Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mwanaharakati wa kisiasa, Habibu Mchange, amedai kuwa aliyekuwa Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, aliamua kutogombea tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu wa...
Ni kama dunia ilikuwa haijui kinachoendelea Tanzania, now it has been taken by surprise by what has been aired by bbc on the horrific human rights abuse and the persecution of opposition members...
Utangulizi
Methali ya Kiswahili isemayo “Achanaye jamvi atalikumbuka wakati wa dhiki” hutukumbusha umuhimu wa kushikamana, kusikilizana, na kutafuta suluhu kwa njia ya maelewano. Katika maisha ya...
Waziri wa zamani, Profesa Anna Tibaijuka amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan amwachilie huru Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu aliyeko rumande katika Gereza Kuu la Ukonga kwa Zaidi mwaka mmoja...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAKALA YA BBC
Serikali imesikitishwa na makala iliyochapishwa leo tarehe 13 Julai, 2026 na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia kipindi chake cha "BBC Africa...
Hakika mkutano wa baraza kuu la chadema taifa, utakuwa ni mkutano mkuu wa kipekee sana September, ukihusisha pande mbili zitakazovutana sana, ambazo kwasasa zote ziko kwenye maandalizi makali...
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), 14 Julai, 2026 amekutana na Balozi...
Yeye amevunja sheria mama kwa kuiba uchaguzi na kujipachika madarakani kinyume cha katiba.
Kama kweli anaamini kuwa hakuna aliye juu ye sheria, basi anapaswa kuachia madaraka na kukubali...
Shauri la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Geita, Neema Chozaire, lililokuwa linatarajiwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza leo Julai 14, 2026, limeahirishwa baada...
Hamjambo!
Hii ni maajabu. Nasindwa kuhelewa.
Katika mishemishe zangu huko nikatokea kijiwe fulani hivi huko mjini kati.
Sasa wale vijana wanafanyia kazi katika moja ya viwanda hapa jijini...
Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Balozi Ombeni Sefue, amewataka wananchi, hasa vijana, kuacha kuiga kiholela mifumo ya maandamano ya nchi za nje ambayo mara nyingi husababisha uharibifu wa mali...
Leo Wekend nilipata wasaa wa kukutana na mtu wangu wa idara za juu, katika maongezi kanihabarusha jambo la ajabu sana kuhusu Lisu, kwamba swala la Lisu lina shinikizo kubwa sana la Kisiasa, kuna...
Busara zenu na uungwana wenu ndio uliotuwezesha kupata uhuru, nyie mlimuona ni mwanaharakati wa kudai uhuru wa nchi yake na si gaidi na hamkuona sababu ya kumvamia kwenye kakibanda kake ka pale...
Kada wa CHADEMA, Joseph Selasini, amemshauri Rais Samia kutafuta suluhu ya kisiasa katika suala linalomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akisisitiza kuwa hatua yoyote ya kumaliza sakata...
https://youtu.be/MlQRJzlk_JM?si=6mw_RwolPu_sNa9P
Ameyasema haya leo akiongea na waandishi wa habari huko Iringa.
Ameitaka serikali chini ya CCM ikiongozwa na Rais Samia kuweka kiburi na majivuno...
Sheikh Said Mwaipopo ametoa tuhuma nzito dhidi ya Makamu Mwenyeiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, akimtuhumu kwa vitendo vya utapeli na kujipatia fedha kwa njia za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.