Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mwanaharakati wa kisiasa, Habibu Mchange, amedai kuwa aliyekuwa Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, aliamua kutogombea tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu wa...
0 Reactions
37 Replies
569 Views
Ni kama dunia ilikuwa haijui kinachoendelea Tanzania, now it has been taken by surprise by what has been aired by bbc on the horrific human rights abuse and the persecution of opposition members...
25 Reactions
84 Replies
2K Views
Utangulizi Methali ya Kiswahili isemayo “Achanaye jamvi atalikumbuka wakati wa dhiki” hutukumbusha umuhimu wa kushikamana, kusikilizana, na kutafuta suluhu kwa njia ya maelewano. Katika maisha ya...
1 Reactions
7 Replies
137 Views
  • Featured
Waziri wa zamani, Profesa Anna Tibaijuka amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan amwachilie huru Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu aliyeko rumande katika Gereza Kuu la Ukonga kwa Zaidi mwaka mmoja...
54 Reactions
113 Replies
3K Views
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAKALA YA BBC Serikali imesikitishwa na makala iliyochapishwa leo tarehe 13 Julai, 2026 na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia kipindi chake cha "BBC Africa...
14 Reactions
172 Replies
4K Views
Hakika mkutano wa baraza kuu la chadema taifa, utakuwa ni mkutano mkuu wa kipekee sana September, ukihusisha pande mbili zitakazovutana sana, ambazo kwasasa zote ziko kwenye maandalizi makali...
3 Reactions
28 Replies
367 Views
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), 14 Julai, 2026 amekutana na Balozi...
1 Reactions
4 Replies
123 Views
NI ZAMU YA KEREGE Ziara ya Kutembelea Miradi ya Maendeleo ▪️CPA. Subira Khamis Mgalu Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo 🕰️03:00 - 09:00 Alasiri 📆 Jumat
1 Reactions
1 Replies
57 Views
Yeye amevunja sheria mama kwa kuiba uchaguzi na kujipachika madarakani kinyume cha katiba. Kama kweli anaamini kuwa hakuna aliye juu ye sheria, basi anapaswa kuachia madaraka na kukubali...
11 Reactions
6 Replies
204 Views
Ratiba ya Ziara ya Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo Kata ya Kerege Kutembelea Miradi ya Maendeleo.
0 Reactions
1 Replies
47 Views
Shauri la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Geita, Neema Chozaire, lililokuwa linatarajiwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza leo Julai 14, 2026, limeahirishwa baada...
0 Reactions
4 Replies
159 Views
Hamjambo! Hii ni maajabu. Nasindwa kuhelewa. Katika mishemishe zangu huko nikatokea kijiwe fulani hivi huko mjini kati. Sasa wale vijana wanafanyia kazi katika moja ya viwanda hapa jijini...
2 Reactions
19 Replies
286 Views
Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Balozi Ombeni Sefue, amewataka wananchi, hasa vijana, kuacha kuiga kiholela mifumo ya maandamano ya nchi za nje ambayo mara nyingi husababisha uharibifu wa mali...
3 Reactions
77 Replies
1K Views
Wanabodi Hebu msikilizeni huyu jamaa, Mkenya anaitwa Rodgers Kakasungura https://youtu.be/FFVNsTEI690?si=g-1g15frbAOn6yYz Anatema uongo kumhusu Rais Samia, anamtukana na kumuita Dikteta Iddi Amini...
6 Reactions
57 Replies
2K Views
Leo Wekend nilipata wasaa wa kukutana na mtu wangu wa idara za juu, katika maongezi kanihabarusha jambo la ajabu sana kuhusu Lisu, kwamba swala la Lisu lina shinikizo kubwa sana la Kisiasa, kuna...
14 Reactions
48 Replies
968 Views
Busara zenu na uungwana wenu ndio uliotuwezesha kupata uhuru, nyie mlimuona ni mwanaharakati wa kudai uhuru wa nchi yake na si gaidi na hamkuona sababu ya kumvamia kwenye kakibanda kake ka pale...
11 Reactions
35 Replies
484 Views
Kada wa CHADEMA, Joseph Selasini, amemshauri Rais Samia kutafuta suluhu ya kisiasa katika suala linalomhusu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akisisitiza kuwa hatua yoyote ya kumaliza sakata...
2 Reactions
59 Replies
1K Views
Rais Amia amesema kuwa matumizi ya Jina Samia kulipa kwenye Jina la vitu limekuwa linajirudia rudia hadi haipendezi
6 Reactions
61 Replies
1K Views
https://youtu.be/MlQRJzlk_JM?si=6mw_RwolPu_sNa9P Ameyasema haya leo akiongea na waandishi wa habari huko Iringa. Ameitaka serikali chini ya CCM ikiongozwa na Rais Samia kuweka kiburi na majivuno...
2 Reactions
5 Replies
131 Views
Sheikh Said Mwaipopo ametoa tuhuma nzito dhidi ya Makamu Mwenyeiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, akimtuhumu kwa vitendo vya utapeli na kujipatia fedha kwa njia za...
5 Reactions
103 Replies
1K Views
Back
Top Bottom