Kaka Cyprian huu sio utamaduni wa wastaarabu

Kaka Cyprian huu sio utamaduni wa wastaarabu

Phillipo Bukililo

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2015
Posts
18,473
Reaction score
13,629
Unaweza kudai unampenda sana Rais na hutaki kwa namna yoyote ile atukanwe au akosolewe. Hayo mapenzi yako unayoyasema mbele ya kamera, hakuna anayeweza kuyapima wala kuyathibitisha.

Unatengeneza aina fulani za siasa ambazo kwa bahati mbaya hujui madhara yake yanaweza kuwa makubwa kiasi gani.

Kwa taarifa yako ni kwamba ile radio ya kule Rwanda ambayo ilichochea maasi, haikuwa ikiendeshwa kwa gharama kubwa. Sawa sawa na gharama za utoaji wako wa habari.

Gharama za kufikisha ujumbe ni ndogo lakini madhara ya ujumbe wa radio ile yalikuwa ni vifo vya watu zaidi ya watu laki nane wasio na hatia yoyote ile. Kaka mkubwa Cyprian wenye mapenzi na ufanisi wa kazi anazofanya mheshimiwa JPM ni wengi.

Bahati mbaya kati ya hao hao team JPM wapo ambao wanakwazika na ujumbe wako, wapo ambao wanawaheshimu wazee ambao unapowataja majina ni kama vile unawazungumzia wanafunzi mliomaliza la saba au kidato cha sita pamoja.

Haipendezi kukuona kila baada ya siku chache ukijibizana na watu, huku mkiwa mnakejeliana na kutukanana, hii ni cheap politic, haiwezi kuwa na tija itakayodumu kwa miaka mingi kuanzia leo.

Nakutakia mwaka 2019 wenye mafanikio, lakini anza kwanza kwa kubadili approach ambayo inakufanya utengeneze maadui kumi na rafiki moja kila unaporusha hewani video clip mpya.
 
Unaweza kudai unampenda sana Rais na hutaki kwa namna yoyote ile atukanwe au akosolewe. Hayo mapenzi yako unayoyasema mbele ya kamera, hakuna anayeweza kuyapima wala kuyathibitisha.

Unatengeneza aina fulani za siasa ambazo kwa bahati mbaya hujui madhara yake yanaweza kuwa makubwa kiasi gani.

Kwa taarifa yako ni kwamba ile radio ya kule Rwanda ambayo ilichochea maasi, haikuwa ikiendeshwa kwa gharama kubwa. Sawa sawa na gharama za utoaji wako wa habari.

Gharama za kufikisha ujumbe ni ndogo lakini madhara ya ujumbe wa radio ile yalikuwa ni vifo vya watu zaidi ya watu laki nane wasio na hatia yoyote ile. Kaka mkubwa Cyprian wenye mapenzi na ufanisi wa kazi anazofanya mheshimiwa JPM ni wengi.

Bahati mbaya kati ya hao hao team JPM wapo ambao wanakwazika na ujumbe wako, wapo ambao wanawaheshimu wazee ambao unapowataja majina ni kama vile unawazungumzia wanafunzi mliomaliza la saba au kidato cha sita pamoja.

Haipendezi kukuona kila baada ya siku chache ukijibizana na watu, huku mkiwa mnakejeliana na kutukanana, hii ni cheap politic, haiwezi kuwa na tija itakayodumu kwa miaka mingi kuanzia leo.

Nakutakia mwaka 2019 wenye mafanikio, lakini anza kwanza kwa kubadili approach ambayo inakufanya utengeneze maadui kumi na rafiki moja kila unaporusha hewani video clip mpya.
Salamu hizi zimfikie pia Habibu Mchange popote pale alipo!
 
Muoneeni huruma mwenzenu jamani. Mnataka aishije mjini na ana familia?? Ameamua kujitoa ufahamu ili apate cha kulisha watoto na wake zake. Ameamua kutumikia tumbo lake na kusahau misingi ya nchi
 
Muoneeni huruma mwenzenu jamani. Mnataka aishije mjini na ana familia?? Ameamua kujitoa ufahamu ili apate cha kulisha watoto na wake zake. Ameamua kutumikia tumbo lake na kusahau misingi ya nchi
Huko kujitoa kwake ufahamu kuna madhara ambayo yeye hawezi kuyaona leo. Ni ushamba fulani hivi ambao haujamtoka mtu, anakuwa akizeeka nao.
 
Unaweza kudai unampenda sana Rais na hutaki kwa namna yoyote ile atukanwe au akosolewe. Hayo mapenzi yako unayoyasema mbele ya kamera, hakuna anayeweza kuyapima wala kuyathibitisha.

Unatengeneza aina fulani za siasa ambazo kwa bahati mbaya hujui madhara yake yanaweza kuwa makubwa kiasi gani.

Kwa taarifa yako ni kwamba ile radio ya kule Rwanda ambayo ilichochea maasi, haikuwa ikiendeshwa kwa gharama kubwa. Sawa sawa na gharama za utoaji wako wa habari.

Gharama za kufikisha ujumbe ni ndogo lakini madhara ya ujumbe wa radio ile yalikuwa ni vifo vya watu zaidi ya watu laki nane wasio na hatia yoyote ile. Kaka mkubwa Cyprian wenye mapenzi na ufanisi wa kazi anazofanya mheshimiwa JPM ni wengi.

Bahati mbaya kati ya hao hao team JPM wapo ambao wanakwazika na ujumbe wako, wapo ambao wanawaheshimu wazee ambao unapowataja majina ni kama vile unawazungumzia wanafunzi mliomaliza la saba au kidato cha sita pamoja.

Haipendezi kukuona kila baada ya siku chache ukijibizana na watu, huku mkiwa mnakejeliana na kutukanana, hii ni cheap politic, haiwezi kuwa na tija itakayodumu kwa miaka mingi kuanzia leo.

Nakutakia mwaka 2019 wenye mafanikio, lakini anza kwanza kwa kubadili approach ambayo inakufanya utengeneze maadui kumi na rafiki moja kila unaporusha hewani video clip mpya.
Salamu hizi zimfikie pia Habibu Mchange popote pale alipo!
Mmeanza kugeukana!

Hili Jini mmelifuga wenyewe SASA limeshatoka kwenye chupa, ama liwaue nyie au nyie mliue mapema kabsa!

Hii Sisi tulio wengi haituhusu, kwanza huyo magu hatumpendi so it's obviously musiba pia hatumpendi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si mshabiki wa siasa. Lakin nitakuuliza swali moja..
Kwa umri alionao musiba.. ni mkubwa kwangu lakin nimemzidi akili for a thousand times.
Sababu akina flan wanatukana, na ww basi utukane.. wote mtaonekana wapumbav mbele za watu wenye busara. Wote mtaonekana vikatuni.
Busara ni kitu kidogo lakin si kila mtu anacho.

Either way sishabikii yoyote yule anafanya vitendo hivyo. Japokuwa umeandika kishabiki.. ila musiba kwa style yake hii anabomoa si kujenga.
Mlizoea kutukana peke yenu sasa Msiba kawabana hampumui!!!!! Kaka Msiba endelea kubana mbavu ulipo ndo mahali penyewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmeanza kugeukana!

Hili Jini mmelifuga wenyewe SASA limeshatoka kwenye chupa, ama liwaue nyie au nyie mliue mapema kabsa!

Hii Sisi tulio wengi haituhusu, kwanza huyo magu hatumpendi so it's obviously musiba pia hatumpendi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaposema tumeanza kugeukana unakuwa unaongea kama vile unanijua mimi kwa ukaribu na unamjua huyo kaka. Kitu ambacho sio sahihi kukisema.

Tunamrudisha kwenye mstari tukimkumbusha maadili maana yake ni nini.

Wewe kumchukia au kumpenda JPM sio kitu muhimu, kama wapo milioni nane na zaidi wanaomkubali, who are you nkuwi?.
 
Unaweza kudai unampenda sana Rais na hutaki kwa namna yoyote ile atukanwe au akosolewe. Hayo mapenzi yako unayoyasema mbele ya kamera, hakuna anayeweza kuyapima wala kuyathibitisha.

Unatengeneza aina fulani za siasa ambazo kwa bahati mbaya hujui madhara yake yanaweza kuwa makubwa kiasi gani.

Kwa taarifa yako ni kwamba ile radio ya kule Rwanda ambayo ilichochea maasi, haikuwa ikiendeshwa kwa gharama kubwa. Sawa sawa na gharama za utoaji wako wa habari.

Gharama za kufikisha ujumbe ni ndogo lakini madhara ya ujumbe wa radio ile yalikuwa ni vifo vya watu zaidi ya watu laki nane wasio na hatia yoyote ile. Kaka mkubwa Cyprian wenye mapenzi na ufanisi wa kazi anazofanya mheshimiwa JPM ni wengi.

Bahati mbaya kati ya hao hao team JPM wapo ambao wanakwazika na ujumbe wako, wapo ambao wanawaheshimu wazee ambao unapowataja majina ni kama vile unawazungumzia wanafunzi mliomaliza la saba au kidato cha sita pamoja.

Haipendezi kukuona kila baada ya siku chache ukijibizana na watu, huku mkiwa mnakejeliana na kutukanana, hii ni cheap politic, haiwezi kuwa na tija itakayodumu kwa miaka mingi kuanzia leo.

Nakutakia mwaka 2019 wenye mafanikio, lakini anza kwanza kwa kubadili approach ambayo inakufanya utengeneze maadui kumi na rafiki moja kila unaporusha hewani video clip mpya.
Musiba ana tagi ubavu; wewe unalo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cyprian Misiba ni mshenzi kabisa....Watanzania tusimuonee aibu mwanaharamu,hasidi na fukara wa busara kama Cyprian.
Rais JPM sio baba yake Cyprian Musiba wala JPM hayupo madarakani kwa kafara ya mpumbavu kama Cyprian Musiba...JPM ni Rais halali wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania .
Cyprian Musiba ni njaa tu inamsumbua.....wanaompenda JPM wapo na wala sio huyu firauni Cyprian Musiba.
 
Unaweza kudai unampenda sana Rais na hutaki kwa namna yoyote ile atukanwe au akosolewe. Hayo mapenzi yako unayoyasema mbele ya kamera, hakuna anayeweza kuyapima wala kuyathibitisha.

Unatengeneza aina fulani za siasa ambazo kwa bahati mbaya hujui madhara yake yanaweza kuwa makubwa kiasi gani.

Kwa taarifa yako ni kwamba ile radio ya kule Rwanda ambayo ilichochea maasi, haikuwa ikiendeshwa kwa gharama kubwa. Sawa sawa na gharama za utoaji wako wa habari.

Gharama za kufikisha ujumbe ni ndogo lakini madhara ya ujumbe wa radio ile yalikuwa ni vifo vya watu zaidi ya watu laki nane wasio na hatia yoyote ile. Kaka mkubwa Cyprian wenye mapenzi na ufanisi wa kazi anazofanya mheshimiwa JPM ni wengi.

Bahati mbaya kati ya hao hao team JPM wapo ambao wanakwazika na ujumbe wako, wapo ambao wanawaheshimu wazee ambao unapowataja majina ni kama vile unawazungumzia wanafunzi mliomaliza la saba au kidato cha sita pamoja.

Haipendezi kukuona kila baada ya siku chache ukijibizana na watu, huku mkiwa mnakejeliana na kutukanana, hii ni cheap politic, haiwezi kuwa na tija itakayodumu kwa miaka mingi kuanzia leo.

Nakutakia mwaka 2019 wenye mafanikio, lakini anza kwanza kwa kubadili approach ambayo inakufanya utengeneze maadui kumi na rafiki moja kila unaporusha hewani video clip mpya.
kenge huwa hasikii mpaka umtandike hadi damu zimtoke kwenye masikio ndiyo atakusikia.
 
Unaposema tumeanza kugeukana unakuwa unaongea kama vile unanijua mimi kwa ukaribu na unamjua huyo kaka. Kitu ambacho sio sahihi kukisema.

Tunamrudisha kwenye mstari tukimkumbusha maadili maana yake ni nini.

Wewe kumchukia au kumpenda JPM sio kitu muhimu, kama wapo milioni nane na zaidi wanaomkubali, who are you nkuwi?.
Nisome Kwa utulivu, ninaposema mmeanza kugeukana namaanisha kuwa Huyu musiba alianza kuwashambulia viongozi wa upinzani Kwa tuhuma fake na nzito kweli kweli, wote mliungana naye mkacheeekaaa na kufurahiii Leo kawagonga upande wenu povuuu debe mnamwaga!

Acheni unafiq.

Jiwe hapendeki shetani ana nafuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom