Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hi inatokana n.a. Idadi ya wanaoendelea kutekwa na kuuawa kwa maagizo kutoka Juu imeiacha kwa mbali sana awamu ya 5 Kwenye awamu ya 5 tulishuhudia mauaji na utekaji lakini so kwa kiwango cha...
21 Reactions
49 Replies
745 Views
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, leo Agosti 10, 2026, amewasilisha Ripoti ya Utendaji ya Robo ya Nne ya Mwaka wa Fedha 2025/26 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania...
2 Reactions
7 Replies
253 Views
Makada watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wamekishtaki tena chama hicho katika mahakama kuu ya Dodoma. Walalamikaji katika shauri hilo Miscellaneous Cause No. 205810F of 2026...
0 Reactions
18 Replies
418 Views
Naibu Waziri Mkuu katika Baraza Kivuli la Mawaziri la Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amehoji kwanini kwenye nchi yetu watu wanyamazishwe? kwanini ukihoji serikali iwe ni makosa ya uhaini na...
1 Reactions
20 Replies
234 Views
Najiuliza hizo ndo sura zilizo jaa Bashasha zinaitishia ikulu ya magogoni na Ile ya DODOMA jangwani? Najiuliza hivi mbona wanao onewa ndio wanao ng'ara? Hivi maccm mkiona hizi picha mnajisikiaje...
4 Reactions
12 Replies
606 Views
Mama ukiwa mchapa kazi na sio mla rushwa na unapenda haki unakuwa adui yake.
1 Reactions
1 Replies
89 Views
Hawa SS walikuwa ni kitengo cha Chama. SS maana yake "protectors". Hawa ndio walifanya mauaji sana. Wao ndio walikuwa wakiziongoza Concentration camps. Walikuwa wanaongozwa na Himmler. High...
6 Reactions
11 Replies
241 Views
Wakuu hii imakaaje kwamba kwamba wazanzibar ndio wanauchungu na Zanzibar ila watanganyika wao ni mapoyoyo yanalipwa kufanya chochote. Wazanzibar walikupigia kura kwa sababu ya uwezo au uzanzibari...
5 Reactions
11 Replies
131 Views
Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba??? Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu...
20 Reactions
713 Replies
139K Views
Mwenyekiti wa Makatibu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Basil Lema, amesema chuki na migogoro ya kisiasa imekuwa ikitawala siasa za Tanzania, hali inayowafanya Wananchi kushindwa kutambua...
1 Reactions
4 Replies
94 Views
Naogopa mimi kabisa,huyu mtamzania alindwe kwa gharama zote.
9 Reactions
10 Replies
369 Views
Uongozi wa Mkoa wa Kilimanjaro unapenda kuufahamisha umma kuwa haumtambui ndugu Lembruce Mchome kama Mwenyekiti wa Jimbo la Mwanga, kinyume na jinsi anavyojitambulisha katika shughuli mbalimbali...
6 Reactions
16 Replies
382 Views
  • Featured
Tanzania imeshika nafasi ya pili duniani kwa kuporomoka zaidi katika masuala ya haki za kisiasa na uhuru wa raia kwa mwaka 2025, kulingana na ripoti mpya ya shirika la kimataifa la Freedom House...
20 Reactions
53 Replies
1K Views
Tokea awekewe vikwazo na Marekani, huyu aitwaye Mafwele sijamsikia wala kumwona tena. Hivi yuko wapi huyu kiumbe? Ila hawa watu hawana kabisa busara. Miaka 10 ijayo huyu Mafwele hatokuwa na...
20 Reactions
27 Replies
579 Views
Baada ya kukaa mahabusu za Polisi za Kibaha Pwani, Osterbay na Central Dar es Salaam kwa takribani siku 48 hatimaye leo Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani limemfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
2 Reactions
11 Replies
277 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa Wizara kupitia Balozi zake duniani imekuwa kiungo muhimu cha kufanikisha na kuchochea...
1 Reactions
3 Replies
192 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia Anakubalika ,kupendwa,kuungwa Mkono na Kufuatiliwa kila hatua apigayo . Rais Samia ndiye Habari kuu na habari ndiye yeye . Kuanzia vijiweni, mitaani, Magengeni...
0 Reactions
6 Replies
75 Views
Huenda kuna juhudi za kubabaisha watu bila fikra zenye uelewa. Anayetaka kuelewa Dunia iko vipi soma maoni haya ya kisomi na yenye uhalisia.
10 Reactions
36 Replies
556 Views
Tujuzane what happened, sioni updates za proceedings za leo! Kulikoni
2 Reactions
27 Replies
481 Views
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu. Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu. Wahariri...
13 Reactions
118 Replies
12K Views
Back
Top Bottom