Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa X (zamani twitter) Kada wa CHADEMA Godbless Lema, ameandika; "Kila chama kinachotaka kuongoza lazima kiwe mstari wa mbele katika kuhakikisha uwazi, uwajibikaji...
11 Reactions
26 Replies
803 Views
Leo tarehe 20 January ni kumbukizi ya kuzaliwa Mwanasiasa Bora kabisa kuwahi kutokea Tanganyika na Tanzania Bwana Tundu Antipass Lissu. Siku kama ya leo ndo Mungu aliipa zawadi Tanzania kutupatia...
16 Reactions
40 Replies
446 Views
Yaliyotokea Mbeya leo hivi ndivyo CCM ilivyo. Anayoendelea kuyafanya Kenan kihongosi hivi ndivyo CCM ilivyo. CCM haijutii vifo vya maelfu ya Watanzania kwenye Uchaguzi wa mwaka jana Oktoba 2025...
1 Reactions
0 Replies
134 Views
https://www.youtube.com/watch?v=JoLdIMXPKac Serikali ya Kijiji cha Namwangwa, Kata ya Hezya Wilayani Mbozi mkoani Songwe ikiongozwa na Mwenyekiti Japhet Mbukwa imeachia madaraka kwa madai ya...
3 Reactions
5 Replies
355 Views
Fuatilia kila anapopita na kusikiliza kero za watu. J Hakuna muitikio au msisimko kama kuna kiongozi mkuu wa chama tawala yupo kusililiza kero na kujua mapunngufu ya chama chake. CCM haikubaliki...
5 Reactions
4 Replies
301 Views
  • Redirect
20 January 2026 Songwe, Tanzania SERIKALI YA KIJIJI YAJIUZURU CCM YATUPIWA LAWAMA KATA YA HEZYA MBOZI https://m.youtube.com/watch?v=JoLdIMXPKac Serikali ya Kijiji cha Namwangwa kata ya Hezya...
0 Reactions
Replies
Views
Ni katika Yale maadhimisho ya miaka 33 ya Chadema, ambapo ofisi mpya ya chama hicho iliyojengwa Inyala ilikuwa inazinduliwa. Unaambiwa Poliisi baada ya kuona mtiti wa Chadema wakavamia na kupora...
6 Reactions
5 Replies
296 Views
TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema itawapatia waathirika wa vurugu hizo huduma ya kisaikolojia kutokana na madhila za...
4 Reactions
45 Replies
978 Views
OMG! OMG! Meta has unsuspended my WhatsApp account, +1 424 537 3057. For those who don’t understand the important of regaining access to this number is that, this is the number that Tanzanians...
35 Reactions
88 Replies
2K Views
"Nilikataa kukatwa mguu, lakini madaktari waliniambia nimechelewa kupata matibabu." Huo ni ushuhuda wa kusikitisha wa George Chipeta (24), fundi wa umeme wa magari mkazi wa Banana, mkoani Dar es...
10 Reactions
49 Replies
1K Views
Get your Foreign Affairs Bulletin copy on Rifaly for free.
1 Reactions
0 Replies
47 Views
Amesema Mzee Emmanuel Zakaria (Baba Boni) Mwenyekiti Baraza la Wazee CHADEMA jimbo la Arusha Mjini
2 Reactions
2 Replies
88 Views
Ule muda wa Davos umefika. Viongozi mbalimbali duniani wako huko. Neno la muhimu hapo ni “viongozi”. Sasa, huyu mtawala wetu ambaye ni haramu, naye ataenda au keshaenda? Au ndo kajificha huko...
44 Reactions
50 Replies
1K Views
Akizungumza wakati wa mkutano wa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kenani Kihongosi, mmoja wa wazee aliuliza ni lini serikali itaanza kuwabana wabunge wanaolala bungeni na kisha kuunga mkono...
1 Reactions
8 Replies
165 Views
TAARIFA KWA UMMA AJALI YA GARI KUGONGA GARI LINGINE KWA NYUMA KISHA KUHAMA NJIA NA KUGONGA MAGARI MENGINE 03 NA KUSABIBISHA MAJERUHI 01 Tarehe 20/01/2026 majira ya saa 5:20 usiku katika barabara...
3 Reactions
25 Replies
816 Views
This was a design and build project. Ni wazi, takwimu walizokusanya hazikutafsiriwa ipasavyo kwa kuzingatia mabadiliko ya tabia ya nchi. Over designing sio dhambi katika uhandisi Wali over design...
8 Reactions
18 Replies
383 Views
Ngoma inaanza hivi: Mwaka 1995 Mrema alivyotoka CCM, Edwin Mtei alimfuata ili Mrema ajiunge na CHADEMA na kugombea urais kupitia chama chao. Mrema akaweka masharti magumu kwamba: Ili ajiunge na...
4 Reactions
37 Replies
626 Views
Serikali haiko serious, haijutii kilichotokea wala hataki kukiri, sioni kiongozi aliye tayari kwa maridhiano. Utekaji bado unaendelea, wiki iliyopita zaidi ya viongozi 10 wa Chadema wamekamatwa...
6 Reactions
15 Replies
359 Views
Serikali, wengi wa wana CCM na baadhi ya watu,, wamesimamia upande mmoja tu. Kutuambia tudumishe amani., amani, amani na hawana neno jingine angalau la tofauti. Wapinzani, wanaharakati, na...
0 Reactions
1 Replies
89 Views
Ziara ya Kihongosi na matamko ya hivi karibuni ya Butiku sio ya bahati mbaya ni mkakati uliopangwa ili kuchota akili za Watanzania. Kihongosi aanze ziara Butiku ajitokeze kumponda kuwa anafanya...
1 Reactions
5 Replies
157 Views
Back
Top Bottom