Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa X (zamani twitter) Kada wa CHADEMA Godbless Lema, ameandika;
"Kila chama kinachotaka kuongoza lazima kiwe mstari wa mbele katika kuhakikisha uwazi, uwajibikaji...
Leo tarehe 20 January ni kumbukizi ya kuzaliwa Mwanasiasa Bora kabisa kuwahi kutokea Tanganyika na Tanzania Bwana Tundu Antipass Lissu.
Siku kama ya leo ndo Mungu aliipa zawadi Tanzania kutupatia...
Yaliyotokea Mbeya leo hivi ndivyo CCM ilivyo.
Anayoendelea kuyafanya Kenan kihongosi hivi ndivyo CCM ilivyo.
CCM haijutii vifo vya maelfu ya Watanzania kwenye Uchaguzi wa mwaka jana Oktoba 2025...
https://www.youtube.com/watch?v=JoLdIMXPKac
Serikali ya Kijiji cha Namwangwa, Kata ya Hezya Wilayani Mbozi mkoani Songwe ikiongozwa na Mwenyekiti Japhet Mbukwa imeachia madaraka kwa madai ya...
Fuatilia kila anapopita na kusikiliza kero za watu. J
Hakuna muitikio au msisimko kama kuna kiongozi mkuu wa chama tawala yupo kusililiza kero na kujua mapunngufu ya chama chake.
CCM haikubaliki...
20 January 2026
Songwe, Tanzania
SERIKALI YA KIJIJI YAJIUZURU CCM YATUPIWA LAWAMA KATA YA HEZYA MBOZI
https://m.youtube.com/watch?v=JoLdIMXPKac
Serikali ya Kijiji cha Namwangwa kata ya Hezya...
Ni katika Yale maadhimisho ya miaka 33 ya Chadema, ambapo ofisi mpya ya chama hicho iliyojengwa Inyala ilikuwa inazinduliwa.
Unaambiwa Poliisi baada ya kuona mtiti wa Chadema wakavamia na kupora...
TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema itawapatia waathirika wa vurugu hizo huduma ya kisaikolojia kutokana na madhila za...
OMG! OMG! Meta has unsuspended my WhatsApp account, +1 424 537 3057.
For those who don’t understand the important of regaining access to this number is that, this is the number that Tanzanians...
"Nilikataa kukatwa mguu, lakini madaktari waliniambia nimechelewa kupata matibabu." Huo ni ushuhuda wa kusikitisha wa George Chipeta (24), fundi wa umeme wa magari mkazi wa Banana, mkoani Dar es...
Ule muda wa Davos umefika.
Viongozi mbalimbali duniani wako huko.
Neno la muhimu hapo ni “viongozi”.
Sasa, huyu mtawala wetu ambaye ni haramu, naye ataenda au keshaenda?
Au ndo kajificha huko...
Akizungumza wakati wa mkutano wa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kenani Kihongosi, mmoja wa wazee aliuliza ni lini serikali itaanza kuwabana wabunge wanaolala bungeni na kisha kuunga mkono...
TAARIFA KWA UMMA
AJALI YA GARI KUGONGA GARI LINGINE KWA NYUMA KISHA KUHAMA NJIA NA KUGONGA MAGARI MENGINE 03 NA KUSABIBISHA MAJERUHI 01
Tarehe 20/01/2026 majira ya saa 5:20 usiku katika barabara...
This was a design and build project. Ni wazi, takwimu walizokusanya hazikutafsiriwa ipasavyo kwa kuzingatia mabadiliko ya tabia ya nchi. Over designing sio dhambi katika uhandisi
Wali over design...
Ngoma inaanza hivi: Mwaka 1995 Mrema alivyotoka CCM, Edwin Mtei alimfuata ili Mrema ajiunge na CHADEMA na kugombea urais kupitia chama chao. Mrema akaweka masharti magumu kwamba: Ili ajiunge na...
Serikali haiko serious, haijutii kilichotokea wala hataki kukiri, sioni kiongozi aliye tayari kwa maridhiano.
Utekaji bado unaendelea, wiki iliyopita zaidi ya viongozi 10 wa Chadema wamekamatwa...
Serikali, wengi wa wana CCM na baadhi ya watu,, wamesimamia upande mmoja tu.
Kutuambia tudumishe amani., amani, amani na hawana neno jingine angalau la tofauti.
Wapinzani, wanaharakati, na...
Ziara ya Kihongosi na matamko ya hivi karibuni ya Butiku sio ya bahati mbaya ni mkakati uliopangwa ili kuchota akili za Watanzania.
Kihongosi aanze ziara Butiku ajitokeze kumponda kuwa anafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.