Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nayaomba mashirika haya yafungue page zao rasmi humu JamiiForums ili iwe rahisi sisi wananchi tuliotelekezwa na vipeperushi vya CCM tuteme nyongo. Naamini ujumbe huu utaenda viral kwenye...
2 Reactions
4 Replies
101 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Ndg. John Heche amezungumza na watanzania jioni ya Tarehe 11 July 2026 nyumbani kwake Tarime mjini ambapo amewashukuru kwa...
12 Reactions
36 Replies
918 Views
Nimeona chawa wawili hapa Lucas Mwashambwa na jamaa yake wamefungua nyuzi za kumtuhumu makamu mwenyekitinwa Chadema John Heche kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha Soma pia John Heche hasafishiki...
5 Reactions
20 Replies
306 Views
Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar zinamapungufu upande wa sifa za wagombea Urais na Ubunge hata Udiwani. Tatizo wao Chadema wanataka Katiba ya KUINGIA IKULU na CCM...
0 Reactions
10 Replies
237 Views
Walikukataa hata kabla hujawa Rais. Hawakutaka uapishwe kuwa Rais baada ya kifo cha Rais Magufuli, hawakutaka ugombee nafasi ya urais, hawakutata uchaguzi ufanyike. hata baada ya uchaguzi...
2 Reactions
116 Replies
2K Views
Tangu kuanzishwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mwaka 1992, nafasi ya Katibu Mkuu imekuwa na mchango mkubwa katika kusimamia shughuli za kila siku za chama, kuratibu utekelezaji...
1 Reactions
11 Replies
339 Views
Katika siasa za kisasa, nguvu ya mwanasiasa haipimwi tu kwa nafasi aliyonayo, idadi ya mikutano anayofanya, au ukubwa wa chama anachowakilisha. Mara nyingi hupimwa kwa kiwango cha human capital...
1 Reactions
3 Replies
113 Views
Watawala wanakiwa kusikilizia sana hii ngoma
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna watu wana Akili Za Nyumbu Sijapata Kuona . CHADEMA wana Matatizo makubwa sana vichwani Mwao. Ni watu ambao hawajua wanapigania nini na wanataka nini. Ni watu wasio na...
2 Reactions
7 Replies
84 Views
Habari za Sabato! Kuna ile unafikiri watu wanakuheshimu kwa kiwango cha juu. Kiasi kwamba hata ukitema shudu, pumba, ukitoa boko basi watu kwa heshima waliyonayo kwako watakustahi. Ni kweli mtu...
34 Reactions
95 Replies
2K Views
Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Katiba Mpya inayohitajika nchini inapaswa kulenga kutatua changamoto za wananchi, badala ya...
2 Reactions
42 Replies
956 Views
Kwa yaliyotokea 29 Oktoba 2025, ni laana kwa Nchi. Jina lake libaki kwenye Misikiti alojenga pekee. Kwenye Utawala wake aliruhusu Watanzania kuuana wao kwa wao ili yeye asalie madarakani...
26 Reactions
95 Replies
2K Views
Kwanini hadi leo Serikali haijajenga chuo kikuu Mwanza ? Mwanza ni jiji la pili nje ya Dar tangu 2000, Mwanza ni hub ya mikoa ya kanda ya ziwa, eneo lenye idadi kubwa zaidi ya watu nchini...
4 Reactions
33 Replies
327 Views
Marehemu hakufa kifo cha kushtukiza, alijua ugonjwa wake utampeleka kaburuni ndio maana akaomba hadi mpako wa wagonjwa, Je hakuacha ujumbe wowote wa kuzingatiwa kwa aliokuwa akifanya nao kazi kwa...
2 Reactions
3 Replies
113 Views
Ni wazi tukiwaacha vilaza na ngwini kujibizana katika siasa za uwanaharakati nchi yetu haitaendelea kamwe katika milestones muhimu za kiuchumi na kiulinzi. Kama hatutasukuma agenda za namna hii...
0 Reactions
3 Replies
42 Views
Mambo yamebadilika, dunia imebadilika karne hii tuliyopo ni karne ya teknolojia na mabadiliko, watu wengi hivi sasa ni waelewa, teknolojia imerahisisha upatikanaji wa habari hasa zile habari...
4 Reactions
12 Replies
223 Views
Baada tu ya mauaji ya Samia kutokea, vyombo vya habari vya kimataifa viliingia kazini. Vingine viliandika kuhusu hayo mauaji. Baadhi vilitengeneza makala za kiuchunguzi na kurusha kwenye runinga...
29 Reactions
59 Replies
949 Views
Waliomchagua Samia tiketi ya Umakamu wa Magufuli na Uraisi ni wakina nani ? Walizingatia vitu gani toka kwa huyu mtu ?
7 Reactions
20 Replies
271 Views
Back
Top Bottom