!!!
Huyu inatakiwa VAR imulike bongo lake labda kuna chenga chenga 😂 😂 😂
Wanaovuruga amani ni hao wanaong'ang'ania madaraka kiuhalifu
-------------
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana...
BARUA YA WAZI KATIKA SIKU YA KUZALIWA YA CHADEMA.
Kwa Viongozi, Wanachama, Wafuasi wa CHADEMA,
na Watanzania wote wanaojali demokrasia,
Leo, tunapoadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya...
Naziona juhudi za CCM kupambana na watu wanaotumia mitandao ya kijamii kukikosoa chama hicho.
China nchi ambayo CCM wanajibaraguza kuwa wanafuata mfano wake, hawazimi mitandao bali huwapa wachina...
Mashehe wengi walivutiwa sana na Utekaji,uuaji,kupotezwa,unyimwaji wa haki kwa wapinzani,uchaguzi feki na ufisadi. Mashehe hua hawapingi mambo hayo niliyoyataja hapo juu.
Kila aliyepinga mambo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbiliewi Mtei, kilichotokea usiku wa tarehe 19...
Mbunge wa Kigoma Mjini Cleyton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo ameweka wazi kuwa Kuanzia mwezi Februari mwaka huu, Wananchi Katika Jimbo hilo hawatanunua Sanda pindi inapotokea misiba...
Wakuu,
Msikilizeni Msemaji Mkuu wa Serikali akiwa anazungumza leo kuhusu suala zima la misaada. Mmenotice hajawaita mabeberu bali "wadau wa maendeleo?"
Ila najiuliza kama Tanzania tunajiweza...
Ndugu Watanzania!
Kama mtakumbuka, Rais Samia aliunda Tume ya Uchunguzi kuhusu machafuko ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Siku ya Jumamosi tarehe 17 Januari 2026, Mhashamu Baba Askofu Mwamakula...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema uzinduzi wa Ofisi ya Uwakilishi ya Benk ya CRDB Dubai ni kielelezo cha uhusiano mzuri wa...
Leo hii hii nchi ni mali ya familia na koo za wanaCCM.
Familia za akina Kikwete, Samia, Mwinyi Nyererere na hat akina Jenista Mhagama ndio wanarithishana madaraka ya nchi hii.
Wewe mpuuzi ambae...
Kwa kifupi Sana HOTUBA Yako na ajenda zako zote ulizoongea na waandishi WA habari hakuna hata Gen Z wa CCM amekuelewa, hujagusia suala lolote kuhusu hatma ya Taifa hili kwa Hawa Gen - Z ambao...
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni leo tarehe 20 Mei, 2021 atafanya ziara ya kikazi ya siku 1 hapa nchini kwa Mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia...
Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na serikali ya Finland imesaini hati ya makubaliano ya kikanda [MoU] chini ya Mradi wa Maendeleo ya Matumizi ya Ardhi na Minyororo ya...
Mimi nadhani mambo ya maandamano ya ahirishwe mpaka October 2030.
Ili uchumi ukue vizuri sana, na utalii ukue vizuri sana, na wananchi wapate vipato vizuri sana.
Inaelekea baadhi ya global na...
Machafuko ya uchaguzi wa Oktoba 2025 nchini Tanzania yalifunikwa na giza zito la kuzimwa kwa intaneti, baada ya mrindimo wa bunduki kunyamaza ghafla. Sasa, ushahidi mpya unafichua kile ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.